Nimenunua stabilizer aina ya SVS...SOLLATEK VOLTAGE STABILIZER...kiujumla iko imara lakini inanisumbua...umeme ukitokea ukakatika na ukarejea inatumia wakati mwingine hata saa4 kuruhusu output...
Hello guys,
Hope everyone is doing great here. I am newbie and looking for few good replies. I have 2 websites which I build recently. Now I would like to set up chat app onto them. But not sure...
Habari zenu wadau leo ningependa kushare jinsi ya kufanya advanced search google ili kuweza kuwa sahihi zaidi katika kupata matokeo ya kitu unachojaribu kusearch badala ya kutype stori nzima...
Fastscan ni App nzuri na friendly user ambayo humsaidia mtumiaji kuscan document zake na kuziweka Katika format aitakayo Kama PDF, jpg, JPEG, etc, hii imenisadia kuscan vitabu na kuhifadhi katika...
Habari wakuu, kichwa tajwa cha jieleza,
Nahitaji msaada wa mawazo katika ya hizi njia zakupokea pesa kutoka mbele (Abroad), ni ipi inawahi kukupa hela (kupokea haraka within 2 days) kati ya...
Wasalaam,
Napenda sana Kujihusisha na inshu za Ku "code" na natumain October ntaanza kusoma programming.Napenda kuomba ushauri ni application gani & website IPI ni nzuri kwa tutorial ya first...
Inashindwa kusoma external HDD umeme unaofika kwenye external HDD ni Mdogo ambao unashindwa kufungua external HDD inawasha taa na kuzima nahisi kama umeme unaofika kwenye external HDD ni mdogo. Je...
Wakati fulani nilikua natafuta kifaa au mfumo ambao utanirahisishia kuchapisha kitu chochote bila kukimbizana na computer. Hii ilitokea hasa wakati nillipokuwa naandika hadithi fulani kwa ajili ya...
Good morning!
We all use computers in our everyday lives. These computers and their applications were created by people from around the world. Every day we hear about new innovation and sort. In...
Habarini wakuu kuna uwezako wa kuongeza speed ya internet maana ni speed ipo low sana download 200kps na upload 100kps ni kama tupo kijijijini kumbe tupo mjini hapahapa na line zote, au ipi ambayo...
Simu yangu haisapot Google play service, Ni Lenovo X2Pt5, Nimejaribu kufuata maelekezo ili niipate Ila Muda wote ni Google play service has stopped, Mwenye maujuz anisaidie
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.