Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions
Ndugu wana jf habari zenu, kichwacha habari chahusika naomba mnisaidie nataka kununua simu sumsung galax s6 ya 2015 au sony experia z5 min, ipi ni bora katika matumizi hasa kwenye ram, utunzaji wa...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
msaada wadau nilijaribu kuiflash ilikuwa na password baada ya kumaliza naiwasha inaishia kwenye logo
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Jamani simu yangu inatumia laini ya tigo tu anayeweza kunisaidia itumie laini zote Sent using Jamii Forums mobile app
1 Reactions
13 Replies
4K Views
Wakuu nina simu aina ya Sony Xperia Lt 30p tatizo lake ukiitoa kwenye chaji inazima, na ukiiweka kwenye chaji inaonyesha imejaa kwa 100%. Na ukiitoa kwenye chaji kabla hujaizima ikizima yenyewe...
1 Reactions
5 Replies
853 Views
Habari zenu wadau, nilikuwa naitaji kufanya dual boot kwa kuistall android OS alongside window, Hivyo mwenye iso file ya Adroid au download link naomba anitumie.
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Nina hamu ya kumiliki hicho kisimu je kwa MWANZA kuna sehemu gani wanauza Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
7 Replies
3K Views
Nimepita kwenye maeneo ya YouTube nikakutana kuwa huko Mto Ruvu ameonekana ng'ombe wa buluu. Kweli kwenye footage ni wa buluu lakini sijapokea moja kwa moja kuwa hiyo rangi ni asilia mpaka mwenye...
0 Reactions
8 Replies
5K Views
Simu yangu inatatizo la kujzma the inawaka inaonyesha logo then inaganda inazma tena and the issue goes on repeatedly mpaka nifanye hard reset nimepeleka kwa fundi akainstall new rom but the...
0 Reactions
22 Replies
6K Views
Simu yangu nikiingia kwenye gallery vitu vyote vilivyokua kwenye memory card vimefutika,na badala yake naoneshwa kua SD card imeharibika,naomba mwenye kujua jinsi ambavyo naweza kuirudisha memory...
0 Reactions
0 Replies
568 Views
Wakuu niliweka phone security kwenye ka simu kangu katochi Nokia 105 sasa nimesahau password na inaomba password. Msaada jinc ya kuifungua nakapenda sana ka simu kangu. Cc Chief-Mkwawa Sent...
0 Reactions
4 Replies
3K Views
Habari ndugu zangu, naamin humu kuna wataalamu wengi wa mambo ya websites kuliko mimi Nimetengeneza hii website yangu ( www.climaxresorts.com) kwa ajiri ya mteja wangu , ninaomba kupata ushauri...
0 Reactions
16 Replies
1K Views
Habari za mchana wanajukwaa. Tafadhali naomba msaada wa kuset printer aina ya Canon 2545 imagerunner Nimefanya network tayari, printer na other devices kama computer zinaonana na nikiping...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Jaman naomben mnisaidie nimedownload dream league kuptia google na obb zake lakn linagoma kuplay nin tatzo hapo
0 Reactions
0 Replies
617 Views
Jamani najaribu kufungua website ya Air Tanzania ambayo ni www.airtanzania.co.tz naona haifunguki au nimekosea site address yake msaada tafadhali
0 Reactions
3 Replies
768 Views
Nimeamini Tecno wakikuuzia simu, wanasepa jumla. Hata ikija android 7naugat. Na wewe una 6 marshmallow. Watakuacha hapohapo. Hawana time na wewe. Ukitaka update unalazimika kununua simu nyingine...
0 Reactions
3 Replies
783 Views
Wakuu kuna mtu nilikua namdai fedha kias fulan kashndwa kunilipa.. Niliamua kumnyang'anya simu aina ya vodafone kwamb atakuja kuikomboa mby zaidi nimekaa nayo kma miez miwil hyo jamaa haji...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Kwa yeyote anayekijua chuo chochote au taasisi binafsi inayotoa mafunzo ya film making na video production kwa ujumla anijuze.. Natanguliza shukrani.
0 Reactions
4 Replies
4K Views
Jaman ambaye anasoftware ya kuaunlock modem ya airtell huawei e 173 anisaidie jamani Finally Huawei E173 za Airtel zinaweza kuwa unlocked, Njia ni kama ya E153 Aliyoweka e2themiza sema kuna...
0 Reactions
115 Replies
39K Views
Habari zenu wadau? Naitwa dixon. Nina app yangu nataman sana kuiweka playstore lakn sababu ya garama nimeshndwa. Kw kuwa playstore ukisha lipia mara moja unaweza weka app nyng uwezavo nami naomba...
0 Reactions
2 Replies
734 Views
Hii inanisikitisha sanaaaaa, kwa website kongwe ya kitaifa yenye kutoa taarifa za kitaifa kuwekwa link ya Video za Mapenzi tena mchana kweupeee. Hawa ma IT wao pesa yao ya mshahara wangenipa...
0 Reactions
23 Replies
3K Views
Back
Top Bottom