Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions
Wadau wa hili game mm newbie kwa hili game, nimeanza kucheza jana tatizo steering wheel iko left while nataka iwe righthand drive .msaada hapo maana nashindwa kucontrol vizuri Sent using Jamii...
0 Reactions
21 Replies
3K Views
Habari, ninashida kwenye simu yangu ya tecno J8, kila nikitaka kureset factory inanipa meseji ya unfortnately, settings has stopped, hivyo basi zoezi zima linakwama. Pia nkitaka kutumia whatsap...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Hii ni simu ambayo imelokiwa na kampuni ya zantel tanzania nawezaje ifanya isome line zote? Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Xiaomi Mi MIX 2, Mi Note 3 Launch Set for Today: Live Stream, Specifications, and More Gadgets 360 Staff, 11 September 2017 HIGHLIGHTS Xiaomi Mi MIX 2 launch is set for 11:30am IST The Mi MIX 2...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Nimefuta meseji za malipo yaliyofanyika kwa njia ya M-Pesa wakati nanunua mzigo wa duka muuzaji amesema pesa hajaiona kwa anayeifahamu njia ya kurudisha msaada Tafadhali[emoji31] [emoji30] Sent...
0 Reactions
10 Replies
9K Views
Mwenye Ujuzi Wowote Wa Jins Ya Kupata "Serial Number" za IDM au Internet Download Manager Naomba Anitumie Au Anipe Njia Ya Kuzipata... Ahsanteni Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Simu ni samsung GT-I9000 galax S ina tatizo la android market kutokufanya kazi, tatizo ni baada ya kurestore na pia simu ilinunuliwa ikiwa na gmail tayari lakini baada ya kucreat gmail mpya...
0 Reactions
2 Replies
4K Views
Msaada naomba mwenye kujua natumia sumsung galax s6 inasumbua kushika network zaman ilikuwa inashika vizuri lkn saivi inashika baadhi ya sehemu nikiwa nyumban haishiki nikienda mjin inashika...
0 Reactions
36 Replies
3K Views
Wakuu, kwa anayefahamu jinsi ya kuangalia bundle ili niwe confident hasa wakati muda unakwisha kwamba naweza ku download kiasi gani kutokana na kiasi cha bundle ili zisiishe bila matumizi.
0 Reactions
5 Replies
14K Views
wandugu naimani mko wazima, samahani kuna ambaye ameshatumia simu mojawapo ya hizi anipe dondoo zake 1.Samsung Galaxy Note5 (N9208) 2.ASUS ZenFone AR ZS571KL 3.Huawei P10 Lite Dual Sim 4...
0 Reactions
0 Replies
580 Views
How are you guys I saw asking for any one who knows to put FRP lock to the smartphone Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Habari wakuu. Hivi kwanini ukiacha salio kwenye simu (in my case Vodacom), baada ya muda utakuta salio lako limeisha imebaki Tsh 2 au 3 tu hivi. Muda huo huo unakua umeunga Dakika za Kupiga...
0 Reactions
18 Replies
2K Views
Dada mmoja amesahau password ya kufungulia simu,,,kajaribu Mara 24imejilock,,,inadai Nina LA mamake kama sawli LA security,, na google account na yeye hana na alive msetia hakumbuki,,,he...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
jaman shikamooon ,Dada na kaka zangu Mimi ni mdogo wenu nataka kununua laptop ya chuo cha afya Ila kuna MTU anata kuniuzia aina hiii Pc Ram 8GB, 1000GB core i3 kwa laki tatu na...
0 Reactions
14 Replies
3K Views
Tecno Y4 Nimezoea nikibonyeza kwenye screen inatoa mwanga ila Jana charge iliisha kabisa nikaiweka niicharge ila nilipobonyeza kwenye screen haitoi mwanga mpka nininyeze kwenye batani zake za...
0 Reactions
1 Replies
585 Views
naomba msaada wa jinsi ya kuroot samsung J2 tafadhali Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
3 Replies
821 Views
Wana jamii forums nna simu apa tecno w4 nimejaribu kuroot Mara nyingi na imekataa . nitumie njia gani ili niweze root maana nakosa mambo mengi nisipo root asee Msaada tafadhali..... Sent using...
1 Reactions
2 Replies
1K Views
Habari. Mwenye kuelewa jinsi ya kuroot w3.nahitaji kuroot, kwani ni simu ya kazi, kuna baadhi ya vitu navihitaji Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
5 Replies
7K Views
Habari wana jamii forum naombeni msaada wenu wa dhati kutoka moyoni maana naumia sana nimenunua simu galax s6 nimetumia kama mwezi na nusu saivi haishiki mtandao wakati ilikuwa inashika vizuri tu...
0 Reactions
3 Replies
844 Views
Wale wakali wa photo editing,pc &phone games....nimeandaa whatsapp group karibu tupeane maujuzi....fungua link kujoin[emoji116][emoji116][emoji116][emoji116] (pc games+onlive tv+photo editing)...
0 Reactions
0 Replies
615 Views
Back
Top Bottom