Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions
Habar za muda huu wakuu wa jf.. Naombeni mnijuze ni chuo gani hapa dar es salaam kinachotoa kozi za web design za muda mfupi (short course) kwa gharama nafuu
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Wakuu kwema?? Naomba kujua kama kuna mtu anafahamu namna ya kufanya projection mapping kwenye wedding cake kama kwenye video hapo chini, nina shida nae
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Habari ndugu wanajamvi. ningependa kufahamishwa ni Sababu zipi husababisha website ya CIA na nyimgine za aina hiyo zisiwe hacked kama tunavyo shuhudia website zingine zikiangushwa kila mara? je...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Wakuu nina site yangu iko porini ambapo sipati coverage ya nzuri ya internet nikiwa na simu napata 2G sasa nime opt kufunga Vsat yani hizi sattelite internet , Naomba kujua alie experience hii...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Kwanini uzi wangu umeondolewa nilikuwa najaribu kutoa kwa jamii but kwa sababu umeondolewa hivyo nadhani nimevunja moja ya sheria humu for that am sorry.
1 Reactions
2 Replies
2K Views
Habari wakuu, Nilikuwa naomba kuuliza hakuna kampuni ya bongo inayotoa matangazo kwa sisi publishers kuachana na seebait.
0 Reactions
3 Replies
911 Views
njia hii nimejaribu kwenye smartphone ya android na ni nzuri nikaona nije kushare huku, kuna njia kadhaa za kuhamisha vitu kutoka kwenye laptop kwenda kwenye simu mfana kwa usb cable au kutumia...
0 Reactions
28 Replies
10K Views
Napenda kufahamu duka wanalouza toner ya Gestetner DSm620d. Code ya toner ni 885095. Ningependa maduka ya Arusha, Moshi au Dar Es Salaam. NB: Maduka ya Galaxy computers, AA Computers na Copy cat...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Watalaam hivi ni site gani naweza nunua Key codes online za games? je wanaweza kutumiwa hizo codes kwa email baada ya kulipia? Nahitaji games za Xbox one.
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Wapendwa wanachama na wapenzi wa jukwaa hili adhimu, Salaam! Hivi majuzi nimenunua moderm kwa ajili ya kupata internet kwenye kampuni ya simu ya zantel. Moderm yenyewe ina uwezo wa 3.1mb per...
0 Reactions
12 Replies
4K Views
Ina nipa matumaini kuwa kuwa na uwezekano mkubwa wa binadamu na viumbe hai wengine kwenda kuishi huko kama vile mtu anavyo amua kutoka sehemu moja kwenda nyingine;nafikiri sayari ya Mars(Sayari...
0 Reactions
12 Replies
6K Views
Nina samsung galaxy s4 lte-A nataka kuweka lollipop android version,ushauri jinsi ya kuweka.
0 Reactions
36 Replies
5K Views
Nilikuwa najaribu kujiunga kifurushi cha kimataifa kwa line ya airtel ili nipige Australia lakini nikakuta hawana international bundle inayoniruhusu kupiga huko. Naona Tigo pia kama hawana. Naomba...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Hivi karibuni kulitokea shambulizi kubwa la DDOS katika Mtandao WA jamii forums. Lakini shambulizi hilo ni kwamba watu wengi walichukulia kisiasa zaidi. lakini shambulizi hilo halikuwa kisiasa...
4 Reactions
21 Replies
4K Views
Thread maalum kwa bloggers wakongwe na wachanga kushare ideas mostly based na namna ya kukuza traffic kwa njia ya sharing unaweza kuweka links za groups kama utapenda kuweka bure...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Lý do bạn nên lựa chọn wifi băng tần kép Mạng không dây wifi hiện đang được sử dụng rất phổ biến, đa số người dùng chỉ quan tâm tới tên wifi là gì? Mật khẩu ra sao? Sóng có “căng đét”? Dùng có...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Habari wakuu kwa anayefahamu ufundi wa radio, naomba msaada wa kujua idadi ya mizunguuko ya waya (coil) kwa upande wa INPUT wa TRANSFORMA yenye INPUT 230V/50Hz OUTPUT 11V×2/0.8A THANX
0 Reactions
5 Replies
3K Views
Heahima zenu wakuu! Nimeambiwa kuwa kuna simu za mezani ambazo zina support 3G/4G/LTE networks na zina uwezo wa kutumika pia kutoa wireless connection. Naomba kujua kama hii taarifa ni ya kweli...
0 Reactions
4 Replies
5K Views
Wamiliki wa app ya Whatsapp wametangaza rasmi kuwa mwishoni mwa mwaka huu wataanzisha huduma maalumu itakayoweza kuwaunganisha watu zaidi ya wawili kwa wakati mmoja. Kwa kuanzia huduma itaweza...
0 Reactions
19 Replies
4K Views
Habari wana jamii forum nahitaji kujua namba ya simu inatumika mkoa gani maana ndogo wangu nimempabhelabya Ada aende shule anasoma dar-es-slaam lakini ameonekana kahama ameondoka Ana wiki lkn jana...
0 Reactions
13 Replies
8K Views
Back
Top Bottom