Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions
Habari wanajamvi naambia local port 33333 is in use nikijaribu ku conect tunnel guru kwenye PC.
1 Reactions
19 Replies
4K Views
Wakuu naomba kuuliza ni launcher ipi ni nzuri kuitumia!
1 Reactions
17 Replies
4K Views
Napenda IPhone kuliko hizi mchinaz
0 Reactions
58 Replies
16K Views
Sim yngu imepasuka Touch na Dispray Gharama inakuweje Msaada wenu tafdha
0 Reactions
5 Replies
836 Views
Habarini wataalamu... Natumia Samsung J1 Ace, shida ninayoiona sasa ni kuwa nikifungua app fulani katika simu say WhatsApp/JF/Facebook yani kabla sijamaliza ninachokifanya inajifunga, so...
0 Reactions
3 Replies
921 Views
habari za kutwa wana jamvi.? Natumia tablet ya techno DP7CPRO ina ram ya gb 1 na ila huwa haipiti wiki inadai ni update application nisipo update zinagoma kabisa kufunguka hadi niflash cm je...
0 Reactions
1 Replies
848 Views
Wadau habari za sikukuu, niende moja kwa moja kwenye mada. Naandika kwa niaba ya ndugu aliibiwa iPhone ☓ juzi na boda boda akiwa kwenye foleni maeneo ya Tabata hivyo tunaomba msaada kama kuna mtu...
0 Reactions
20 Replies
5K Views
Jamani naomba msaada wenu nilikuwa najalibu ku-unlock modem yangu vodafone k3565-z ili niweze kuitumia kwa laini tofauti na voda lakini sijui nimekosea wapi , nikiingiza kwenye computer yangu...
0 Reactions
21 Replies
4K Views
Habar za jion wana jamvi. Niko mwanza nahtaji kujua gharama, hasa za ufund kwa wiring za chumba na sebule yaaan switch na taa , pamoja na taa tatu za nje. niko mwanza kama kuna fundi certified...
0 Reactions
2 Replies
3K Views
Wakuu kila nikichomeka chaja kwenye iphone yangu i keep getting this error. Naomba msaada tafadhali
0 Reactions
9 Replies
1K Views
Msaada je kunauwezekano wa ku install adobe master master collection kwenye Linux especially kwenye ubuntu or kuna link yoyote ile naweza pata setup za Adobe for Linux Os.
0 Reactions
2 Replies
967 Views
Wadau nmedownload dream league linagoma kufunguka.naomba msaada wenu nifanyaje?
0 Reactions
3 Replies
2K Views
  • Poll Poll
Habari wanajamvi?kwa muda nimekuwa nikifuatilia nyuzi mbali mbali kwenye jukwaa hili,kuna wajamaa walikua wakitoa trick nyingi sana toka smatskills.com.kwa wiki kadhaa walikuwa hawapatikani...
1 Reactions
2 Replies
2K Views
Naombeni msaada kuna headphone inaitwa KINIVO iko so smart inatumia bluetooth je naweza kuipata kwa hapa tanzania .
0 Reactions
0 Replies
631 Views
Wasalaam, Kama kichwa kinavyojieleza naomba kusaidiwa wapi naweza pata IC ya radio; LA 4496 (JVC radio) kwa dar, mi nipo mkoani but nikipatiwa msaada wa wapi naweza pata ntajua njia ya kuipata.
0 Reactions
4 Replies
3K Views
Ndugu wapendwa mbona kuona mpira wa uingereza ni ghali sana na DSTV pekee ndo wanarusha kwani Hamna kituo mbadala cha bei nafuu tukafaidika wote maana bila ya shs 147,000/-Tshs mpira huon.au jipu...
0 Reactions
62 Replies
15K Views
Ni king'amuzi gani kizuri cha FTA channel na na bei yake
0 Reactions
1 Replies
754 Views
Nimefuta kwa bahati mbaya nasikia huwa kuna namna zinaweza kurudishwa,msaada wenu tafadhali
1 Reactions
8 Replies
5K Views
Nimesikia huu msemo kwa mchambuzi mmoja wa maswala ya technology-unasema "Good phone are getting cheaper and cheap phone are getting good." Mawazo yenu wadau je msemo huo unaukweli tu share mawazo
0 Reactions
0 Replies
540 Views
Msaada wadau tunnelguru imeacha kufanya Kaz kwa Halotel mwenye port mpya au mbini mpya anipatie tafadhalii
0 Reactions
10 Replies
1K Views
Back
Top Bottom