Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions
Habari wana JF, Ni wakati mwingine tujifunze kidogo kuhusu teknolojia. Najua wengi wetu tunatumia simu lakini kwa wale wachache wanaotumia kompyuta basi hii ni bora sana kuliko kutumia program au...
0 Reactions
2 Replies
3K Views
Wadau naomba yeyote mwenye ujuzi wa kuunga chuma cha zinki kilichokatika anijuze unaweza kuunga kwa kutumia nn? Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
0 Replies
664 Views
Habari,Nataka kujua Hii pc haswa itafaa kwa matumizi gani.
0 Reactions
7 Replies
910 Views
Yaan kuna mtu amenitumia meseji nikashangaa jina limejisevu tofauti na nilivyomsevu ila namba ni ileile! Kucheki phonebook, majina mengi yamekuwa merged/renamed, nifanyeje wadau, nimejaribu...
0 Reactions
2 Replies
834 Views
Tokea nimenunua hii kitu haijapita hata mwezi, ila performance yake imekuwa ya kusuasua yaani mara nyingi kinakuwa hakiko hewani. Hii kitu naona hakinipi uhuru wa kupata habari, naomba wale...
0 Reactions
22 Replies
3K Views
Huu ujio wa ving'amuzi vya BTL ingawa itakuwa ni gharama, lakini naamini vimaweza angalau kukata kiu yetu kwa upande wa ubora wa vipindi pamoja na picha. Sipati picha kitakachowapata hawa wachina...
3 Reactions
28 Replies
14K Views
Wadau heri ya X-mass na Mwaka mpya!! Tukiwa ndani mfumo mpya kwa mkoa wa Dar es Salaam wa Kidijitali,tunashuhudia wimbi la ving'amuzi likishamiri kwa kishindo. Hii itakuwa faraja kwa...
0 Reactions
16 Replies
10K Views
KAMPUNI YA SSB KUPITIA AZAM WANATARAJIA KULETA KING'AMUZI KIPYA NA CHA BEI POA AMBACHO KITAUZWA TSHS 30,000 NA MALIPO YAKE KWA MWEZI NI TSHS 2000. Kwasasa nasikia kipo kwenye majaribio kwa baadhi.
1 Reactions
32 Replies
5K Views
Maana naona kuna kiongozi hapa anatamba eti sasa mikoa yote imeunganishwa mkongo wa taifa wa mawasiliano lakini mie binafsi sijauhisi kivyovyote katika mawasiliano yangu sababu kipindi...
3 Reactions
20 Replies
5K Views
Samahani naomba msaada wapi naweza pata display na touch screen ya blackberry z10 STL -3 cpu naomben msaada Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
1 Replies
720 Views
Habari wadau, Siku nyingi kulikuwa na tabia ya kukwapuliana simu ama kuibiana simu endapo unakuwa umeisahau mahali. Kuna wajanja waliniibia oppo yangu kwa moja ya staili hizo hapo juu wazee...
6 Reactions
37 Replies
6K Views
Wadau habarini hiyo namba imenipigia na sijaijibu sababu nimeona maluweluwe mwenye kuijua hiyo namba tujuzane.
1 Reactions
3 Replies
1K Views
List ya youtube chanel zinazo tembelewa kwa wingi tanzania Rank Grade Chanelname Video Uploads Subscriber Video Views 1st B+...
0 Reactions
10 Replies
4K Views
Kila nikiwasha PC yangu yanakuja MANENO haya" Ur Window license will expire soon, u need to activate window in setting......Tar 7/9 /2017 ndio inasema INA expire......Kumbka hii PC ni mpya hata...
1 Reactions
19 Replies
1K Views
Habari wanajukwaa la elimu? bila shaka hamjambo, nina kitu nataka niwashirikishe hapa, Baada ya kunyanyaswa sana na mapenzi natafuta msaada jinsi ya kupata roboti ambalo litakua linafanya...
0 Reactions
4 Replies
852 Views
Wadau kwa siku za karibuni nimekuwa nikiona remote control za decoder za azam hazifanyi kazi vizuri yaani zinakataa kataa pale unapoielekeza remote kwenye decoder, mfano unapotazama tv ukitaka...
0 Reactions
15 Replies
11K Views
Hakuna haja ya kuwa na ujuzi mkubwa, Utachohitaji ni google tu, Jifunze kupitia video hii yenye maelezo kwa kiswahili namna ya kudownload movies kwa wepesi zaidi bila kutumia software za ziada.
0 Reactions
4 Replies
3K Views
Nawashukuru sana continental kwa kuja upya mmenikosha moyo wangu Ni muda mrefu wateja wa continental walikuwa wamekata tamaa baada ya kuweka machannel ambayo yalikuwa yanachosha watazamaji...
1 Reactions
38 Replies
4K Views
Tianhe-2, which means Milky Way-2, operates at 33.86 petaflop/sec, which is the equivalent to 33,860 trillion calculations per second. Meanwhile, an average high-performance computer approximates...
1 Reactions
12 Replies
3K Views
Back
Top Bottom