AS SALAAM 'ALAYKUM WARAHMATULLAAHI WABARAKAATUH
JINSI YA KUJUA KILA ALICHOKIFANYA ULIYEMUAZIMA COMPUTER
NB Dhumuni La Tutorial Hii Ni Kujifunza Tu, Hivyo Basi Itumike Katila Kheri Na Sio...
Habari wana jamii forum
Jana nilisoma kuhusu habari ya DEEP WEB kwenye jukwaa la habari mchanganyiko,sasa bado nina kigugumizi kuhusu hii kitu naona bado inanitishia maana nimeinstall naona bado...
What is the deep web?
The deep web is that part of the internet that is not accessible through regular searches on google or on other search engines.
Here are some facts about the deep web...
Naombeni mnisaidie, nawezaje kuandika barua kwenye excel na kuituma iende kwa watu hata watatu?
Je, excel inauwezo wa kuandika barua? Je, nawezaje kuituma kwa email ikawa na wapokeaji wawili ama...
Wadau habarini za asubuhi
Kwa yeyote mwenye uelewa wa UDUKUZI, asaidie kumgundua mdukuzi (hacker) anae dukua taarifa za mawasiliano yangu na kujua sehemu (location) zote ulizopo,naomba msaada...
AS SALAAM 'ALAYKUM WARAHMATULLAAH WABARAKAATUH
IJUE IDADI YA WEBSITE ZILIZOHACK-IWA, INTERNET USERS N.K WA SIKU YA LEO.
HATUA
1. Ingia Google.Kisha Nenda Sehemu Ya Kuandika Url.
2. Andika...
Wadau salamu kwenu.
Namhitaji mtaalum wa kudesign Web kwa ajili ya taasisi. Kama kuna mtu yupo expert na mwenye uzoefu wa kutosha kwenye kazi hii plse ni PM kwa mazungumzo zaidi.
Nipo serious na...
Google is the best search engine available on the Internet. Period. Thats why it is important to know how to master it with this Google tricks section! When Internet started becoming famous the...
Nimeona hili la developers wa kitanzania kutokuwa na ushirikiano mzuri kati yao na hivyo kurudisha nyuma mafanikio na mchango wao katika ukuaji wa TEHAMA kwa maendeleo ya taifa letu Tanzania...
Kwanza kabisa mod muuache uzi Huu kama ulivuo ntashukuru.
Uahauri jamani nataka host na kuchukua kibali cha kumiliki forum kwa ajili ya kuwaunganisha wanafunzi Wa vyuo vikuu na watu wenye...
Kama inavyojieleza hapo kwenye heading naombeni msaada memory card yangu nashindwa kuhamisha files kutoka kwenye PC kwenda kwenye memory, au nikitaka kufuta baadhi ya files kwenye memory...
Nina TECNO-W3LTE inatatizo la kwenye whatsApp tu ndo inazingua nikiwasha data whatsApp inakataa ila app zingine zote zinakubali.
Nilijaribu kuconnect wifi ndo WhatsApp ikakubali na siwezi kutumia...
Kuna habari kwamba TCRA itatoa mafunzo ya simu kwa mafundi simu wa upande wa SOFTWARE sasa nilikuwa nataka kujua utaratibu upo vipi na sifa zipi zinatakiwa
Hebu tusaidiane katika hili wandugu
Natumia samsung galaxy note 5 verzon shida yangu ni kwamba alama ya 4G kama inavyoonyesha kwenye picha ya kwanza haitoki hata nikizima data. Hvyo naomba kuelekezwa nifanye nini ili nikizima...
Jamani Ndugu zangu wataalam tusaidiane ninae hio simu yangu tajwa apo juu imekuja na Metropcs kama sikosei, sasa kila nikijaribu kuweka WCDMA au LTE yaani no network kabisa....sasa wanandugu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.