Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions

JF Prefixes:

Naomba ushauri nataka kununua used Samsung Galaxy note 10 plus je ni nzuri?
0 Reactions
1 Replies
655 Views
UPDATE / MREJESHO: Tatizo lipo kwenye case ni usb 2.0, nimetesti kuiunganisha moja kwa moja kwenye desktop speed ni nzuri MB 50 kwa sekunde, chief mkwawa kanishauri ninunue case ya usb 3.0...
2 Reactions
21 Replies
1K Views
Habari wanajukwaa natumaini mbuheri wa afya. Leo naomba nigusie japo kwa kiasi kuhusu hizi apps za mikopo ambazo kwa Sasa zimekuwa nyingi sana na promotion kubwa inafanyika huko YouTube...
3 Reactions
7 Replies
2K Views
Wakuu habari za mida! Nilinunua simu mkoa wa kigoma nikizani nmenunua samsung galaxy s10 plus... kumbe nmenunua docomo s10 plus sasa kinachonikera ni kuona ikiwaka inaonesha logo ya docomo...
8 Reactions
18 Replies
1K Views
Je, dhana hii ni kweli...? inaaminika kuwa watumiaji wa simu zenye mifumo ya "android" ni kuwa wako hatarini zaidi kudukuliwa kuliko watumiaji wa simu zenye mifumo ya "iOS"
2 Reactions
12 Replies
496 Views
Kwanza nimpongeze mama Samia anaupiga mwingi watoto wa kizimkazi tuko nyuma yake [emoji3][emoji3] Wakuu Poleni na Starehe.Aiseee hivi wapi naweza kupata free PSD template za Adobe Photoshop Free...
0 Reactions
8 Replies
356 Views
Natafta namna ya kutrack sms za whatsup mwenye maujuzi anisaidie
0 Reactions
53 Replies
14K Views
Naomba kujua kifaa hicho kama kinapatikana Tanzania au kwa kuagiza ili niweze kuperfom vizuri Sina budget kubwa kwa mafundi simu mnanielewa.
1 Reactions
6 Replies
435 Views
Aise kama unataka kuanza ku code kitu kabla hauja chagua frameworks hakikisha unapitia cost za deployment kwanza, bila hivyo utajikuta system yako unatumia mwenyewe kwenye localhost Ipo hivi...
0 Reactions
5 Replies
490 Views
Moja ya kitu ambacho kilikuwa kina nikera ili kwenye kufungua tovuti.
6 Reactions
33 Replies
1K Views
simu yangu :iphone tv: smart tv
3 Reactions
24 Replies
1K Views
Habari zenu anaejua duka linalouza graphics card used anipe mawasiliano yao nahitaji ile yenye umbo dogo low profile mashine yangu ni SFF kuanzia GTX 1060 au RX 590
3 Reactions
28 Replies
847 Views
Msaada kubadiki castom domain name ya bloger nimehost free site katika infinity free hosting. Nikiplace inanigomea msaada
1 Reactions
8 Replies
501 Views
Habari ndugu zangu. Naomba kuuliza website ninazoweza download PS4 games bila shida. Nilizoea kutumia kickass na piratebay Ila naona hazieleweki kabisa siku hizi. Naombeni msaada huo Wana JF.
0 Reactions
9 Replies
1K Views
Habari za wakati jukwaa, Naomba msaada kwa wenye uelewa jinsi ya kufanya deposit kwenye account ya perfect money.
1 Reactions
8 Replies
2K Views
Advantages: you can carry a mobile phone with you so you don't miss important calls if you are lost, you can call for directions. if you are in an accident, you can call the police or ambulance...
1 Reactions
2 Replies
14K Views
Wakuu naombeni msaada computer yangu imezingua yaan nikeiwasha feni zake zinazunguka kwa Kasi sana but kwenye kioo hai display chochote yaan hata taa zake hazioneshi kama computer imewaka sijajuwa...
2 Reactions
2 Replies
380 Views
Nahitaji msaada ni jinsi gani naweza kurudisha message na call zilizofutwa kwenye simu yangu Msaada tafadhali nitrate hatua zipi
0 Reactions
1 Replies
381 Views
Mwenye kujua utatuzi wa hii changamoto au fundi mzuri wa kurekebisha hili tatizo hapa dsm. Home theater inawaka mwisho inaleta ujumbe d protection.
2 Reactions
15 Replies
1K Views
WHATSAPP BOT Ulimwengu wa Sasa matumizi makubwa ni ya artificial intelligence (robot) now Whatsapp Kuna robot maarufu kama Whatsapp bot. BOT FEATURES 🤖 Auto View Status 👉Hii utaview status ata...
5 Reactions
38 Replies
3K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…