Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions
Wakuu simu yangu inatatzo ya virus je ni app gani ya anti-virus nzuri kwa hizi android zetu?? Hata iwe ya kununua nijuzeni wakuu .
0 Reactions
10 Replies
5K Views
habari ndugu zangu ninaomba kuuliza ninaweza kuroot simu yangu ya Motorola c plus na ninafanyaje?
1 Reactions
4 Replies
763 Views
Habari wana jamvi wa technolojia,.. Nampango wa kununua tv anina ya star x inch 43 smart ivi hizi tv zina tatizo kwa ambae ametumia? na je, hiyo smart ni kwenye ina support internet youtube na...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Nani anaweza kunisaidia ili niipate?
1 Reactions
39 Replies
4K Views
  • Poll Poll
You don't have no longer to see it
1 Reactions
6 Replies
1K Views
Wadau, Kweli awamu hii yetu wote Nimepitia ukurasa wa Vodacom intaneti packages, nikakutana na hii, inamaanisha ukijichanganya ukaweka kivocha chako cha jero hujazima data, hakichukutachukua hata...
1 Reactions
8 Replies
4K Views
Wakuu simu gani naweza pata kwa hii bajeti??
0 Reactions
50 Replies
4K Views
Natafta mtu anaeweza kuniunganishia channel nying iwezekanavyo kweny Tv yangu kwa kutumia antenna(bila king'amuzi). Mimi nmejaribu nmepata channel ila zinaonyesha baadhi. Nadhani kuna ufundi...
0 Reactions
33 Replies
19K Views
habari wana jukwaa naenda direct to the point kwamba mimi ni mpenzi wa pc fifa,pes, games ila ni mwezi kila nikijaribu kudownload naibiwa GB TU .kama fifa 16 linadownload alafu kwenye kuactivate...
0 Reactions
7 Replies
3K Views
Naombeni kufahamishwa bei desktop computer yenye HDD 500,RAM4GB,processor 3
0 Reactions
2 Replies
625 Views
habari za muda huu wana jf naomba msaada mwenyekujua jinsi ya kufuta mesage ya wasap ambayo nimeandika nikakosea ikaenda sehemu ambayo sio sahihi .kama vile tunavyo futaga mesege ya kwenye group...
0 Reactions
25 Replies
6K Views
Watanzania Wengi hawajui Vionjo vinvyopatiakana kutikana na Technology (Dolby Digital, Dolby Atmos, Dolby pro Logic, Dolby purse, Dolby true HD, Dolby Digital +DTS, DTS primere) linapokuja suala...
0 Reactions
6 Replies
3K Views
Habari wadau, natafuta mwenye windows 10 installation disc tuwasiliane. Nimeivuruga pc yangu ndo nataka nianze upya kabisa. Napatikana Dar
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Wakuu habari. Nina simujanja ambapo Kwa takribani siku ya tatu Leo, simu inaleta Ujumbe huu "unfortunately,process. android.acore.has stopped". Nahitaji kujua chanzo cha Ujumbe huo, na pia nini...
1 Reactions
8 Replies
999 Views
Naombeni mnitajie site nzuri za kudownload movie za kichina asanteni
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Kama mada inavyojieleza hapo juu, ni kwamba nina wireless mouse ambayo nilipoteza usb receiver, sasa nimepata USB receiver ya mouse tofauti nimejaribu kadri ya uwezo wangu kuunganisha...
1 Reactions
18 Replies
4K Views
WhatsApp inayomilikiwa na Facebook wamesema wataanza kuzuia uwezo wa kuforward msg kwa chat 20 tu na kwa chat 5 India. Pia wataondoa uwezo wa quick forward india. Hii ni baada ya watu kadhaa...
1 Reactions
2 Replies
1K Views
Wakuu wa jukwaa heshima yenu... Naamini kichwa cha habari kinajieleza tosha na wala hakitakuwa kigeni kwenye jukwaa hii Simu tajwa hapo juu (huawei mate 10 pro) ndo simu niliyovutiwa nayo...
0 Reactions
15 Replies
4K Views
Hi ndugu Nina modem nyeupe za voda zenye option ya wifi nikituma sms via web page inayotokea nikiconnect tu modem kwenye mozila firefox NATUMA sms saliodata KWENDA 15300 inanirudishie ujumbe...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Habari wakuu napenda game za ppc lakini kila nikijaribu kudownload kama GTA vicecity lina kula mb zangu kama GB 1.7 lakini hakuna mafanikio zaid file linakuwa complete alafu naambiwa kwa game...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Back
Top Bottom