Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions
Internal storage ya simu yangu nimetumia adi ikanipa notification no enough space , nimenunua sd card nime insert na ku i mount kwa phone na iko haina matatizo hi sd , shida inakuja niki...
0 Reactions
14 Replies
4K Views
Kama kichwa kinavyosema , Kuna mtu anaiuza kwa 180,000. je iko poa au ni bomu ? Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Hii hali imetokea Baada ya ku update computer so sijui nifanya je wandugu Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Wakuu nisaidieni kuchambua na kujua ubora wa hii CPU. Nimenunua PC ni Sony ina RAM 8GB Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
14 Replies
3K Views
Kama Kichwa Cha Habari Kisemavyo, Nina Tatizo Na Hii Kitu Siku Ya Tatu Leo WhatsApp Inakataa Kupokea Jumbe, Nimejaribu Kucheck Tatizo La Internet Liko Poa Ila Kuna Mtu Kaniambia Kuwa Imekuwa...
0 Reactions
26 Replies
4K Views
Naomba maelekezo jinsi ya kuweza kutumia whatsap mbili kwenye simu moja. Kama kuna mtu mwenye hyo soft ware itanisaidia zaidi
0 Reactions
16 Replies
7K Views
Rejea kichwa cha habari hapo juu nataka iwe mpya ya mwaka 2017.used sitaki kama unayo nicheck pm Sent using Jamii Forums mobile app
1 Reactions
33 Replies
3K Views
Model yake ni M1132, Laptop ni Hp Compaq, Excel 2007, Word haina shida, Naombeni msaada, Nifanyeje ndugu zangu. Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
3 Replies
685 Views
Tangu kasi ya 4G ianzishwe, hakuna brand hata moja ya kiafrika iliyotoa simu ya 4G yenye betri kuanzia 5000mAh, kwa mara ya kwanza, Itel Mobile imeweka historia hiyo kwa kutangaza simu ya 4G yenye...
2 Reactions
73 Replies
22K Views
Naomba mwenye uelewa na sm hii tafadhali ninataka kununua. Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
1 Replies
776 Views
Top 5 Hidden Android Games which I'm 99.9% sure you haven't come across before. Also doesn't demand any download but they're in-built Android games Top 5 Hidden Android Games You Don't Know |...
1 Reactions
1 Replies
846 Views
MSAADA ANAE JUA JAMANI, LAPTOP YANGU AINA YA LENOVO HAI DETECT FLASH WALA USB YOYOTE KATIKA PORTS ZOTE....MSAADA NIFANYAJE???
0 Reactions
20 Replies
5K Views
Suluhisho la hili tatizo ni nini? Nimeambatanisha picha ya inavyoonesha ikkishawaka..
0 Reactions
1 Replies
883 Views
Kampuni ya Apple Inc ambao ni watengenezaji wa vifaa vya mawasiliano kama iPhone, iPads, iPods na MacBooks wameendelea kufanya vizuri kwenye makusanyo ya fedha na kama unadhani kuna siku watafanya...
2 Reactions
31 Replies
4K Views
Nimemwazima mtu pc yangu, sijui kafanyaje but screen imeharibika, nahitaji kuifix nahitaji kupata screen mpya ni hp 250 g4.. kwa fundi anaeweza fix anicheki 0755967517..iko as kwenye video...
0 Reactions
0 Replies
614 Views
Naomba kufahamu jinsi ya kurudisha document iliofutwa kimakosa, kwenye email. Niliifuta kimakosa sasa nataka kuiprint . Naombeni msahada wenu. Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
2 Replies
3K Views
Kipindi cha nyuma kuna uzi uliletwa jinsi ya kutumia whatsapp ambayo inaficha vitu vingi kama, mtu kutojua kama msg yake aliyokutumia imesomwa, kutojua mara ya mwisho umeingia mda gani, na...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Wakuu..kama inavyoonekana hapo kwenye heading ni kwamba juzi nilinunua sd card ya 16gb na kuiweka na kwenye cm then nikacopy mafile yangu frm internal memory to sd card ila baada ya muda kidogo...
1 Reactions
17 Replies
3K Views
Nimeamini hakuna simu bora kama tecno Nimeamini baada ya kununua tecno W5LTE aisee sijutii laki mbili Zangu
10 Reactions
213 Replies
23K Views
Fuata hatua zifuatazo: 1.Najua unajua kuwa ukimtumia mtu text ktk inbox na akaisoma hupiga tiki mbili zenye rangi mkolezo. 2.Lakini ukituma ktk group hupiga tiki moja tu. Sasa basi njia nyepesi...
8 Reactions
40 Replies
13K Views
Back
Top Bottom