Habari wazee kwa vijana,
Nimefanya clean installation ya windows 10 juzi hapa ili kupata experience yake toka windows 7, Cha kustaajabisha nashangaa sizioni apps zangu ninazo install hasa app...
Habari wakuu, nina laptop yangu HP 6930p elitebook. Baada ya kupeleka kwa fundi kufanyia marekebisho kidogo na kubadilishiwa/ kuweka window 8.1 imegoma kushika wireless na hata nikiwasha Wi-Fi...
Habari wanajamii Mimi ni mwanafunzi wa mambo ya programming sasa naombeni ushauri nimetengeneza full system ya medical store ambayo unaweza kuuzia dawa
Kati ya faida ambazo unaweza kupata katika...
kuna pc(HP) ninayo ilikua na windows 7 na ikiwa inafanya kazi vizuri tuu, lakini nilichukua maamuzi ya kubadili window na kuweka windows 8, but on that time baada tu ya kukamilika installation ya...
AS SALAAM 'ALAYKUM WARAHMATULLAAHI WABARAKAATUH
Je Wewe Ni Miongoni Mwa Watu Ambao Hupendi Kutagiwa katika Facebook timeline yako?
USIHUZUNKE Fanya Hiviiiii
CHEKI VIDEO HAPO CHINI ILI...
Wajuzi wa mambo ya net na apps,nauliza kama kuna APPS yoyote inayoweza kunitolea picha zangu zilizofutika kimakosa kwa galaxy yangu,nina Samsung Galaxy Grande Prime Duos zilikuwa images pamoja na...
asubuhi nimejipanga kwenda kununua simu aina ya tecno w3 naomba kujua bei yake wasije nipiga za mbavu pia naomba mnifahamishe vitu muhimu vya kuzingatia
Habari za leo natumai mu wazima wa afya
Nilikua natumia king'amuzi cha azam na dish lake wezi wakaniibia kingamuzi na dvd sasa nimebaki na dish bila kingamuzi ,tv na receiver ya mediacom ya FTA...
Hello guys, Naombeni msaada kwa aliyewahi kunua bitcoins, Ntawezaje kunua bitcoins kwa taarifa chache mfano email tu, Kuna mtandao unaitwa coin base wananitaka nitoe passport yangu na sijapenda...
Natumia window 10 .Nina copier canon ir 1024 .. Naomba msaada wa kupata driver ili iweze kuprint, nitashukuru.
Pia kama unayo software nitashukuru ukinisaidia
Habari za muda huu jamani wote kwa pamoja, napenda kushiriki na wana JF mambo mengi sana lakini bado sijajua taratibu zikoje kuhusu kupost kutu.
Kwa mfano mpaka sasa sijajua kabsa kuweka picha...
Yaan nikiweka line ya airtel ndo inazngua tu nikibadilisha upande wwte wa line inazngua ila lkn ya tigo na voda sehemu zote zinasoma nikijaribu airtel ndo inazngua some time inasoma kama sekunde...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.