wakuu nimenunua memory card 16gb nimeweka vitu vichache vya kurushiwa imebaki 14gb tatizo sasa nikidownload video na vitabu au kitu kingine kikifinish hakioneshi memory yenyewe mpya kabisa...
Wakuu salaam,
Naomba kwa wale wataalamu wa haya mambo
Ni programu ( soft ware) gani inayotumika kutengeneza vitambulisho kwa kutumia kadi ngumu yaani ( smart card) mf leseni za udereva n.k
Pili...
Ndugu wana Jf, kama kuna mtaalamu wa masuala ya madini ningeomba anisaidie namna ya kujua ardhi yenye madini yafuatayo;
1. Ruby and Saphire
2. Gold
3. Aquamarine
Kama ataweza anambie naweza vp...
Kuna ajali imetokea hapa wakuu, sasa nataka kujua kama CASE za spare zinapatikana, na bei zake pia ikijumuisha na utengenezaji.. Kwa mwenye uelewa wa hili anisahie info.
Regards.
Ninahitaji kuroot samsung yenye android 6.0.1 marshmallow nimejaribu kila app ya ku root imeshindikana naombeni mnipe ufaham nitumie njia gani ingine..naamini mtanisaidia
Nilikuwa Mpenzi Wa Tecno Sana Kuanzia 2015 Wakati Walianza Kubadilika
Nilianza Kutumia Alcatel One Touch 360
Nikauza Nikanunua Tecno M3 Ambayo Nilikaa Nayo Sana Adi Nikanunua Boom J8
Tecno...
Wakuu,naombeni kufahamishwa kwanini hizi Samsung zinatofautiana sana bei.
Nimetembelea pages za Instagram na baadhi ya maduka kariakoo kuulizia bei ya Samsung s7 edge na kukuta bei inarange...
Habari GT.
Najua wengi wetu hapa tuna tumia Facebook "either direct or indirect"
Kwa kipindi kifupi toka Facebook aongeze kipengele cha VIDEO kimeifanya kuwa sio sehemu salama kabisa kimaadili...
Wakuu habari za mda huu pia poleni na majukumu.......
Tatizo lipo kwenye kwenye flash yangu yaani ukichomeka kwenye pc inaonesha imesoma but ukiitafuta kweny my computer haionaekani...
Habarini za jioni wapendwa wana JF nina shida kwenye simu yangu kila nikianza kuitumia kuna mda inastak halafu linakuja tangazo mara la TALA au BRANCH saa nyingine tangazo la magari hivyo naomba...
Hello friends kwa watumiaji Wa YouTube natambulisha group kwaajili ya kuchat,kushare videos na kupata taarifa mbalimbali ni group la youtube
Best group
JOIN HERE
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.