Wakuu habari! Nahitaji kuwa professional photographer, je ni wapi naweza kupata wataalam ninapoweza kujifunza kwa hapa dar es salaam na gharama za kufundishwa zikoje.Natanguliza shukrani kwa...
Takribani miezi 3 nimenunua laini ya simu kutoka kampuni ya simu ya umma yaani TTCL, baada ya kuja na kufanya promotion ya huduma zao pamoja na vifurushi mbalimbali ambavyo mteja atafaidi baada ya...
Kampuni mamá ya Tigo na Zantel (Millicom ) inasemekana wanafanya mazungumzo ya Siri ma kampuni ya Zimbabwe (Econet wireless), ili Econet wazinunue hizo kampuni mbili za Tanzania.
Wanakimbia nini...
Nimeamini cha kwanza kuogopa ni Mungu cha pili ni Teknolojia, Hii video inaonyesha vifaa vya kiintelijensia ambavyo wapelelezi wengi huvitumia kukusanya taarifa
Nahisi hata akina Lema na nassari...
mnatumia printer zipi kuprint mabango makubwa kama ya barabarani na ni shingapi printer hizo je naweza pata hapa Tanzania na pia mnatengeneza na kuprint kwa tshs ngapi? na paper hizo zinaitwaje...
Nahitaji msaada jaman,Nina flash yangu ni 64 GB Ila nikiiwekea vitu either programs/vingine muhimu havfunction ko naomba msaada wenu namna ya kufanya ili vifunction
Ahsante
Mimi huwa napenda kutumia programu nyingi nyingi katika utendaji wangu wa kazi wa kila siku , nimeonelea niandika kidogo kuhusu programu hizo ambazo huwa nazitumia katika shuguli hizo ingawa...
Wakuu naombeni msaada,kila nikitaka ku copy document yoyote kwenye Pc yangu naambiwa you need administrator permission to copy this file,tatizo ni nini?
natanguliza shukrani!
Wakuu naomba mnifahamishe/shauri smart phone nzuri na ya bei rahisi inayofaa kwa mwanamke,aliyokuwa akiitumia mtoto kaitumbukiza kwenye ndoo ya maji fundi anataka 70,000/= kuirekebisha nimeona...
Samahani wadau kama kuna mtu anayejua kupata Unit zilizotumika kwenye mita ya 3phase. Naomba anijuze maana vijana wetu hawa wanatuibia kisha anaweka unit nyingine ukija hesabu za unit ziko sawa...
AS SALAAM 'ALAYKUM WARAHMATULLAAHI WABARAKAATUH
JINSI YA KUFUTA FOLDER & FILE MOJA KWA MOJA (PERMANENT)
Na'am, Hakika Mambo Yalivyo, Ukiwa Unafuta Folder Au File Kwa Ku delete Kama Wajua Wengi...
Msaada kuhusu iPhone 7+
Kwa anaejua iPhone vyema ,simu yangu ina 250gb,tatizo langu ni kwamba nikisave chochote chenye ukubwa wa mb kwenye simu kinachukua space Kama GB. Kama kuna mwenye kujua nn...
Wakuu nili shift from Windows 10 to Window 8.1 sasa baada ya kupiga chini win 10 nilikuta Win 8 ina miss driver nyingi sana nktafuta Driverpack solution ya offline na nka install izo driver sasa...
hello Great Thinkers, i'm new in web apps developing arena. I'm currently doing some HTML5 CSS and JS.
i know the difference btn HYBRID MOBILE APPLICATION and NATIVE MOBILE APPLICATION only by...
Habari wadau mwenye setup ya microsoft office kuanzia 2007 anisaidie nipo mbali na mjini naomba mtu yeyote anifanyie attachment
Pamoja na hilo mwenye setup yoyote ya AVAST ANTIVIRUS offline...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.