SAP HANA Cloud Integration is also known as sap HCI. SAP offers Lowers cost, increases speed, and enhances simplicity for our customers.
SAP HANA Cloud Integration includes:
•Core runtime for...
Nataka kununua simu naomba ushauri ni aina gani ya samsung yenyekutoa picha HD yenye quality nichukue wakuu balance yangu ni 250,000
naombeni ushaur na msaada wenu
UMOJA NI NGUVU UTENGANO NI UDHAIFU
Kwa miaka mingi sasa tumekuwa tukiumia sana na hili swala la kutokuweza kupokea malipo kupitia paypal, binanfsi ni member wa paypal toka mwaka 2007, hadi leo ni...
Wanasayansi wamebuni kamera yenye uwezo ya kupiga picha viungo vya ndani ya mwili wa binadamu.
Kifaa hicho kimeundwa kuwasaidia madaktari kusaka vifaa vya madaktari, vinavyofahamika kama...
Habari wanajamvi!!! Nawezaje kupata wwbsite au blog ambayo itawezesha kudownload video na audio,pia kuwezesha malipo kwa kila anayedownload? Msaada tafadhali
Sent using Jamii Forums mobile app
Wakuu simu yangu ya Huawei Y-530 niliifanyia rooting ila sasa imeanza kujizima yenyewe na nikiwasha haimalizi inaishia kwenye Logo ya Huawei.
Nimesha flash mara nyingi sana lakini tatizo...
Kuna TV ya chogo inasumbua. Ilikuwa inatumia muda mrefu mpaka iwake tena kwa kuigongagonga tunatatua vip jamani? Samahani kwa kuuliza hapa
Sent using Jamii Forums mobile app
Wakuu na tablet yang hapa imeharibika display naomba kwa yeyote ambaye anafanya business kama hyo naomba nifaham ni bei gan? na kama inawezekana tufanye business.
Sent using Jamii Forums mobile app
habari ya jioni wakuu ..kama madaa inavyojieleza hapo juu..ni kwamba tv yangu ya samsung nikiiwasha in blink sanaa wala haitizamiki nimewapelekea mfundi kazaaa lakini imewashindwa kuitengrneza...
Mambo vipi ndugu wanaJF,
Nimefungua kampuni yangu ya kilimo lakini nahitaji kupata program mahiri kwa ajili ya kutrack business yangu.
Please naomba msaada kama kuna mtu anajua program yoyote...
Habari wakuu naomba kuuliza eti ni accounting package ipi inafaa kutumiwa na kampuni ya ujenzi,mfano ujenzi wa reli na barabara na ujenzi mwingine mkubwa. Msaada wa haraka plz.
Habari wakuu?.
nimekuja tena kuomba msaada nikiamini hapa hakuna linaloshindika. Nilikuwa natumia simu ALCATEL 5023F na sasa natumia TABLET MIN7 VFD110(zote ni za vodacom)
tatizo la hii table ni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.