Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions
jamani kwa mtaalamu ambaye anajiamini yupo nondo kwenye vba akuje tupatane anifundishe
2 Reactions
6 Replies
869 Views
Watu wengi hatupendi matangazo yanyayo jitokeza kwenye apps. Ili kuyaondoa uwa mwenye app anakutaka uilipie uwe premium user. Kwa android kuna apps kibao kama adblock na nyingine maana android ni...
2 Reactions
22 Replies
6K Views
Habarini......jamani me sina raha mwenzenu,kila niki search website ya kudownload series sifanikiwi. So far nimeshasoma threads nyingi zinazohusu website husika but nikiingia zinani direct tu mara...
3 Reactions
65 Replies
10K Views
Wakuu habari zenu, Laptop yangu ina processor ya i5-4200M 2.5Ghz Je inawezekana kuiongeza nguvu na kubadili graphic card? Maana mostly nasikia kwa Desktop na sii laptop. Wenye maujuzi karibuni
1 Reactions
13 Replies
4K Views
Mambo vipi wana IT? Nimemaliza kufanya project yangu, ni website ina features mbalimbali ikiwemo forums. naomba mtazame kisha nitashukuru kusikia neno lolote la kujenga kutoka kwenu, kwa...
0 Reactions
26 Replies
3K Views
Americans are too smart to get rid of them aisee. Inasemekana Kampuni ya Google kupitia operating system yake ya android ambayo ndio the widely used smartphone O.S kwa sasa wanakusanya...
5 Reactions
24 Replies
3K Views
Wakuu naomba msaada wa kitaalam kuhusu sim za oppo!
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Nina modem yangu ya Huawei mobile broadband yenye model no. Model: E173u-1 naitaji itumie line zote kwa matumizi ya internet.. shukran.. nipo dar es Salaam Sent using Jamii Forums mobile app
1 Reactions
1 Replies
712 Views
Naombeni mnijuze jinsi ya kudownload series za kikorea kwa kutumia smartphone au ambaye anajua website pa kuzipatia Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
6 Replies
472 Views
Habari wadau ni app gani ambayo unaweza kublock calls na sms? Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Nina simu tajwa hapo juu ina app ya otg USB lakin nmeshindwa jinsi ya kucoppy au kumove nyimbo ktoka kwenye simu kwenda kwenye flash Nmejarbu kutmia Filela send to SD card through share imegoma...
0 Reactions
0 Replies
311 Views
Ninataka kujilipua kwa ku update simu yangu kwenda IOS 10.3.3 ni iphone 6 plus sasa wananiletea update ya Ios 10.3.3 Naomba ushaurii Niifanyaje hiyo update au itaniletea shida kwa wazoefu...
1 Reactions
6 Replies
1K Views
Ni Jana tu usiku nimeshtukia simu imepoteza network kwa line zote mbili na ghafla zimekuwa inactive kote ila inasoma line ya voda ambayo its not my favourite. Naombeni msaada napata kitu kama...
0 Reactions
1 Replies
825 Views
JF Hizi ni hatau chache za kufuta moja moja akaunti ya instagram. Tazama.
1 Reactions
2 Replies
8K Views
Nina Hard disk 2 zote 500GB@ wapi nitapata mtaalamu wa kurekebisha hazi somi japo zina zunguka vizuri. Moja ina soma kidogo japo haionyeshi ile space buffer ukijaribu ku format haikubali...
0 Reactions
13 Replies
3K Views
Nahitaji Majibu Unique Wakuu Kama Ku Google nisha Google Sana Na Video za YouTube nimeziangalia Sana nnaombeni Msaada Inaonesha Imebaki na 1.61GB kati ya 98GB Cha Kushangaza FOLDER la USER...
0 Reactions
19 Replies
2K Views
Msaada wakuu natumia hii simu lakini inaniacha hoi kwenye jambo moja tu, nikidownload app inachagua kuzifungua zingine zinafunguka vizuri zingine zinagoma kabisa inaandika unfortunately show box...
0 Reactions
2 Replies
986 Views
Anzisha Biashara ya Website Hosting Kwa mtaji usiozidi Tsh 150,000/= Tanzania Website Experts inakupatia vifuatavyo;- Reseller Hosting Package kwa ajili ya kuuza hosting space kwa wateja wako...
2 Reactions
2 Replies
1K Views
Naomba kusaidiwa jinsi ya kufomat simu, nimesahau pattern. Samsung j7 Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
3 Replies
925 Views
whats arae trick to get vod*c*m bandles
0 Reactions
0 Replies
453 Views
Back
Top Bottom