Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions
Dish la KU_band na receiver ya FTA ukiset vizuri unaweza kupata channel ngapi?, Utapata channel ngapi maana sio wote tunapenda madishi ya futi 6 au futi 8 Kuna mtu anatumia madishi madogo ya KU...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
WAKUU habari zenu nina tatizo moja pc yangu inastak labda unaangalia movie au unatype basi ikigoma hapo ni mpaka siku tatu mapka nne ndio inakubali kurudi katika hali yake Naomba msaada ni...
0 Reactions
0 Replies
488 Views
Hello wakuu Kuna hii sms App iko poa sana aisee Nashauri Wale wanautumia chatting than calling basi hapa ndo pahala pake #sms#email chat for android users Android. Mood Messenger - Messagerie...
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Naomba jinsi ya bypass computer password in window 10 pasipo ku loose data lakn
0 Reactions
0 Replies
382 Views
Intel Core i5 Ram 8Gb Hdd 500Gb Webcam,Dvd Writer,Wifi Fingerprint Sensor Condition:used Call now/Whatsapp:0672669258 Price:390k
0 Reactions
0 Replies
624 Views
Wakuu samahanini...Simu yangu S6 edge imekua na tatizo la kujizima na haiwezi kuwaka bila kuichomeka kwenye chaji..nimejaribu kuifactory reset lakin tatizo bado...Mwenye uelewa naomba msaada
1 Reactions
7 Replies
1K Views
ni samsung GT 9190 internal memory kuandika full wakat kuna GB 15 nimeenda Storage-clear cache ila nikidownload apps,inasema not space enough TATIZO LINGINE Simu haipandi 3g,kila nikiset...
0 Reactions
12 Replies
3K Views
Natafuta adsence wengine ukitoa google adsence ambao hawana masharti sana
0 Reactions
32 Replies
3K Views
Kwa wale watalaam wa umeme nilikua naomba kujua kama inawezekana ku convert single ya volt 230 phase ac supply to three phase ac supply yenye volt sawa na zile zinazotoka Tanesco. Yaani ni...
0 Reactions
10 Replies
3K Views
Wakuu mwenye keys za microsoft office 2016 naomba anisaidie
1 Reactions
3 Replies
698 Views
Tafadhali naomba unijulishe ili nisinununue simu fake au chini ya viwango
1 Reactions
12 Replies
4K Views
Habari?? Natumia windows kwa zaidi ya miaka kumi sasa. Ila naona nasumbuliwa na ku activate kila mara so nimeamua kuijaribu Ubuntu ili niwape likizo microsoft!! Haya ndiyo maswali yangu... 1...
2 Reactions
39 Replies
4K Views
Jamani habarin, nataka kununua kikotoo kipya kabisa kutoka dukani (kwa matumizi ya pure math), ila nimeambiwa kuna bahadhi ni feki, je nitawezaje kujua kikokotoo/Calculator hiki ni feki au genuine?
0 Reactions
5 Replies
4K Views
Calling for bloggers and social media influencers based in Tanzania who are passionate about using the power of the Internet to bring about positive change in their communities. APPLY NOW- Nenda...
1 Reactions
2 Replies
764 Views
Habari....kama kichwa cha habari kinavyo jieleza nimekuwa nikisikia kama upo uwezekano wa kupata channel bila ya kulipia kupitia Cable TV na ninatumia king'amuzi cha AZAM ila na wao hawakusita...
0 Reactions
13 Replies
5K Views
Habari za kazi wakuu, Niko hapa mwanajukwaa mwenzenu nimepatwa na tatizo katika simu yangu, kila nikitaka ku press menu inaniandikia "unfortunately, launcher3 stopped", natambua uwepo wa waganga...
0 Reactions
7 Replies
3K Views
Simu za apple mwaka huu zitapata updates mpaka iPhone 5s ya mwaka 2013 je Android simu gani itapata updates ya Android Oreo kama Hakuna zidumu fikra za Steve jobs
0 Reactions
7 Replies
970 Views
Habari wataalamu wangu Is there a way naweza kuconnect live event nayoangalia kwa kustream kwenye mobile yangu ionekana kwenye TV? Kama Yes ni TV aina gani inatakuwa na App gani niwe nayo kwenye...
0 Reactions
17 Replies
2K Views
Wakuu kwema humu? Nataka nijue kama inawezekana kuinstall window 8 au 10 kwa kutumia Memory card pc yangu ports zina zingua ni mini laptop ni reset ikazima ghafla ivo inawaka na na kuzima ila...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Kampuni gani inasajili .co.tz na gharama zake zikoje?
0 Reactions
0 Replies
950 Views
Back
Top Bottom