Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions
Habari Watu wa nguvu! nilisha wahi kutumia simu aina ya Tecno T611 kwa siku za nyuma kidogo. Kutokana na uwezo mdogo wa simu, lakini ilikuwa inasehemu inayoitwa (Broadcasting setting) ambayo...
0 Reactions
0 Replies
848 Views
Taarifa hii ina wahusu wale wenye blogu au tovuti ambazo zinatangaza bidhaa mbalimbali kutumia google adsense kwenye kurasa zao mbalimbali ambao kwa bahati mbaya Akaunti zao zimefungiwa na Google...
0 Reactions
3 Replies
3K Views
Ni series, nimehanisha kutoka pc moja kwenda nyingine. Kwenye pc niliyotoa nilikuwa zinaplay vizuri, ila sasa hivi juzi nimefingia kwenye hii pc nyingine nikaanza episode ya kwanza na ya pili...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Habari za Sikukuu waungwana, Naomba ushauri wenu, bajeti yangu ni hiyo tajwa hapo juu (Tsh.400,000 - 450,000). Nahitaji kununua simu yenye specifications mzuri, Android 7, atleast 32GB storage...
1 Reactions
85 Replies
12K Views
Nataka ingiza game kwa flash nizicheze kwa playstation 2
0 Reactions
1 Replies
785 Views
Wadau vipi JF ndo kila kila kitu yan, Nmekuja tena kuomba msaada wa na namna nitatengeneza logo nzuri yenye kuakis kazi zangu.... Tunajihusha na shughuli za kilimo, kulima, kukusanya na kusambaza...
1 Reactions
3 Replies
3K Views
ushauri please, ni hp 3125 beatsaudio, mwanzo ilikuwa na win8, but kuna kipindi nikampa mtu akaweza win7 hapo pote ilikuwa fresh tu, sasa last month nikaweka win8.1 ilianza kufanya kazi vizuri iko...
0 Reactions
0 Replies
756 Views
Naombeni msaada kwa anayejua matumizi mengine ya Ipad ambayo haisapoti kupiga simu wala kupigiwa, ninayo hapa natumia kwenye Fb,Instagram,Jamiiforum,twitter, hivyo tu je nawezaitumia kwa...
0 Reactions
3 Replies
995 Views
Habari zenu wakuu ningependa mnisaidie njia rahisi ya kudownload file La torrent lenye ukubwa wa GB 40 Kwa mtandao wangu wa voda(3g) nimecheki naona itachukua siku 2 hadi file lote likamilike...
1 Reactions
16 Replies
5K Views
Na simu ka simu hapa aina ya VDF 301 kame stuck on booting loop baada ya ku remove frp kwa miracle 2.27A crack nime jaribu ku flash kwa firmware mbili tofauti (ndo zilopo mtandaoni for free)...
0 Reactions
7 Replies
5K Views
nataka kubadili simu yangu ya itel 505 inatumia 3G niiweke kwenye 4G nifanye je Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
14 Replies
9K Views
Nina madishi matatu, DSTV, Azam na StarTimes. Natumia TV ya Startimes ambayo ina kingamuzi kwa ndani. TV hiyo ina line 1 ya ziada kwa ajili ya kuingiza picha na sauti kutoka kingamuzi kingine...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
habari wadau.. nimehangaika sana kutafuta huduma ya internet yenye kasi ya uhakika... wengi ni wasanii tu... nimejaribu speed za mitandao yote ya simu na 4g zao .. zipo zenye speed kama smile...
0 Reactions
11 Replies
3K Views
Kama una hiyo modem ya voda ya wifi..nipe imei yako nitakupa unlock code chap.
0 Reactions
26 Replies
3K Views
UNLOCK MODEM ZA 4G TIGO: Kama una modem ya 4G ya tigo (E3372h-153) ambayo hujaifanyia ANY modifications, nafanyia network unlock ili iweze tumika kwa mitandao yote!. Plus network unlock code pia...
1 Reactions
46 Replies
16K Views
I do really love computers, Actually ningekuwa huko ulaya ningekuwa ana extreme geek maana huko kuna kampani ya maana ya watu wanaopenda computers, Kujua kwangu computer naweza kusema ni natural...
6 Reactions
55 Replies
8K Views
Mimi nikinunua muda wa Maongezi wa 50,000/= Naweza kupiga nchi za nje! Sasa iweje nikinunua Kifurushi cha Muda wa maongezi nikapata dakika 600 kwa mfano. Kwanini msiniruhusu kupiga nje ya nchi...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Angalia hapa katika picha Anayetaka kujaribu ipakue hapa GBWA v4.81-2.16.193 @atnfas_hoak.apk
2 Reactions
43 Replies
6K Views
Nita unlock simu yako,kikubwa tupia model no.,imei,kupata imei bonyeza[*#06#] au *#0000#..au nicheki 768260834
2 Reactions
102 Replies
17K Views
Nataka ku cheat kifaru sasa muongozo wakuu.
0 Reactions
4 Replies
667 Views
Back
Top Bottom