Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions
Eti wanandugu nisaidieni namna ya kupata hii antivirus online pamoja na activation key yakee kama una link naomba nisaidie kuweka hapa
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Hello wanajamvi poleni n amajukumu ya hapa na pale. Nataka nitoe somo kidogo kuhusu namna ya kuactivate windows 10. Hatua hii itafix pia matatizo madogomadogo ya windows kama "Your product...
0 Reactions
8 Replies
4K Views
Nina Samsung galaxy tab 10.1, inawaka lakini ikifika kwenye logo 'SAMSUNG' ina-stuck hapo hapo. Nimejaribu ku-flash custom rom kwa kutumia Odin3 lakini ina-fail. Pia haiwezi hata kwenda kwenye...
0 Reactions
3 Replies
843 Views
Naomba msaada wa link ya kudownload bluestacks. Natumia window 8
0 Reactions
8 Replies
3K Views
Muonenekano wa Simu Janja au Smart Phones mbali mbali ifikapo 2018 na kuendelea Mambo ya Teknolojia haya
1 Reactions
1 Replies
2K Views
Habari JF, Mimi ni mtaalamu wa masuala ya IT na nimekuwa nikijihusisha na masuala ya kutengeneza websites na blogs kwa muda mrefu sasa, kwa yeyote anaehitaji kutengenezewa blogu kwa bei rahisi...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Habari ndugu, nilikuwa natazama TV nyumbani Mara umeme ukakatika, nikasahau kuzima kwenye soketi. Mara umeme ukarudi kwa nguvu,ghafla nikasikia TV ikiongea sebuleni nlipoenda ili niendelee...
0 Reactions
4 Replies
3K Views
msaada anaefahamu namna ya ku unlock modem ya smile 4g pls kwa sasa inatumia smile peke ake na vifurushi vyake n gharama sana ukilinganisha na mitandao mingine
0 Reactions
0 Replies
2K Views
salaam wataalam, sijui nitumie Kiswahili gani ili niweze kueleweka vizuri na kupata msaada wa haraka, jana niliiflash/kuirudisha upya PC yangu kwa sababu ilikuwa inagoma sana hata kwa vitu vya...
0 Reactions
0 Replies
636 Views
Habari zenu wazalendo wa JF. Naomba msaada wa namna ya kuinstall WhatsApp in Nokia Asha 200 kwa wale wajuzi wa mambo haya. So itakuwa vizur kama mtu akiniwekea link hapa ya kudownload moja kwa...
0 Reactions
8 Replies
3K Views
Simu aina hiyo imeniletea shiida kwenye App. zikawa hazifanyi kazi hasa wassp, na jf nikaamua ku uninstall na kuintall upya tatizo likawa bado nikaamua kufanya factory resert. Sasa ili niendelee...
1 Reactions
10 Replies
1K Views
Habari wadau!.. Nina swali ningependa uliza najua moderators wanapitia hizi nyuzi pia. Makampuni kama Google wamejitengea dau lao kubwa tu kwa mtu atakayeweza gundua any loopholes kwenye system...
0 Reactions
9 Replies
1K Views
Natafuta simu aina ya LG Nexus 5X iliyotumika au mpya. Bei zake zikoje, na zapatikana wapi Dar es Salaam?
0 Reactions
11 Replies
4K Views
nina Samsung note 4 nikitaka kupiga inaniambia not registered on network msaada plz..!!
0 Reactions
2 Replies
584 Views
Habari wakuu, aisee naomba kujua kama kuna namna yoyote yakudhibiti matumizi makubwa ya Mb,hasa nikitumia Instagram, yaani mb 600 Ku katika kwa nusu SAA inakuwa kawaida endapo nikichek short...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Msaada wenu wadau, laptop yangu ilizimika nikiwa naangalia movie baada ya umeme kukatika, ulivo rudi nilipo iwasha iliwaka kawaida na nakuandika jina la brand baada ya hapo haioneshi kitu. Ni...
0 Reactions
8 Replies
948 Views
Habari wakuu,Nimejaribu kuziweka chanel hizo katika Media Player Moja ambapo utaweza kupakua na kuangalia zote. pakua hapa [Android App: eMomba]
2 Reactions
48 Replies
12K Views
Hizi hapa....... *#06# IMEI Number *#1234# Software version *#12580*369# software and hardware info *#7353# Quick test *#0*#Test mode *#0011# service mode *#0228# battery status *#0808# USB...
1 Reactions
3 Replies
987 Views
Naomba Msaada Nna photocopy mashine ni canon NP 6317 imegoma ku fanya kazi inaniandikia E 004 Je Nifanyeje ku solve Tatizo?
0 Reactions
0 Replies
408 Views
Back
Top Bottom