Wadau salam Nina Nokia n9 ambayo internal storage yake ni 31GB lakini katika matumizi ya simu inalazimisha kutumia almost 600 mb
Pia application nyingi zinacolapse zenyewe.
* ni 4G LTE
*android...
Sina uzoefu na miaka ya nyuma sana lakini hivi karibuni tumekuwa tukishuhudia ajali "kubwa" za commercial jets.
Mwaka 2017 kumekuwa na ajali 10 na mwaka 2018 hadi July 31 tayari zimetokea ajali...
Habari wakuu, simu yangu haina sehemu ya option ya hotspot wifi....na nimejaribu ku install some apps za hotspot wifi lakin bado inakataaa ku connect......kwa anayefahamu au mwenye idea kuhusu hii...
Wakuu naomba msaada kama hili linawezekana yaan nikatumia king'amuzi cha dish kwa antena ya kawaida ya startimes ili kuepuka gharama kubwa za ulipiaji ya wa dish maana naona kwenye antena kuna...
Habari wana JF, Najua wote mko poa. Leo nimewaleta makala hii ya jinsi ya kuzuia mtu kusoma meseji zako za WhatsApp, Njia hii inasaidia kuondoa zile pop ups ambazo zinatokea pale unapo tumiwa...
wakuu naomba msaada,ni application gani nzuri ya kudownload videos kwenye simu zenye mfumo wa ios, nimeinstall tubidy kutoka app store lakini hainipi option ya kudownload
Nahitaji memory card moja yenye capacity ya 128GB.
Naomba kufahamu wapi zinauzwa na price yake, au kama kuna mtu anaziuza nicheck.
Nilipita maduka kadhaa kariakoo sijapata ya ukubwa huo, nyingi...
Nikola Tesla is an under-rated and forgotten genius. Einstein was amazingly intelligent but he was assisted by his very intelligent wife and and an assistant. Nikola Tesla was a complete lone...
Salaam.
Kwasasa kupitia WhatsApp unaweza kuandika ujumbe na kuutuma kisha unaweza kuufuta hivyo mtu uliyemtumia hatoweza kuusoma, Bali ataambiwa "this message was deleted".
Hivyo aliyetumiwa...
Wanabodi, Naomba msaada wa kupata activation key ya Hiyo software tajwa hapo juu. Nimedownload trial version ya siku 30. Kwa aliye tayari kutoa msaada tafadhali. Ahsante.
Habari wakuu wa nyumba. Mimi ni mpenzi na mtumiaji wa free to air channels kwenye madishi makubwa. Kwasasa natumia tiger T245+ pro ambayo nataka kuupdate kupanda kidogo kwani hii nataka...
Kwa wale wanapenda apps nzuri na latest zilizo be cracked na be paid
Naomba mtembelee website hii 👉👉
On HAX | tech forever au
APK Ocean | Your source for APK
na Mara nyingi hizo website za...
Boeing's 787 Dreamliner makes its first passenger flight Wednesday, carrying about 250 passengers from Tokyo to Hong Kong on Japan's All Nippon Airways. Boeing has spent years and billions of...
Naam, jee nikinunua king'amuz aina ya dvb t2 cha antenna kingamuz cha antenna kutoka nchi ya china au usa huku tz nitapata local channel bure???maana huku bongo local channel mpk ulipie
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.