Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions
Wakuu habari za leo. Naomba msaada wa install modro app kwenye windows 10 pc. Bila kutumia app ya bluestacks. Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
0 Replies
344 Views
Laptop yangu sijui inatatzo gani yaani ukiwasha inawaka ila baasa ya neno window kumaliza kuloas tu haendelei tena hv tatzo lake nini Inaonyesha kama vile hizi picha Sent using Jamii Forums...
0 Reactions
6 Replies
671 Views
Kwa wale wapenzi wa Kickass torrent ambayo kwa muda mrefu ilikuwa imefungwa hatimae jamaa wamekuja upya lakin kwa domain nyingine inayoitwa KickassTorrents is back So kama wewe ni mdau wa...
3 Reactions
18 Replies
5K Views
Habari zenu wana jukwaa? Nimetokea kuipenda sana kazi ya hii app ya photoshop ila sina ujuzi nayo. Ni vipi naweza jifunza jinsi ya kucheza na effects zake? Yaani niwe mtaalam wa photoshop...
1 Reactions
11 Replies
1K Views
Sorry jamani,naomba mwenye kufahamu software za kutengeneza bit anisaidia either kudownload au kununua kuweka kwenye laptop Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
9 Replies
10K Views
Habari wanajamvi nimekuwa mtumiaji saana wa samsung lakin smu nyingi za samsung note 4 nilizokutana nazo zna tatizo la USSD CODE.... MOJA WAPO NI HII NINAYOTUMIA YAAN SIWEZ INGIA MENU YA TIGO...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Habari Wana JF, poleni na majukumu ya kila siku, Nawaomba kwa yeyote anayefahamu link au namna ya kudownload Euro truck simulator 2 for android, anielekeze tafadhali.
1 Reactions
1 Replies
1K Views
Salaam wanajamvi. Naomba kujuzwa juu ya bei kwa new na refurbished HP Spectre x360 13-ae098nz Laptop i5/i7, 8GB/16GB RAM, 512GB/1TB SSD. Kama kuna mdau anayo tafadhali nicheki hapa au PM. Asanteni.
0 Reactions
4 Replies
3K Views
Habari Wanajukwaa Siku ya leo asubuhi katika pitapita zangu youtube nikakutana na video moja kutoka kwenye channel inaitwa Unbox therapy( Kwa wale ambao mtakuwa mnafatilia unboxing za simu mpya...
4 Reactions
24 Replies
8K Views
Nina samsung galaxy note 3, internet inanisumbua haswa nikiwa ndani.3g au H ni bahati sana kuipata, muda mwingi ni E .Otherwise kila kitu bomba .
0 Reactions
8 Replies
879 Views
Habari Wanajukwaa Siku ya leo asubuhi katika pitapita zangu youtube nikakutana na video moja kutoka kwenye channel inaitwa Unbox therapy( Kwa wale ambao mtakuwa mnafatilia unboxing za simu mpya...
3 Reactions
7 Replies
4K Views
Wadau wa greater thinker habari zenu. Uzi wangu upo direct sana, napenda kufahamu ni maduka gani ambayo ni official naweza kupata simu og za sumsung ikiwemo warant. Nataka j7 PRO yenye 32 HDD...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Nina laki mbili na nusu,je kwa hii hela nitapata simu gani nzuri nzuri??
0 Reactions
2 Replies
865 Views
Nimeamua kuifanya YouTube channel yangu iwe na access ya matangazo (ads) ili nipate hela. Nina subscribers wawili tu hadi sasa. Na pia nimeupload video moja tu. Pia naomba maelezo, naskia kuna...
0 Reactions
14 Replies
3K Views
Habari wakuu.. Laptop yangu acer aspire, nikiiwasha, kabla window haija start up inafanya kama ina loose moto hivi, inajizima then inawaka tena yenyewe. Inaweza kufanya hvyo mara kadhaa then ndio...
0 Reactions
3 Replies
3K Views
serikali pendwa ya awamu ya tano chini ya rais Dr.John Magufuli iliwahi kutoa namba hizi, Mi nimekuja kujua baada ya kuingizwa mjini simu feki kariakoo aina ya Sony,kumbe nilipaswa kupiga *#06#...
0 Reactions
8 Replies
4K Views
Ni matumaini yangu mu-wazima was afya. Nina nina Android device aina ya VIWA X6, ilitokea itilafu ya kuzima ghafla. Niliipeleka kwa fundi kwa ajili ya matengenezo,nashukuru Mungu simu imeweza...
0 Reactions
4 Replies
679 Views
Kwa ufupi Ni mtundu wa kutengeneza vitu mbalimbali. Anakumbukwa na wengi kwa kuwahi kutengeneza helikopta kabla ya kusitisha mchakato wake kufuatia tangazo la Serikali By Abeid Poyo, Mwananchi...
3 Reactions
9 Replies
4K Views
wanna jf polen kwamajukumu ya kazi nataka nikanunue flat tv ya STARTIME yenye king'amuzi, nch 24 inauzwa laki350000/= ushauri vp kuhusiana na rangi ubora wa picha na uimara wake! nawasilisha
1 Reactions
12 Replies
6K Views
Kwenu Wadau wa JF napenda kuwasilisha Jamvini ili kupata msaada,Nmepotelewa na Simu Yangu Aina ni Iphone 7 kwa yeyote anaeweza kunisaidia kuifanyia Tracking nikaipata naomba anipe support..Details...
1 Reactions
5 Replies
2K Views
Back
Top Bottom