Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions
Naomba kuuliza wataalamu wa electronics . Natarajia kununua micowave nimepata options ya used mtumba wa UK au mpya ya Kichina aina ya logik au hisense.
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Kama kuna mtaalamu wa kuunganisha line ya voda iwe ya Chuo ( sihitaji mpya) Tuwasiliane......pm
1 Reactions
9 Replies
2K Views
Ukiangalia utaona kitu kama nyota kubwa kuliko zote zilizopo angani na inayong'aa sana lakini hiyo sio nyota bali ni sayari ya Saturn, ambayo ni sayari kubwa sana, pia inakadiriwa kuwa dunia...
1 Reactions
28 Replies
5K Views
Nafungua uzi huu kwa masikitiko kwa kidogo ila kwa njia ya swali ambalo linaweza kuwa rahisi kwa wataalamu husika waliotajwa kwenye heading hapo juu. Hivi ni mbinu gani inatumiwa na mtu...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Nauza YouTube account yangu au channel yangu ya YouTube pamoja na AdSense yake nimeisha iunga cha kufanya ni kutafuta viewers na subscribers wakutosha nauza tsh 30,000 kwa atakae weza kulipa leo...
2 Reactions
13 Replies
4K Views
Jamani hii kitu si mchezo, data zinatembea fasta sana.. nini tatizo kwenye hii app wataalamu?
0 Reactions
4 Replies
3K Views
Habar wapendwa, ku a baadh ya wadau wakiwa wanapost, mfano anatatizo anataka kusaidiwa jins ya ku root smartphone, yeye katika TOPIC TITLE anaandika *jinsi ya kuroot smartphone* alaf katika ku...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Wakuu habari za muda? Nahitaji msaada kwa anayejua njia nzuri ya Ku root android 6 with or without PC Nimejaribu kutumia app nyingi lakini sijafanikiwa, kuanzia framaroot, zroot kingoroot...
1 Reactions
2 Replies
2K Views
Watalaam, nimeshindwa ku connect chromecast kwenye tv aina ya TCL flat ambayo sio smart tv. Nafanya setup kama kawaida inaenda vizuri ila inapofika sehemu ya mwisho napata maneno haya ENTET...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Wakuu hii ktu imenishinda naomba Kujua naweza vp kushera link ya Uzi Niweke kwenye Uzi mwingine Natumia application ya Jf na sio Browse
0 Reactions
20 Replies
3K Views
Leo nimeona kujiuliza kwanini account za watu instagram zina hackiwa sana Africa Leo had I account ilikua INA blue tick ya @Zarithebosslady wamehack na juzjuz tu walihack ya mh.Paul Makonda...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Habari Leo katika pita pita zangu nimekutana app hii link nitaweka hapo chini ambayo inatoa namba za nje ya nchi kama ilivyokuwa primo hii yenyewe ni free of charge ni bundle lako tu Sharing is...
1 Reactions
8 Replies
3K Views
Kichwa cha habar chahusika; Naomba kuuliza, hivi kati ya Friji yenye mlango mmoja, na ile ya milango miwili;; ni ipi chaguo zuri kwa matumizi ya nyumbani?? Ipi ni nzur na faida zake??? Ungekuwa...
0 Reactions
14 Replies
4K Views
Wataalamu humu?? Ukienda kwenye build number katika setting ya Simu Wanadai wenyewe ukibofya haraka haraka mara 7 unakuwa tayari developer, sasa naomba kujua ukishakuwa huyo developer unaweza...
1 Reactions
5 Replies
3K Views
Habari za saa hizi? Kwa ambaye anajua namna ya kurudisha picha zilizofutwa fb atoe maelekezo hapa tafadhari. NB:Utoto weka pembeni kama unaweza toa ujuzi wengi wafaidike kama huwezi pita kimya kimya.
0 Reactions
16 Replies
4K Views
Habari wana JF, Natumaini wote mko salama. Weekend ya leo nataka kushare na nyie njia ya kutengeneza tovuti website bila kulipa gharama yoyote. Njia hii itakusaidia kuweza kutengeneza domain ya...
1 Reactions
19 Replies
3K Views
Kama kichwa cha habari kinavyo jielewezea nina file muhimu nataka kuweka password
0 Reactions
28 Replies
6K Views
Kodi CRACKDOWN: Millions to be BLOCKED from watching free football streams
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Wakuu habari za humu, wakuu naomba mnisaidie, mimi nina channel YouTube ina subscribers zaid ya elfu moja, Lakini kila nikipost video huwa natamani kupata viewers wengi lakini nashindwa, kwan...
0 Reactions
18 Replies
4K Views
Back
Top Bottom