Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions
Habari zenu wanajamvi, poleni na majukumu ya ujenzi wa taifa. Nahitaji msaada wenu hasa kwa wale mnaofanya online purchasing through wireless money transfer (Card not present environments)...
2 Reactions
24 Replies
4K Views
Wakuu Najua ni wazima kabisa wazee wa tech naomba msaada wenu jinsi ya ku track simu kwa kutumia imei number ya simu husika, simu imeibiwa kwa mazingira ya kufikirisha kidogo msaada tafadhali...
0 Reactions
2 Replies
4K Views
Habari zenu wakuu, Leo nimepata account ya google adsense lakini niikienda kwenye setting za blog yangu pale kwenye earnings inakataa kusave changes ningependa kujua shida ni nini au kwasababu...
0 Reactions
4 Replies
674 Views
1) Medicalneeds 360 2) Priority10 News 3) Ekhaya Software
1 Reactions
2 Replies
1K Views
Naulizia continental Hivi kwa sasa wana ubora? Kuscratch jee? channel zinapotea tena?
0 Reactions
37 Replies
10K Views
Wadau nimepata shida kwenye ku sign in in my itunestore aisee mpaka naona awa apple sasa ni wasanii tu kwani nikitaka ku sign in ishu inakataa naombeni step za kufuata nifanye ilo chap.
0 Reactions
5 Replies
4K Views
Application ipi inaweza kuongeza ukubwa wa Memory card na RAM ya simu ya Android bila kuRoot simu
0 Reactions
10 Replies
4K Views
Wakuu naomba kwa anayefahamu bei ya LG 32 inch screen kwa Dar ni Tshs ngapi?
0 Reactions
9 Replies
3K Views
Habari wana JF Naomba niende moja kwa moja kwny mada Hv n nini utofauti wa Quad core na Intel core¿¿Na ipi n bora zaidi kwa matumizi ya archcad na 3D modeling¿¿ Quad Core Hp Probook...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Wadau nahitaji app ya kublock mtu akipiga simu isiite na wala isiseme chochote. App nyingi ukiblock simu itaita na kusema namba unayoipigia inatumika sasa hiyo watu wengi wanaijua. Natanguliza...
1 Reactions
5 Replies
2K Views
habarini wana jamvi,!!! bila kupoteza muda niende kwenye maada... Nimesajili laini mpya TTCL aina ya 4G lakini nimeset kila kitu kwenye mobile network inaandika H+ lakini baada ya dakika 4 au 5...
5 Reactions
56 Replies
11K Views
King'amuzi cha startimes wamekuja na utapeli mpya wa kuwaibia watanzani,, it happened to me,, hapo kabla niliwauliza kuwa kwa mujibu wa tangazo la TCRA ni kuwa local channels zote ni bire lkn...
3 Reactions
8 Replies
1K Views
Nimenunua laini ya 'rudi nyumbani kumenoga' yani TTCL.lakini kwenye simu inaweka neno 'Roaming'.nifanyeje ili niweze kuondoa ilo neno tafadhali
2 Reactions
18 Replies
2K Views
Ni wiki ya tatu sasa tangu nije hapa jukwani kuomba msaada wa namna ya kuunlock simu tajwa hapo juu baada ya kusahau pattern.Nashukuru sana wengi wenu mlijitahidi kunipa alternatives nyingi...
0 Reactions
8 Replies
4K Views
Hii ni version flani hivi ya miracle box nimeweza kuipata jana nimefanya full installation lakini kila nikiifungua hollah... ina pop up picture fulani hivi alafu inapotea bila kufunguka msaada...
0 Reactions
10 Replies
5K Views
jinsi ya kustopisha drivers na kufanya installation ya driver mpya na kuzifny zikubali, mfano; vcom port driver kwa wanaotumia kompyuta zao kuflash simu [phone repair] NIMEKUANDALIA TUTORIAL...
1 Reactions
0 Replies
3K Views
Simu imefanyiwa reset baada ya hapo inashindwa kukamilisha hatua za awali....kwanza inanitaka niunganishe Wi-Fi na nikiunganisha inafika kwenye kipengele cha kusearch updates then inalete ujumbe...
1 Reactions
6 Replies
2K Views
Jinsi gan naweza badili maandishi ya simu pls Msaada jaman.
0 Reactions
9 Replies
7K Views
Kwa mwenye kio cha Dell Inspiron 3000 series tuwasiliane
0 Reactions
7 Replies
670 Views
wakuu habari zenu? kama kichwa cha habari kinavyosema nimeshindwa kutumia youweve kwenye computer msaada tafadhali.
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Back
Top Bottom