Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions
Kwa mtu yeyote anayejua kutengeneza App android au IOS naomba tuwasiliane maama nina bonge moja la idea ambalo linahitaji nikutanishwe na huyo mtaalam wa hizo kazi. karibu
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Husika na heading hapo juu... mwenye IPHONE 4s iliyokufa kioo/touch aniuzie LOCATION (Dar)..
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Wataalam kuna mtu kanitumia chat ina maneno kaweka rangi nisiyaone nahisi kuna uwezekano wa kuondoa ile paint nikasoma alichoficha . Msaada wenu tafadhali.
0 Reactions
25 Replies
5K Views
Aiseee hii nyimbo Google imenishinda Ku download embu naomba kwa mwenye ako anayo wakuu Zaen matunda mema Kwanya ya Catholic
0 Reactions
13 Replies
6K Views
JIPATIE SIZON KWA BEI POA EPSODE 1 200TZS TUNAUZA KUANZIA EPSODE 5 TUNATUMA WHATSAPP KWA NJIA YA LINK KARIBU SEASON SINGLE MOVIE ZOTE ZIPOOOO KULA KITU MOJA HIO APOO UKIHITAJI NIONEE...
0 Reactions
2 Replies
7K Views
Ijapokua Elimu kuhusu vifaa vya umeme inahitajika pia kuna open project kadhaa wa kadhaa ya vifaa hivi (schemastic) bure. Wengi tumekua tukiaminishwa kuwa wachina na wazungu wanaakili sana ndio...
11 Reactions
39 Replies
18K Views
Jamani wataalamu mwenye hio softwaere cracked version yake naombeni anisaidiee....Mkuu Chief Mkwawa nahitaji Msaada wako Hapa Kaka! Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
13 Replies
1K Views
habari wana JF moja kwa moja kwenye mada wapi naweza nunua ussd code mfano: *154*34# ambayo ita link na server yangu huduma za kibenki ni vinara kwa kutumia huduma hii katika mitandao ya simu...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Tunatengeneza applications za simu kwa bei rahisi sana ni kuanzia elfu 70 kwa anayehitaji.Unapokua na biashara ni vizuri kuwa na website pamoja na appkivation itakayokuwezesha kupata watembeleaji...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Kwa wenzetu nchi zilizoendelea mobile application zimefanya watu wengi kuwa matajiri na bado wanaendelea kutajirika,natafuta watanzania wenye kutengeneza mobile application nzuri na ambao creative...
1 Reactions
5 Replies
2K Views
Naomba kujua jins ya kurecord kitu ninachokifanya kwenye computer..mfano kama naandia barua kwenyw microsoft word sasa nataka kurecors jins ninavyoandika asante
1 Reactions
2 Replies
1K Views
Wanajf nmeilipia domaine name yangu toka mwezi wa tisa lakini tatizo linakuja kwenye kuitumia naombeni msaada wenu ...asanteni sana.
1 Reactions
28 Replies
3K Views
Wakuu habari!. Nimekuwa nikitafuta mashine ya kutotoleshea vifaranga ya bei nafuu kwa muda mrefu bila mafanikio. Kila napoelekezwa na bei juu 1.8 - 2millons. Ndipo nikapata wazo la kujaribu...
0 Reactions
1 Replies
6K Views
wataalama msaada nimefanikiwa ku root samsung j500h mashmallow kwa kutumia pc..baada muda nilifanya factory reset nikiweka app zinazohitaji root kama ifont zinadai simu haiko rooted nikiweka app...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Habari wanajamvi, ni wapi ndani ya Dar es salaam nitapata desktop computer mpya kwa bei ya 800k hadi 900k, processor i3 au duo core, ram 4gb na hdd 500gb brand ni Dell au Hp
0 Reactions
22 Replies
3K Views
Wakati najaribu kupitia pitia mitandaoni namna ya kufanya photo screen painting kuna kifaa nilikimiss au kukikosa kabisa pengine ni kwa sababu ya ugeni katika hii Sanaaa. Kitu chenyewe kinaitwa...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Wakuu, habari za weekend! Hv kuna mtu anajua app au web yyt ambayo mtu anaweza kuitumia ili kutrack simu iliyoibiwa kwa kutumia imei number?
0 Reactions
2 Replies
3K Views
wadau ninaomba kuuliza,hivi ttcl mtandao wao wa internet unapatikana nchi nzima au ni dar tu! maana wanasema rudi nyumbani kumenoka sasa kumenoga dar au nchi nzima!
4 Reactions
60 Replies
42K Views
Wakuu habari zenu, nimenunua sony xperia z4 lakini sijui jinsi ya kuiwezesha 4G mnara unasoma E, naombeni muongozo wakuu..
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Back
Top Bottom