Habarini wakuu.....
naomba kwa yyte anaeweza kunielekeza namna ya kuchange LOCK SCREEN WALLPAPER kwenye c9 ili niweke picha nnayoitaka mimi co zile hios wallpaper msaada tafadhali....
but cm...
Wakuu, mwenye kuijua hii program naomba anipe ujuzi kidogo. Mfano vitu vya mhimu ni kama vipi? Je, hasahasa inatumika kwa mambo yapi?
Mfano mtu akikuuliza unajua nini katika microsoft excell...
Salaam wakuu. Nimejaribu ku download free and trial QuickBooks lakini napo jaribu kuinstall inanitaka niweke pin,
Msaada mwenye ujuzi zaidi au au kink anisaidie
Natanguliza shukrani
Sent using...
Habari za leo wanaJF,
Ningependa kujua bei ya iphone 4, 4s na 5 kwa tanzania. Nahitaji kujua bei zake zikiwa mpya na used in a good condition.
asanteni
Ndugu zangu wana JF kwanza poleni kwa matatizo yaliyolikumba taifa letu, tuzidi kuomba uzima kwa kiongozi wetu.
PC yangu (Laptop Hp) imekataa kucheza video na hata mp3. Player za VLC na Windos...
Inauwezo wa kugundua kwa Usahihi hadi 91%.
Utafiti umeonyesha Mashoga/wasagaji kuna kitu cha kufanana katika muonekano wa uso wao.
Ubashiri kuwa mtu ni shoga/msagaji kwa kumuangalia kwa jicho la...
*Penta-M Computer Health Care Services (PCHCS)* inapenda kutangaza nafasi mbili (2) za kujitolea(volunteers) na baadaye ajira kwa taaluma zifuatazo :
*1. Fundi Computer (Software & hardware...
kwanza kabisa kama ulishaiweka katika kompyuta yako, iondoe/uninstall
futa folders zote zinazohusiana na IDM (au zenye majina ya "internet download manager")
restart kompyuta yako
fungua...
ndugu wananjamvi naomba msaada wa jinsi
ya kuunlock modem mpya ya zantel aina ya
D-Link DWM-222
ili itumie laini zote za 4G maana inatumia lain moja tu ya mtandao huo. ASANTENI WANAJAMVI.
Hii kutokana nakuulizwa swali hili na watu wengi katika email Watu wengi sana wamekuwa wakitafuta njia ya kuweza kutumia whatsapp mbili tofauti kwenye simu moja. Leo nitatoa maelekezo mafupi...
Rejea kichwa cha uzi hapo juu kuna hii simu aina ya tecno WX3 ..kuna dadaangu kainunua kwa mtu nimemwashia inaleta mlolongo huu wa setting tafadhali msaada kwa mwenye uelewa picha hizo hapo chini...
Wanajamii nawasalimu wote...habari zetu.
Mimi natumia simu aina ya LG (G FLEX) curve sasa tatizo haitaki kufungua menu ya miamala ya mitandao ya hapa Tanzania, nikijaribu inaniletea ujumbe usemao...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.