Kwanza ningependa kutoa shukrani zangu kwa wana JF kupitia wao nimejifunza mengi na Leo nipo jukwaa hili lengo ni kuendelea kujifunza sababu knowledge is power. Nipo katika harakati za kutafuta...
Nilishawahi kusoma thread moja humu JF jamaa alikuw anazungumzia kuhusu watu kujifunza softwares mbali mbali na kati moja aliyoigusia n SAP.Ckuishia kusoma tu nlienda kuitafuta niijue na kutafuta...
Kwa watakao kuwa interested kufahamu tips mbalimbali in web design waweza request kitu gani ungependa kujifunza na nitakitolea maelezo ......
1.jinsi ya kutengeneza simple log in form
2.jinsi...
Habari za muda wakuu naomba kujuzwa jinsi ya kuweka games katika ps3 ambayo bado haijafanyiwa JAILBREAK kea kua niko nayo moja hivi yenyewe haina MULTIMAN na ina game ndani yake sasa naomba msaada...
Habari wakuu! Naitwa Alvin ni mgeni humu, nimeona sio mbaya nikijielezea kidogo mimi ni nani na utaalamu wangu ni nini.. Kama nilivyotaja jina langu pia ni mhitimu wa chuo cha KITM kilichopo...
Habari za majukumu wadau wa jukwaa hili. Nina mpango aa kunua hiyo simu tajwa. Nimeipenda umbo lake lakin mambo ya kuhusu processor sijui. Pia nimeona ina super amoled. Naomben kwa anayeijua...
Kwa wale watumiaji wazuri wa internet nadhan hapa watakuwa wananielewa. kulikuwa na PD Proxy hii ilikuwa na speed nzur sana ukilinganisha na Tunnel Guru sasa nauliza wataalam je kuna uwezekano...
Wadau habari zenu
Lengo la kuanzisha huu Uzi ni kutaka mnisaidie nahitaji kuwa hacker na nimesha anz kupitia baadhi ya matini ya hacking issues.naomba mwongozo wenu juu ya matini yaan vitabu...
Wakuu jana nilijitokeza kumshuhudia mheshimiwa Rais akiwa jijini Arusha, Uwanjani shehe amri abed Nilivutiwa na maonesho ya Askari wetu kwa Ujumla ila kitu kilichonivutia na Kutaka kukijua ni...
Habari wana jamvi! Naomba kujuzwa hii kanuni mpya za mitandao na ada zake maana hapa naziona ni kubwa mno yaanai kuwa na website lazima ulipie ada ya 1M au kwa mwaka hata km website yako si ya...
These are all GPU(Graphic Processing Units).
They are used for optimised and extra graphic quality for images and videos and Games.
Adreno
Adreno series of GPUs are developed by Qualcomm (a...
Wadau natumia window 10 kwenye pc yangu,sasa majuzi baadhi ya apps zmekuwa blank Icon kama microsoft edge, photo viewer mwenye ujuzi wa kuzirudisha normal tafadhali.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.