jaman kuna MTU muuza laptop yeye yupo dar~es~salaaam Mimi nipo mwanza unataka kuniuzia PC je mzigo utafika salama ama ndo wizi bado sijatuma pesa natafta ushaul kabla ya kufanya maamuzi...
Wakuu nina tatizo kwa simu yangu
Simu yangu ni ya LG G3 tatizo linakuja kuwa nikiwasha data nikiingia internet tu inajizima na kujiwasha yenyewe sasa nashindwa kujua tatizo ni nini?
Maana yake ni...
Nina Tv ambayo ina internal Receiver. yaani napokea free to air channels kama ITV,CITIZEN,CLOUDS,CHANNEL 10,AL JAZEERA,SAUD2,STAR TV,STAR MOVIES PLUS,STAR BUNGE n.k
Je! kuna utaalamu gani au...
Habari wana JF, Ni muda mrefu sana toka kuandika makala hapa lakini hii ni kutokana na changamoto kadhaa lakini sasa tumerudi tena. Basi bila kuwachosha sana leo nimewaletea hii ya Kupata pesa...
Habari Wakuu!
Kawaida hua natumia "Startimes" Digital satellite Receiver pamoja na decorder yake. Lakini karibuni nimepata "MediaCom MFT-930plus" satellite Receiver (MPEG2). Swali ni Je! Naweza...
Microsoft imetangaza Nokia X zitahamia Windows Phone na hivyo kuwa mwisho wa kutumia operating system ya Android ya mpinzani wao Google.
Among the details in Microsoft's big layoff news was...
Habari wakuu.
NAOMBA msaada kwa yoyote aliye na simu Aina ya samsung J3 (2016) na aitumii,au ni Mbovu kitu kingine tofauti na Display Screen. aniuzie spare ya Display Screen, yangu imevuja wino...
Habari wanajukwaa
Nina laptop yangu aina ya dell latitude 6400 haitoi sauti toka Jana usiku
Hivyo ninaomba mwenye uelewa na aina hii ya laptop anisaidie
Naombeni mnisaidie kuhusu hili
Play store ya simu yangu tecno C5 inaandika hivi
*error retrieving information from server . [RH-01] *
Je nini tatizo na solution yake wakuu ????
Wadau habari, naomba msaada jinsi ya kukonect social medial icons like facebook page, twitter, instagram na youtube kwenye blog nimejaribu kucheza nayo nachemka, natumia soratemplates, nifanyaje?
Habari zenu wakuu.
Kompyuta yangu ina-run games very slow mpaka wakati mwingine inakera, sasa kuna mtaalam mmoja nilizingumza nae akanambia huenda tatizo ni drivers hasa Display drivers, kwa hiyo...
kama wewe ni mwanafunzi au mfanyakazi hii app si ya kukosa inafanya kazi hizi.
1. kwa kutumia camera ya simu unapiga picha ya maandishi yoyote iwe ni kitabu au ubao (white board)
2. hii app...
Mwenye account mpya kabisa ,isiyo na barua tuwasiliane tufanye biashara.Nataka ambayo ni hosted maana nitaitumia kwa website siyo blog
nb:Kama hujui lolote tafadhali pita kando
Wapendwa Nanunua Facebook Groups kuanzia 400k members na kuendelea
Je wewe ni admin wa group la facebook na halikuuingizii faida yoyote? basi katika kipindi hiki cha mdororo wa uchumi naomba...
Samahani jamani
Kw anaye jua, simu yangu hiyo ni vodafone min 7 sasa ilkua inasumbua kwenye camera nika jaribu kui-reboot.
Sasa nashangaa inakuja hivyo kila nikiweka email yangu inasumbua inasema...
Wakuu simu yangu "galaxy note 3 " imekata kabisa mtandao haisomi line zote,nikiweka line inasoma kidogo then inakata fasta,nilikua siitumii niliiwekaga tu ndani kwa kama mwaka hvi
Sent using...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.