Habari wakuu?.
nimekuja tena kuomba msaada nikiamini hapa hakuna linaloshindika. Nilikuwa natumia simu ALCATEL 5023F na sasa natumia TABLET MIN7 VFD110(zote ni za vodacom)
tatizo la hii table ni...
Nimejaribu kutumia command prompt kama admin na kuchokonoa kwenye registry lakini nimeshidwa kussolve hili tatizo
Anayeweza kwa njia nyingine, au alternative nyingine inakuaje hapo?
Nataka...
Hellow.......Nilikuwa natafuta application kwenye simu yangu ya android ambayo kazi zake zinafanana na IDM katika computer kwamba nikipata Wimbo kupitia SHAZAM (application inayo nisaidia kupata...
Wakuu niko kwenye mchakato wa kuchukua simu mpya baada ya kuchoka vituko vya hii tecno yangu.
Na nilipenda nichukue simu moja wapo kati ya hizo mbili hapo juu, naombeni waliowahi kutumia hizo...
habari, nlikua nataka kununua hii pc ila katika kugugo nmekutana na kukatishwa tamaa kwingi, ngependa kujua kutoka humu kwa aliewai kuitumia, je ni nzuri, na inafaa kwa matumizi ya chuo kwa IT? na...
Google wametangaza rasmi kuwa toleo jipya la mfumo wa uendeshaji wa vifaa vinavyo tumia Android utaitwa Android Oreo, toleo hili ambalo limeanza kuachiliwa kwa watumiaji wa Google Pixel na Nexus...
Jamani naomba kufahamu, nina account mbili za Adsense na zote nimesajili kwa majina yanayo fanana, pia account moja nilishapokea barua na nika-verify account, sasa na hii account ya pili...
Najaribu ku connect samsung S6 hotspot to Macbook Pro ili nitumie mobile data ku browse the net via laptop inagoma
Cha ajabu
Niki connext wifi hotspot kwa Samsung Tablet inakubali
Msaada please...
Mimi ni mdau wa mambo ya mawasiliano na nina tabia ya kupita pita huku na huku kupata chochote kile kinachonifaa. Niliona kama wamekuja tena upya nikanunua line yao nilichokiona naona wanachemka...
Habari wana JF.
Natakuwa kujuwa vp computer engineer tanzania inafanya kazi sehemu zipi.?
Na napenda kujuwa idadi au projects zilizofanywa na computer engineers Katika Universities tofauti za...
Wakuu
Naomba msaada wenu sana tena sana Simu yangu mda flani inajizima data yenyewe yaani kwenye setting inaonyesha data ipo on lakini hapa juu kwenye status bar hakuna cha 3g wala H+ na ukiingia...
hii situation inaniumiza kichwa kwakweli almost nusu ya video zangu zimekua flagged as "Not suitable for all advertisers" kwa mliokutana na hii situation mmebahatika kujua chanzo na muarubaini wa...
Kichwa cha habari chahusika. Wanajamv naomba msaada kwa yeyote anayefahamu sehemu wanayofundisha just coding or programming dar es salaam anielekeze. NB: isiwe chuo kikuu kama udsm na ifm. Just...
Za mchana waungwana. naomba msaada kidogo nina simu yangu nokia lumia n9 niliiweka kapuni kwa muda sasa juzi nimeiwaisha na kuiwekea laini imekataa kushika network, ukiweka inaandika mobile...
Wakuu tafadhali...Nahitaji kuandika heading fulani ila kwa nyuma (background) niandike vimaneno vidogo vidogo ambavyo vitaonekana kwa mbaliii(Mwenekano hafifu).
Sent using Jamii Forums mobile app
Raia wa Nigeria Oshi Agabi amezindua kompyuta zinazotumia neva za panya katika kongamano la kiteknolojia la TEDGlobal linaloendelea nchini Tanzania.
Mfumo huo umefunzwa kutambua harufu ya...
Habari zenu wakuu..
Mimi ni shabiki wa Andriod,nipo katika kutafta simu mpya..
Nilikua naisubiri S6(baada ya kutoridhishwa na Note4) kwa hamu lakini sijapenda muonekano wake..
Sipendi simu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.