Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions

JF Prefixes:

habari wadau , kama unayo app ya Tigopesa cha kufanya update na pia kwa wewe ambae hauna nenda play store download jisajiri kula maisha wanatoa GB 1 masaa 24 nadhani zitakusaidia kukusukuma,
0 Reactions
3 Replies
509 Views
Ndugu zangu nataka niwambie ukweli kuwa mimi nina ujuzi kubwa juu ya mitandao ya Kijamii na ni mzoefu mkubwa wa mitandao ya kijamii na mara kadhaa nimekuwa nikisaidia badhi ya kampuni kudesign...
0 Reactions
11 Replies
546 Views
Leo nilienda kujaza fomu pale TTCL-Tegeta kwa ajili ya huduma ya fiber nyumbani Kwanza picha linaanza naambiwa utaratibu ni kujaza fomu kwanza halafu baadae mtu wa survey atakuja kungalia ndio...
3 Reactions
17 Replies
3K Views
Mimi naishi mkoani ni changamoto sana kupata developer sasa nilikuwa na kazi yangu nataka developer aifanye nimekutana na madogo kama watano hapa wamesomea kozi hiyo ya IT Kuna kazi nilikuwa...
17 Reactions
83 Replies
3K Views
Wakuu nimeptia mtandaoni na kuona hili simu Sasa sijui ipoje kwenye ubora na bei apa bongo, naomba kupewa ABC kidogo
1 Reactions
4 Replies
510 Views
Habari, Ni muda sasa nimekuwa nikifungiwa WhatsApp hadi natamani kuifuta kabisa, kila niki submit wanaifungua baada ya masaa 24 kisha haimalizi at a dakika 5 inafungiwa tena naomba msaada.
3 Reactions
58 Replies
2K Views
Hivi karibuni nilinunua simu ya google pixel 4xl ambayo nimeitumia Kwa takribani miezi 5 then ilizima ghafla na ever since haijawaka tena despite kujaribu kuipeleka Kwa mafundi mbalimbali wa simu...
1 Reactions
1 Replies
571 Views
Tumeshuhudia usafiri wa helkopta ukiondoa nafsi za viongozi mbalimbali hasa katika kampeni za kisiasa au operesheni mbalimbali zikiwemo za kijeshi. Ni usafiri ambao unafaha sana kuzunguka eneo...
9 Reactions
68 Replies
4K Views
Catarina Demony, Ana Cantero LISBON, May 19 (Reuters) - A bright comet fragment lit up the skies over parts of Spain and Portugal late on Saturday, according to the European Space Agency (ESA)...
0 Reactions
0 Replies
263 Views
Nahitaji Hard Disc Nipo Shy Town mwenye nayo Tufanye Biashara Ukubwa 1Tb 2Tb 3Tb na Kuendelea NOTE: Sihitaji Za Madukani Bei Gali Sana .
0 Reactions
1 Replies
207 Views
Msaada jamani nimeibiwa simu jana jioni samsung s23ultra, wenye uwezo wa ku-trace kila kitu chake ninacho.
0 Reactions
10 Replies
573 Views
Nataka nitengeneze App ya TV ambayo ndani yake kutakuwa na channels za kutizama mpira na vipindi mbalimbali vya TV (movies, news) Je, zina faida? Au nitawezaje kunufaika nayo?
0 Reactions
10 Replies
383 Views
Wakuu habari, naombeni msaada wenu, Iko hivi kuna manzi niko nae, ex wake alichukua simu ya manzi wangu na kuni block kwenye calls za kawaida. Yaani nikipiga au manzi akicheki simu zinakuwa...
4 Reactions
38 Replies
1K Views
Hello my jf friends[emoji112] hii ni thread yangu ya kwanza nabandika hapa jukwaani lakini sio kwamba niko expert sana kwenye haya mambo ila ni passion tu ndo inanisukuma pia napenda kushare kama...
14 Reactions
86 Replies
10K Views
Nina Mifi router ya tigo, inaitwa HOME INTERNET Sasa nataka kuconnect na laptop yangu Nifanye configuration Ili niweze kutumia WIFi Msaada Kwa mtu ambae ana router kama hii tafadhari.
1 Reactions
9 Replies
424 Views
Habari Jamii! Nimekuwa nikifikiria sana jinsi teknolojia inavyobadilisha jinsi tunavyoishi na kufanya kazi leo. Kutoka kwa simu zetu za mkononi hadi kwa matumizi ya AI, teknolojia inaingilia kati...
0 Reactions
8 Replies
507 Views
Habari za jioni,Nina kama shilingi za kitanzania 350,000/= je ni simu gani nzuri ya Android ambayo naweza kupata kwa pesa hii ama chini ya hapo. Niliwahi kuandika thread kama hii kuhusu simu za...
2 Reactions
675 Replies
140K Views
Wakuu habari za mchana, Naomba kueleweshwa kwa mwenye kujua tofauti kati ya Mac book Pro na Mac book Air (apple) maana kuna jamaa kaniambia anayo na mimi nahitaji mac book so sijui ipi nzuri...
1 Reactions
17 Replies
6K Views
Hi Wana JF Tanzania tuko na mitandao mitatu ya simu inayo toa huduma ya internet.Kati ya hiyo ni upi ambao huduma zao ni faster sana. Na rate zao ni sh ngapi kwa KB or MB kadhaa?..nafahamu...
0 Reactions
17 Replies
5K Views
nimeambiwa hiki ni kifaa cha kuweza kuweka lain za sim nyingi hadi laini 8 kwa wakati mmoja kwa pamoja, naomba kuuliza inaruhusiwa kisheria kumiliki hiki kifaa na kama ni ndio kinapatikana wapi...
0 Reactions
11 Replies
826 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…