Tutashare mbinu za kujikwamua na ban humu, kumbuka hii ni cat/ mouse game kwa hiyo sio kila mbinu itafanikiwa kwako.
Fanya backup!
Baadhi ya hizi njia zitapoteza chat msg/ picha etc so kama ni...
natumahi humu wote niwazima…!! Naswali kidogo. Eti napotaka kununua Pc nzuri naangalia nini..??
1) Processor
2)core i1,i2………
3)Generation
4)ukubwa wa Ram
5)inayotumia HHD au SSD
Habari wadau wa jukwaa la Tech,juzi ilinyesha mvua kubwa na radi iliyopelekea umeme kukatika.Cha ajabu umeme ulivyorudi kwangu uligoma kabisa ikabidi kuwaita TANESCO kuangalia wakadai mita...
Wanajamvi,
Naombeni msaada,
Umeme umeisha kabisa kwenye luku yangu kila nikiingiza TOKEN inatokea error 77. Msaada please.Tokeni namba zote ni sahihi kabisa.
Kwenye ulimwengu wa vitu vinavyo shikika ni ngumu sana kutengeneza jamii yako ambayo wanaweza watu kusikiliza unapo kuwa na jambo lolote la kusema kuhusu wewe jambo ambalo linahusiana na wao kwa...
Tanzania inakabiliana na ongezeko la maudhui haramu kama vile picha za ngono kwenye mtandao wa Facebook. Hii inaleta wasiwasi miongoni mwa watumiaji ambao wanahisi kutoweza kulinda faragha zao na...
Habari wadau,
Natafuta fundi wa mashine ya Hydrafoam yenye engine ya HATZ ya diesel, engine yangu haifanyi kazi na vinu pia vina shida nahitaji kuifufua ili niweze kuitumia tena.
Naombeni msaada...
Mara ya mwisho nilishare kwamba nimekua monetized kwenye chaneli yangu ya youtube ilikuwa mwezi wa kwanza kama sio wa pili.
Tokea mwezi wa pili nilipokuwa monetized mpaka kufikia mwezi wa saba...
Habari wakuu naomba kwa anayejua namna ya kufuta caches kwenye laptop imekua nzito sana
Aina ya laptop Dell E6430
Asante
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Habarini Wakuu!! kazi yangu Inategemea Sana Picha Video Kidogo. Mimi Ni Dalali Huwa Napost Majumba Mtandaoni.
Muda Mrefu Nimekua Nikitumia Kamera Za Simu, Naona Sipati Ubora Ule Ninaoutaka
Sasa...
Wakuu Nina skill za software and Application development, ebo nipeni wazo ambalo likifamyiwa kazi kwenye IT linaweza solve mambo mengi kwenye jamiu na litaleta faida kubwa.
NB: Liwe wazo litakalo...
Wakuu habari,
Nilikua ishu flan nyeti inanihitaj kupata sim record print-out za kuanzia mwaka 2023 june Hadi december, na mwaka huu January Hadi February.
Hii kitu niliwahi fanyiwa na mdau mmoja...
Ety wakuu, kwa huu ufungaji/uunganishaji wa Solar panel, Betri na charging controller umekaa sawa..?
1. Kwenye picha namba 1 inaonesha maunganisho positive (+) nyaya za Betri, solar na taa.
2...
Kwema bandugu?
Hata sina maneno mengi kwenye hili...
Kama title inanyojieleza naomba kufahamishwa ni nani au akina nani? Waliotengeneza App ya Cheka Plus?
Natanguliza shukurani.
1. Washa hotspot yako ili uweze kuunga simu yako na computer/ laptop hii ni free haihitaji kuwa na data/ bando kwenye simu yako
2.ingia kwenye Xender yako gusa neno Connect to PC itakupeleka...
Hizi simu bana Bora uchukue zako Infinix au Samsung, Nimeinunua miezi 6 iliyopita. Lakini shida iianza Jana inawaka Lakini mwanga unakuwa hafifu saaana, Mwisho kabisa ikazima jumla mwanzo nilijua...
Je wewe ni muhanga wa kufungiwa kutumia Whatsapp Kwenye simu yako na kila ukijiunga Whatsapp lazima upigwe ban ? Unafanyaje kujiondoa?
Wengi wanajiuliza inakuwaje imenitokea hii inakutokea kwa...
𝗛𝗮𝗯𝗮𝗿𝗶𝗻𝗶 𝘇𝗮 𝗺𝘂𝗱𝗮 𝗵𝘂𝘂 𝘄𝗮𝗸𝘂𝘂!
Natumai asilimia kubwa mtakuwa mmeshuhudia wimbi kubwa la watu wanaolalamika kufungiwa namba zao za Whatsapp kutokana na kutotumia Official Whatsapp App
Watumiaji...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.