Habari zenu wanazuoni.
Mimi Nina elimu mwisho kidato cha sita na ckuweza kuendelea na masomo ya elimu ya juu kwasababu ya ufaulu wangu haukua mzuri wa kidato cha sita Ila ninapenda sana kuwa...
Dear wahusika,
Nina widows website, n I would like to set a donation page, sasa nimestuck hapa, juu ya which company deals with e commerce business tht allows receiving payments and money...
Wadau natumia window 10 ktk hiyo simu but shida yangu kubwa nikitaka ku download apps ktk store nafanikiwa kwa apps zenye MB ndogo ndogo, lakini zenye MB nyingi kuanzia 100 na kuendelea inaanza...
MY INTRO Je ni nzuri? Nipe maoni yako.
INTRO >>> Utangulizi katika video. Kama unavyoona maybe ITV kabla ya taarifa ya habari kuanza si kunakuwa na kionjo flani hivi? Hiko kionjo ndio intro.
Salam wakuu,natumaini asubuhi iko njema.Wakuu nimenunua simu ya Tecno N2 duka la Tigo ila kinachonishinda ni kuona Sim card 2 ambayo ni Voda inagoma kukamata 3G badala yake inashuka E Pekeyake...
By AGENCE FRANCE PRESSE, STOCKHOLM, Sweden, Oct 2 – US geneticists Jeffrey C. Hall, Michael Rosbash and Michael W. Young were awarded the Nobel Medicine Prize Monday for shedding light on the...
Hey,
Have you entered this competition to win Samsung Galaxy S8 Plus International Giveaway! yet?
If you refer friends you get more chances to win :)
Samsung Galaxy S8 Plus International Giveaway!
Kuna mnavyojua mbali na JF watanzania wanategemea sana hii site ya millard ayo kupata habari na matukio hasa videos.
Lakini hii site hovyo kabisa,kila mmoja anaona vitu tofauti na mwenzake...
Habari, matumaini yangu ni wazima naomba msaada wa kufuta kila kitu kwenye simu maana nimeweka email ambayo nimesahau password yake so nikienda kwenye factory reset inaniambia weka password ambazo...
Wakuu nina shida na game la euro coach simulator ambalo developer wake ni wale waliotengeneza euro truck simulator 2. Nimejaribu kudowload torent na setup za kawaida nyingine had GB 5 lakini...
Wakuu habarini,kijana wenu hapa Nina blog yangu ambayo nataka kui monetize kupitia adnow ili iweze kutumika kwa matangazo nami nipate malipo.tatizo ni pale ninapojiunga nayo tena katika sehemu ya...
Habari wakuu wa jukwaa,
Naomba msaada,
Kublock namba ngeni pindi ninapopigiwa, lakini nijue namba iliyoingia, yaani nione kama arlet hivi kwamba namba fulani imenipigia.
Naombeni msaada wenu...
Naomba anayejua link hizo anisaidie ili niweze kucheck news mbalimbali kupitia vituo hivyo vya tv.
Kwa muda mrefu naangalia clouse tv tu kupitia simu yangu ( live news) na hii...
Wataalam naomba mnisaidie namna ya kuondoa hii notification ya SMS yani ,sehemu ya app ya SMS inaonesha kuna msg imeingia lakini nikifungua hakuna msg yoyote na nimefuta msg zote kwenye simu...
Wakuu habari za muda huu, nimepata shida kidogo nikiwa na download Videos kutoka sites zifuatazo.
1. HDpopcorns.com
2. Moviescouch.com
Hizi sites zina Movies nzuri tena latest tatizo liko hapa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.