Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions
Wataalamu kutoka Chuo Kikuu cha Washington, Marekani wamegundua njia mpya ya kupima saratani ya kongosho na magonjwa mengine kwa kutumia App iliyopewa jina la BiliScreen ambapo mgonjwa atakuwa...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
TOUCH SCREEN INAUNGANISHA UMEME WA BINADAMU NA WA COMPUTER. Ndio, moja ya teknolojia ya touch screen inatumia umeme uliomo ndani ya mwili wa binadamu kugusana na umeme uliomo ndani ya chombo...
1 Reactions
34 Replies
4K Views
Nina memory card yangu ya gb8 nikijaribu kufuta kitu chochote inaniambia write protected hata nikitaka kuingiza kitu chochote, je nifanyeje ili kuondoa hiyo msg. Na iweze kuwa formated na kuingiza...
0 Reactions
11 Replies
937 Views
Mimi si mpenzi wa story zisizoisha kwenye makundi ya Whatsap, sasa hata hivyo kuna baadhi ya magroup ukijitoa unaonekana mkorofi. Nilikuwa naomba utaalamu wa kuweza kuwa na magroup lkn niwe...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Natumia techno J5, tatizo langu nashindwa kuangalia video JamiiForums. Nifanyeje kupata suluhu ya tatizo langu? Natanguliza shukrani kwenu wakuu
0 Reactions
1 Replies
755 Views
Wakuu naimani week end ipo vizuri Ndugu yangu katoka Kenya kaniletea zawadi ya dvd player blueray, hii Dvd ina cable ya DHMI, Tv yangu ina support DHMI, Kila nikiunganisha DHMI Cable angalau...
1 Reactions
7 Replies
1K Views
Baada ya Samsung kufanya manufacturing ya soc za apple kuanzia processor aina ya APL0098 mnamo mwaka 2007. APL0278 mnamo mwaka 2008. APL2298 mwaka 2009 katika iphone 3G. Na baadaye A series kwa...
5 Reactions
68 Replies
6K Views
Kama kichwa cha habari kinavosema unawezaje toa gmail account kwenye simu ambayo inadai gmail account ambayo iliyokuwemo baada ya kuifrash simu Msaada tafadhal maana nina simu inadai gmail...
0 Reactions
51 Replies
3K Views
Habari zenu ndugu. Napenda kufaham ni jinsi gani naweza kulipwa kupitia #youtube. Nimezoea kusikia kuna watu wana earn money through #youtube sasa napenda kufaham.
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Wakuu habari. Naomba nielekezwe jinsi ya kuweka signature yangu kwa kutumia computer. Mfano nataka nikiandika barua ya kazi na kuapply online sehemu ya kusaini kwa mkono nisaini moja kwa moja...
0 Reactions
6 Replies
4K Views
Salamu wakuu , Nina Stationary yangu sehemu nimepata changamoto Mbili kwenye pc , pc moja Ina install software/drive za Epson printer w-345 lakini inakuwa incomplete hivyo siwezi ku print Pc...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Kuna m2 mwenye link au app ambayo unaeza watch different channels za kibongo pamoja na azam tv kwa free?msaada tafadhal
0 Reactions
7 Replies
3K Views
Nina Blog yangu itakuonyesha kwamba njia ya ku earn bitcoins online, kama hujui bitcoin ni nini angalia blog yangu itaku eleza kila kitu :) Earn money on short links. Make short links and earn...
1 Reactions
1 Replies
2K Views
Rafiki yangu ana Starlet Carat...bahati mbaya mkewe kafungia funguo ndani ya gari, hiyo ilitokea baada ya kulock milango manually. Kwa mtu yoyote mwenye ujuzi wa namna ya kufungua gari pasipo...
0 Reactions
17 Replies
7K Views
Mawe kadha wa kadha yameshawahi kupita karibu na uso wa dunia lakini jiwe Florence ni kubwa kuliko yote yaliyowahi kupita karibu na sayari yetu. Kitendo cha jiwe hili kupita karibu na dunia...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Wakuu,naomba kujua namna ya kuset Ads za mtindo huu kama zinavyoonekana katika picha Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Kwa pay ya kuanzia 300k-400k naeza pata cm nzur kwa bongo au mambelee?
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Za wasaa huu wanajf! Naomba mwenye application (.apk) au document (.pdf preferably) ya Kamusi ya Kiswahili pekee iliyokamilika anisaidie
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Nahitaji hiyo kitu hapo mfuko wangu ni laki, nipo Moshi kwa anaeuza na yupo Moshi au Arusha anichek fasta PM. Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Wakuu poleni kwa Majukum nina laptop yangu ASUS. Hii machine inajizima yenyewe baada ya kuwaka. Isipojizima ukijaribu kuitingisha au kupiga juu ya keyboard kwa kishindo inajizima. Uki-connect...
1 Reactions
29 Replies
6K Views
Back
Top Bottom