Ni takribani miezi 6 imepita tangia kampuni ya simu ya nokia kuingia kwenye platform ya android ambayo inaushindini wa hali ya juu katika medani za smartphone
tulishuhudia simu 3 za kisasa...
Katika tafuta tafuta yangu mtandaoni ili niweze kuwa na speed kubwa, maana nimekua nikiona watu wanasema wana type kwa speed ya 120WPM(Words per minute),Nimekutana na kitu inaitwa Almena Method...
Naomba kujua, hivi ads katika simu zinasababishwa na nini? na pia ni njia gani naweza ziondoa maaana pindi ninapowasha data zinakuja hadi zinakeraa.
Msaada wadau.
Naomba msaada formula ya kutafuta division kwenye matokeo ya wanafunzi
Ninawafunzi kama 100 hivi na wana masomo kuanzia 8 haadi 10 kila mmoja lakn masomo yanayotakiwa ni 7 tu aliyofanya vizuri...
Habari zenu wakuu.
Napenda kutengeza website as a hobby sasa katika research zangu nimekutana na wordpress wakisema kuwa unaweza kutengeza website ata kama sio mtaalamu wa coding.
Nimeinstall...
Habari wakuu.. nina YouTube channel sasa naitaji kwenda live kupitia video mfano kama baadhi ya channel za online muda mwingine unawakuta live wamejiunga na TBC wengine live wameweka bongo movie...
Ndugu habari za majukukmu samahani naomba msaada kwa anaejua links za videos converters ambazo zinafanya subtittles editing na zinaconvert videos in high quality plz tusaidiane plz
Habari was JF
Naomba msaada wa formula ya kupanga matokeo kwa kutumia division
Division zinapangwa kwa kutumia masomo 7 tu ambayo mwanafunzi amefaulu zaidi kapo wanafunzi wamefanya masomo hadi 10...
Wakuu habarin,naomba tuchambue kwa kina hizi website za vyuo vikuu tz,naamini kila chuo kikuu kina site,jaribu kutizama web view,contents,functionality etc.
University of Dar es Salaam > UDSM...
Natumaini mko poa wakuu,
Naombeni msaada kwa anaefahamu namna ya kuifuta account ya facebook ya zamani ambayo nilishapoteza password yake na siitumii tena kwa zaidi ya miaka 4 sasa.
Tatizo ni...
Kama ilivyoada katika kuelimishana masuala ya pc gaming leo naomba nitoe somo kidogo kuhusiana na PPSSPP FOR WINDOWS 1.4.2
Kwanza tujue hii ppsspp ni nini
PPSSPP hii ni emulator y psp, ambayo...
Naomba kuuliza iv inawezekana kuresert password za computer win 10 pasipo kuloose data zako ,na kama inawezekan softwire gan zinaweza fanikisha kuresert password???
Wadau wa jamiiForums samahani kama kuna mwenye keys activator for idm tusaidiane maana nilikua natumia trial version sasa imeisha muda wake wanataka keys to register, so please kama kuna mwenye...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.