Hii ni mitambo inayoitwa S400 air defense system hii ni toleo lenye ubora zaidi ya S300 ambalo walikua nalo, hii ni mitambo inayofanya kazi ya kulinda anga na hutengenezwa nchini urusi.
Ukiacha...
AS SALAAM 'ALAYKUM WARAHMATULLAAHI WABARAKAATUH
Na'am, Kama Kawaida Yetu Kufunzana Mambo Mbalimbali Mpaka Ujinga Utukimbie.
Leo Tutajifunza JINSI YA KUBADILI SAA & TAREHE KWA KUTUMIA CMD.
IKO...
AS SALAAM 'ALAYKJM WARAHMATULLAAHI WABARAKAATUH
Na'am, In Shaa Allaah Leo Tutaelekezana Jinsi Ya Ku Zoom In/Out Kwenye Lap/Desk-Top.
Twende Kaziiiiiii
Zoom In
-Bofya WIN KEY + Plus Sign...
Hbr ndugu
Kama kichwa hapo juu dogo kachomeka USB mbovu na TV ikazima ukiiwasha inawaka lkn haidisplay kitu chochote n ukitumia king'amuzi unaweza sikiliza redio kwenye sabufa naomba msaada wenu...
Wadau salamu
PC yangu ni brand ya DELL Latitude E6410. Jumba (housing) linaloshikilia kioo chake limechoka saba. Naomba mwenye nayo anisaidie. Nahitaji na betri yake pia. Tuwasiliane kwa nambari...
Ni muda sasa simu yangu imezingua upande wa display nimejaribu kutafuta vifaa vyake nimekosa mafundi wanadai vifaa vyake hapa bongo hakuna naomba msaada kwa anayefahamu
AS SALAAM 'ALAYKUM WARAHMATULLAAHI WABARAKAATUH
Na'am, Leo Nitaelezea Jinsi Ya Ku Rotate Screen Ya Kompyuta.
Hiko Hiviiiiii
1.Bofya Ctrl + Alt + Any Arrow Key
Arrow Keys - Ni ile Mishale...
Habari wakuu, Mara nyingi nnapopitia mitandao ya kijamii au nnapo-search google huwa nakutana na Habari Fulani lakini huwa nashindwa kumaliza kuzisoma kutokana na majukumu ya hapa na pale ama...
Wale watengenezaji wa GBWhatsApp wameamua kuachia app yao ingine,hii ina vionjo vingi sana tofuti na instagram ya playstore
Ukiwa nayo unaweza download
Copy link
Share on whatsapp n.k
unaweza...
Ni hivi nina Adsense Account niliomba U tube na wamesha niapprove
Sasa nataka niiunganishe na blog yangu but kila nikiweka site yangu wananiletea kiswahili kingi mpk napata hasira
Mwenye utaalam...
Wanajamii nimearibikiwa na Tv yangu hapa ya LG sijajua tatizo lake mpaka saivi tatizo lake nikama inavyoonesha kwenye picha na pale unapoiwasha inatokea mwanga hafifu usio wa kawaida na screen...
Ndugu wanabodi naomba kufahamishwa zaidi jinsi ya kufanya kazi ya mtandao hasa kufungua website yangu (blog).je ni kivipi naweza fungua. Namna ya kuiendesha na kuifanyia matangazo. Na kwa namna...
hi niggas,,,,msaada plzzz
nlikua naifuta phantom 6plus tecno ili ni update new software na nikafanikiwa kuifuta na kui update...imei ni null kama kawaida nahitaji kuzi repair....software zangu...
Nimesubiri refund walisema ni siku 15 au 20 nimesubiri mpaka hamna nilichopata nifanyeje customer care wao wanajibu maswali mepesi tu
Naumia sana kwanini wanachukua muda hivi kurefund au huwa...
wakuu msaada
nikifanya installation ya whatsApps kwenye tablets inaandika not insalled.*an existing package by the same name with a confliting signature is already installed*
Programmer atengeneze app ya kuzuia kudownload pic au video moja zaidi ya mara moja maana picha ya lissu nishafikisha 1gb kwa picha ile ile. Nadhani itanunuliwa hiyo app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.