Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions
Nilikuwa nauliza kama simu yangu inaowezekano wa kupona tatizo la network kwani Fundi ameniambia simu umefungiwa na tcra hivyo inahitajika kufunguliwa je itafunguka Sent using Jamii Forums...
0 Reactions
1 Replies
808 Views
Habari gani wakuu? Kama kichwa kinavyojieleza, naihitaji hiyo program mapema sana, kwa alie nayo naiomba. Nitalipia
0 Reactions
6 Replies
1K Views
The Android app sends you thousands of visitors daily to your site. Simply enter your URL and click on Start. The application will automatically send and send visitors infinitely and unlimited...
0 Reactions
0 Replies
587 Views
THE 10 MOST EXPENSIVE CARS IN THE WORLD The most expensive cars in the world are about so much more than transportation. These rolling art pieces encapsulate the priorities of the one percent, and...
0 Reactions
10 Replies
3K Views
Habari za mchana,uwa nikilogin facebook kuna video uwa zinanivutia nilikuwa nahitaji kufahamu kama naweza kuzidownload Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
1 Replies
4K Views
Si kwamba sijui kbs bali nahitaji kufahamu kiundani zaidi.. kuna baadhi ya maeneo kumekuwa na hudama ya WIFI nataka kujua huo mtambo wake unafanyaje kazi?,hlf ni free intanet sasa makampuni ya...
3 Reactions
7 Replies
4K Views
sasa wabongo hapo ndoa zitavunjika kisa ni Iphone 8. Waume watalazimishwa walipe milioni mbili ili wake wang'are na Iphone 8. Isiwe tabu wewe kama Tecno yako au Huwaee ina WhatsApp na FB uko...
12 Reactions
70 Replies
7K Views
Nauliza wapi ntapata gamepads[emoji452] [emoji452] [emoji452] (game controller za Bluetooth) kwa ajili ya android smartphone. Hapa Iringa mjini nimekosa.... Msaada tafadhari .[emoji452]...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Mimi ni mpenzi mkubwa sana wa mpira napenda pia kucheza gemu zetu izi hasa FIFA na PES ila FIFA ndo sana. Kwa mtu anayejua jinsi ya kuipata online labda kuindownload kwa PC nafanyeje? Nataka...
0 Reactions
8 Replies
6K Views
Habari za mchana, kama heading inavyosema survey CTO ni nn? Inatumikaje? Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
1 Replies
750 Views
Wakubwa shikamoni,wadogo habari zenu. Nlikuwa nina shida moja nilikuwa nauliza wapi nitapata Wi-Fi router ambayo itaniwezesha kuungalisha internet kwenye tv yangu ya Samsung Smart tv 49 First...
0 Reactions
9 Replies
5K Views
olaaaa... wana jf ivi nawezaje ku bypass android paid app pasi na kuroot cm mfano zile dingdong.. textme now Autorun [emoji125]
0 Reactions
0 Replies
537 Views
Mimi ni mwanafunzi ninae taka kwenda kusomea afya Ila Nina laki tatu na nusu nataka kununua laptop je ntajua vp kuwa laptop hiii ni originally wadau Sent using Jamii Forums mobile app
2 Reactions
41 Replies
7K Views
Mambo vipi wadau, Niko na ipad tajwa hapo juu softawre yake imekuwa outdated, naweza ku update? Na kama yes, let me know gharama yake Niko zanzibar. Mwasiliano nichek pm mauRT
0 Reactions
4 Replies
767 Views
Nina tatizo ya hiyo camera yaani picha zake zinatoka na ukungu, tatizo cjui ni nini, hata haioneshi kabisa clear na maukungu tuu mweny ujuzi, msaada tafadhali.
0 Reactions
7 Replies
3K Views
Nafanya Blogging Pia Namiliki Blog Moja Inaitwa Gospo Tone Ukifungua hapo utaiona namna ilivyo naombeni msaada wa kupata approve ya adsense maana nimefanya mara kibao ila huwa nakuwa disaprove...
1 Reactions
13 Replies
2K Views
Ivi wadau inakuaje hili Game blue whale Mbona kama lina Scary wanasema ni suicide Game Sasa hii inakuaje wadau watu wanajiuwa kwaajili ya hili game
0 Reactions
22 Replies
3K Views
Video hii inaonyesha namna kifaa cha ku-control joto la incubator ambacho nimekidesign mimi mwenyewe kinavyofanya kazi.
0 Reactions
1 Replies
4K Views
Naomba mnisaidie kujua software zinazotumika kwenye hiki kiwanda na pia itakuwa vizuri nakuelezea matumizi yake mi najua adobe Photoshop blame no body
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Wajuzi naomba mnieleweshe hivi ukiwa na windows defender ktk pc hakuna haja ya kuweka antivirus?? Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
18 Replies
3K Views
Back
Top Bottom