Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions
As per subject above hereby is some problems I have came with, In my laptop on typing the arobase by pressing Shift+2 it brings this symbol " please help me with some tricks to recover this...
0 Reactions
3 Replies
790 Views
Hello wadau nimwshindwa kudownload gbwhats app new version 2017 nifanyeje jaman naombeni link ya moja kwa moja au mwenye msaada mwingne plssss wadau shukrani
0 Reactions
2 Replies
598 Views
Wataalamu wa mambo, natamani kuifahamu hii application inatumikaje kwenye smartphone
0 Reactions
1 Replies
593 Views
Wakubwa Kwema naomba msaada wa jinsi ya kurudisha gmail account, Nikiwa katika matumizi yangu ya kawaida ya simu yangu nilipata ujumbe kwamba nimekua signed out of google a/c nikajaribu kurudi...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Microsoft Edge Tusikariri tu firefox na Google chrome,mpaka sasa sijaona browser ya kuichomoa Microsoft edge, ni edge kweli.
1 Reactions
15 Replies
2K Views
Ni kweli kabisa, kuna malengo ya kutoa huduma za kibiashara kwa makampuni kupitia app ya WhatsApp...ila kwa sasa hivi hakuna mapato yanayotengenezwa na watu kutumia app ya WhatsApp. Soma...
0 Reactions
29 Replies
3K Views
Hey wadau nahitaji msaada wenu, Simu yangu imeibiwa inakama siku tatu toka ipotee, kila nikijaribu kuipiga namba yangu inaita mtu anapokea then haongei kwahio inamaanisha huyo mtu bado anatumia...
0 Reactions
14 Replies
3K Views
Watu wengi hutamani kupakua video kutoka instagram, sasa hii ni njia mojawapo ambayo unaweza kuitumia ku-download video na picha kutoka instagram.
0 Reactions
4 Replies
31K Views
Ni siku ya pili leo simu yangu hai-boot zaidi ya kuonyesha alama ya apple tu,yaani hapa ndipo mwisho wake wa kuwaka. kwa yeyote mwenye ujuzi/utaalam anipe maelekezo ya kufuata ili niinusuru simu...
0 Reactions
32 Replies
4K Views
Hello guys, i hope you are doing fine, Naombeni mnisaidie jinsi ya kutuma hela kwenda payoneer account
0 Reactions
5 Replies
2K Views
WADAU..NATAFUTA MTU FUNDI SIMU WA HARDWARE TUSHARE TUCHUKUE FREMU AU KIBANDA TUFANYE KAZI MIMI NTAKUWA UPANDE WA SOFTWARE..HARDWARE SIPO VIZURI SANA..KAMA YUPO..NTAFUTE PM.
1 Reactions
2 Replies
759 Views
PC yangu aina ya DELL ukitia windows inasumbua na hats ikiingia window kioo hua cheusi na kuandika" Window is not genuine" nini tatizo na vipi nalisolve
0 Reactions
9 Replies
923 Views
Ni simu ndogo ya techno,ambayo sio smartphone nimesahau password zake. Natanguliza shukran
0 Reactions
2 Replies
871 Views
ndugu, naombeni kujuzwa juu ya hizi device za xiaomi, nnahtaji kununua thou naambiwa kuna aina na model nying tu....... natanguliza shukrani
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Habari wadau, Kuna hili tatizo ambalo ni common sana kwa computer za kileo ambalo ni kugoma kuwaka display yani unapush button ya power mashine inawaka ila kioo hakiwaki wala kuonesha kitu...
0 Reactions
11 Replies
4K Views
Habar zenu wakuu Naomba msaada nifanyeje ili kuondoa pattern kwenye simu za Android endapo nimesaisahau. Natumia Samsung GT 5301
1 Reactions
26 Replies
8K Views
Hello, natumaini wazima, ningependa kuongelea kuhusu animations kidogo japo haijapewa kipaumbele sana japo ni muhimu sana hasa technology inavyozidi kukua tunahitajika kuboresha matangazo yetu...
2 Reactions
14 Replies
2K Views
Wakuu mwaka huu Samsung wametoa simu nyingi sana mpaka wanatuchanganya wateja. Kwa maoni yangu najua simu kali za Juu zaidi kwa Samsung ni: 1)Note 8 2)s8+ 3)s8 4)s7 edge 5)s7 Sasa baada ya...
1 Reactions
26 Replies
4K Views
Wapi naweza kuipata nikiwa Mwanza. Toshiba portage R830 CMOS System RTC Battery
0 Reactions
5 Replies
697 Views
Back
Top Bottom