Habarini Wadau,
Kichwa cha habari chajieleza, ninaomba kujuzwa mambo mawili:
1) Je ni mtandao upi wenye kasi zaidi wa internet kati ya Vodacom na Halotel?
Na nikitaka kununua line ya 4G ya...
Waanzishi wawili "Founders" wa WhatsApp ambao waliunda kampuni hiyo na baadae kuiuza kwa kampuni ya Facebook kwa $ Billioni 19 sasa wote wameacha kazi Facebook. Hii inatoka na kutoelewana na FB...
Habarini. Naombeni link ya kudownload au msaada wa kuzipata drivers za wifi za samsung windows 7 ultimate 32bit. Pc yangu nilibadilisha window sasa nashindwa ku connect na wifi. Msaada please...
Habari ndugu zangu, kama title inavyojieza naomba msaada wa ku update samsung j5 prime android 6.0.1 to current version ya android.
Before niliangalia youtube jinsi ya kuupdate nikakwama kwenye...
Nitawezaje ku restore cm ambayo sio smart phone ili niweze kutoa password? Maana kuna mtu alikuwa anaichezea matokeo yake akai lock kabisa! Aina ya cm ni tecno ila ni ya keypad co smart phone...
Najua hili sio swala geni kwa baadhi ya watu ila wapo wengi ambao hawajui so sio vibaya kufundishana kwa faida ya wasiojua
Katika maofisi mengi kumekuwa na Free network ya Wifi ambayo huwa na...
Nimewaletea application hizi .nanyi muweze kunufaika nazo ni application nzuri na nitaendelea kuwaletea kila kukicha huu ni mwanzo unachotakiwa ni kuupload na kuinstall kwa simu yako .. haswa...
Katika sayansi watajwa hapo juu wanahesabika kwamba wana mchango mkubwa. Tukianza na NEWTON anajulikana sana uvumbuzi wa laws of motions na pia wengi wanafahamu kuwa amegundua hesabu ikiwamo...
Jamani wadau nina swali moja dogo naomba msaada. Hivi ukipost picha au video kwenye mtandao let say Instagram watu wakiiangalia wanalipia pesa kwa njia ya data. Nani analipwa gharama hiz za...
Nimetengeneza simple website ambayo Itawakutanisha wakulima na wafanya biashara mbalimbali wa mazao. website hii itakua inaweka matangazo ya wakulima au wafanya biashara ambao wanauza mazao yao...
asalaaam...
Nahitaji msaada wa jinsi ya kuona inbox message ya yahoo yangu, niko na account yake nakumbuka user name na passoword; nikilog in inanambia niverify, tatizo nilichagua email, na hiyo...
Nimekua nikijiuliza Pamoja na kuwa very expensive, hakuna iphone yoyote inayoweza kutunza chaji kwa 24hrs Data ikiwa switched "on" kinyume na Simu za tecno ambazo zinapatikana kwa bei...
Habari za jioni.
Tanzania inaongoza barani Afrika kuwa na watumiaji wengi wa Mtandao wa Instagram. Wapo wanaotumia mtandao huu kwaajili ya biashara na wapo wanaotumia kinyume na jinsi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.