Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions
Shikamoo wakubwa wadogo zangu hamjambo. Wenzangu mambo Me mgeni sana mitandao ya kijamii. Kuna mtu alisema unaweza kuweka whatsaap za no 2 kwa Simu moja....... Anaye anielekeze jaman
1 Reactions
13 Replies
2K Views
Habari ya muda huu, naomba mnisaidie wana jamvi television haionyeshi wakati nimeconnect na dekoda ya DStv, shida inaweza kuwa nini? Sent using Jamii Forums mobile app
1 Reactions
3 Replies
922 Views
Habari za asubuhi wanajamvi? Naomba kueleweshwa ni battery saver gani kutoka play store inayoaminika zaidi kwa kulinda charge ya simu ya android? Nimejaribu BATTERY DOCTOR na DU BATTERY SAVER...
1 Reactions
2 Replies
2K Views
Habari za muda huu wadau, Nahitaji kujua namna ya kuangalia online programms za TV kwa kuconnect na simu. samsung note 8
1 Reactions
10 Replies
5K Views
nipo na jelly ben tecno h5 baada ya kuiroot nikaona nitoe system apps ambazo huwa sizitumii na nyingine nikaamua kuzibadilisha nikatoa phone call ya system nikaweka treu caller pia nikatoa...
2 Reactions
30 Replies
3K Views
habari wadau..naomba msaada mnipatie drivers za simu tajwa hapo juu au walau link mana nimejitahidi kutafuta sijafanikiwa
1 Reactions
0 Replies
536 Views
Wakuu naomba kuliza kwa yeyote aliewahi kununua kitu online kupitia kikuu web Je ni changamoto zipi zinatokea kabula hujapata mzigo ulio nunua Na je mzigo huchukua wastani wa siku ngapi hadi...
1 Reactions
10 Replies
3K Views
Habarini wakuu! Simu yangu tajwa hapo juu imepata tatizo la IMEI Number, sijui chanzo ni nini ila imetokea tu IMEI Number imebadilika. Nimehangaika saana na rafiki yangu ila bado inasumbua...
0 Reactions
30 Replies
3K Views
Naomba mnisaidie namna ya kununua bidha kutoka online Amazon.Mi niko Tz na nina Visacard ya crdb. Jamani naomba msaada kwa wenye uzoefu anijuze ili ninunue bidhaa. Pia,nauliza kama bidhaa zao ni...
0 Reactions
2 Replies
3K Views
Jamani kuna application yoyote ya restore namba za simu zizopigwa na kufutwa?
0 Reactions
7 Replies
9K Views
Habari wakuu, Natumai mu wazima. Kwanza nitoe shukrani zangu za dhati kwa mkuu chief mkwawa kwa ule uzi wake kuhusu how to activate PayPal account. Kwa mimi nilishajiunga paypal kitambo simce 2012...
5 Reactions
36 Replies
3K Views
Salaam Wakuu, Hii namba 0754125125 - JOSEPHINE KABUNGA) imekuwa ikijileta kwenye setting za simu yangu automatically kwa ajili ya ku-divert Calls when unreachable! Nikiiondoa baada ya muda...
1 Reactions
11 Replies
6K Views
Wakuu naombeni msaada wa kuformat flash aina ya samsung ina ukubwa wa 64GB na kila nikiweka kwenye pc inataka ni format nikifornat inagoma.
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Habari. Nataka kupata uzoefu kwa wenye web servers (sio virtual) hapa Tanzania. Vipi swala la umeme, ukikatika web sites za watu na apps zingine mlizohost zinakuwa offline au mnatumia Generator...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Naomba kujua, ivi kwa nini Smart Phone inapoteza contacts? Leo nimeamka asubuhi majina zaidi ya 20 hayapo. Anayejua anisaidie tafadhari. Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
10 Replies
809 Views
Infomation techonology Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Wakuu naombeni msaada ninatumia LG f180S jana kwa bahati mbaya nilifanya restore kwa lugha ya kikorea pasipo kujua nimeiwasha imewaka vizuri ila shida kumejitokeza matatizo amabyo hayakuwepo...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
NILIKUA NABADILISHA WAYA UNAOTOKA KWENYE ADAPTOR KWENDA KWENYE PC ACCIDENTALLY NIKAWA NIMEKOSEA ALIGNMENT YA TERMINALS NILIVYO PLUG KWENYE PC PC IKAZIMA......NIKA FIX KOSA LAKINI KILICHOTOKEA NI...
0 Reactions
0 Replies
512 Views
JINSI YA KUTENGENEZA BOOTABLE FLASH BILA KUTUMIA SOFTWARE YOYOTE* mwanakwetu habari. Leo nimeona nishare nawe somo hili dogo but naamini litakuwa na nanufaa makubwa kwako na kwa wengine, baada ya...
8 Reactions
26 Replies
11K Views
Wadau nitumie njia gani ya kuweza kuidownload hii application ya azam TV kwa sababu nikipitia play store haikubali,naomba msaada. Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
1 Replies
3K Views
Back
Top Bottom