Habari zenu wanajamvi mm nimemaliza kidato cha 6 mwaka huu nmepata division 1 yapoint 6 na ulizia kozi ipi nzuri kati yahizo apo juu ,ikiwa na maana kaz zake ninazo wafanya baada yakuhitim na...
Habarini wanajamvi ... napenda kuuliza kuhusu ubora wa tv hiza maana nimevutuwa nazo kwa maana ya bei zake
Kama kuna mtu ambaye akishatumia tunaomba tupe elimu kuhuzu hizi tv
Kampuni ya mawasiliano ya Smart Tanzania tangu siku ya jumapili hawapo hewani na hakuna taarifa yoyote rasmi kwa wateja wao ni kipi kimewakumba.
Kuanzia jumanne walirudisha huduma kwa wateja wao...
Kama kichwa kinavyojieleza hapo juu nina tablet ya kichina inaitwa xcody tatizo nimeweka line ya halotel inakataa kushika network...kuhusu mtandao wa internet haina shida,naomba msaada wenu wajuzi...
Nilibonyeza kwa bahati kitufe cha whatsapp media VIDEO KWENYE GALLERY, na baadaye nikabonyeza KWA BAHATI kitufe cha HIDEN ALBUM. Sasa video zote za kwenye gallery hazipo na hivyo siwezi kuzifuta...
Habari GTs wa JF
Natumia simu aina ya
Samsung Galaxy S4 GT 19500, Android version 4.4.2.
Simu yangu hii imekua ina tatizo ambalo limekua linanisumbua sana, hua inachemka sana kiasi kwamba mpaka...
Nahitaji Kujua Kampuni Inayofanya Hosting Au Mtu Anaefanya Hosting...naomba Tuchekiane...Au unaweza Acha Maelezo Hapa Hapa Na Kila Kitu Ili Iwasaidie Pia Na Wengine Wanaotafuta Hosting Kwaajili Ya...
Habari wakuu, nina shida hii naomba mnisaidie, nikifanya auto-search kwenye kisimbusi changu cha startimes cha antenna napata channels 26. Za continental na redio mbili pamoja na channel za...
Habari yako ndugu msomaji wa huu uzi !
Nimepata tatizo kidogo kwenye simu/rununu yangu nilibadili app iliyokuwepo kwenye simu baada ya kuvutiwa na app nyingine ambayo niliona kwenye sanduku la...
Wakuu nimepata changamoto , vyuo vya I.T vimekuwa vichache sana mwanza wangaz ya diploma na kilichopo ni saut knatoa diploma n( SAUTI ) Na nna kibarua mahala inanilazim nisome masomo ya kuanzia...
Jamani, nahitaji msaada nataka benki yenye visa card zenye hii feature. Maana site nyingi za online zinahitaji kadi zenye hii feature. Maana benki yangu pendwa Kwa issue za online banking, BancABC...
Pc yangu imezima muda sasa na haitak kuwaka,ukiwasha button inarun kma inataka kuwaka na mgurumo wa fan lakin haidisplay chochote sijajua tatizo ni nn licha ya kuifungua na kuisafisha plus kutoa...
Habar wana jamvi la humu,
Naombeni kujuzwa kitu wana jamvi,ukiwa na CISA how valuable are you to the job market? Nawezaje kupata info za wapi kwenda ili niweze kupata review class ya CISA na...
Wakuu salam
Kama heading inavyosomeka. TV yangu samsung lcd 32" ina tatizo la kutokea kwa vertical lines kwenye screen halafu baada ya muda picha inakua faint na kuzima then picha inarudi, lakini...
Habari wanajamvi
Wale wanaojua au kufahamu app au apk ambayo ina aina zote za music hapa duniani tufahamishane
Mimi nina app ya SoundCloud ambayo ina miziki mingi ya kila aina ila ni ya audio...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.