Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions

JF Prefixes:

Tutashare mbinu za kujikwamua na ban humu, kumbuka hii ni cat/ mouse game kwa hiyo sio kila mbinu itafanikiwa kwako. Fanya backup! Baadhi ya hizi njia zitapoteza chat msg/ picha etc so kama ni...
1 Reactions
14 Replies
907 Views
natumahi humu wote niwazima…!! Naswali kidogo. Eti napotaka kununua Pc nzuri naangalia nini..?? 1) Processor 2)core i1,i2……… 3)Generation 4)ukubwa wa Ram 5)inayotumia HHD au SSD
0 Reactions
3 Replies
271 Views
Habari wadau wa jukwaa la Tech,juzi ilinyesha mvua kubwa na radi iliyopelekea umeme kukatika.Cha ajabu umeme ulivyorudi kwangu uligoma kabisa ikabidi kuwaita TANESCO kuangalia wakadai mita...
2 Reactions
8 Replies
633 Views
Wanajamvi, Naombeni msaada, Umeme umeisha kabisa kwenye luku yangu kila nikiingiza TOKEN inatokea error 77. Msaada please.Tokeni namba zote ni sahihi kabisa.
1 Reactions
21 Replies
44K Views
Kwenye ulimwengu wa vitu vinavyo shikika ni ngumu sana kutengeneza jamii yako ambayo wanaweza watu kusikiliza unapo kuwa na jambo lolote la kusema kuhusu wewe jambo ambalo linahusiana na wao kwa...
1 Reactions
9 Replies
673 Views
Tanzania inakabiliana na ongezeko la maudhui haramu kama vile picha za ngono kwenye mtandao wa Facebook. Hii inaleta wasiwasi miongoni mwa watumiaji ambao wanahisi kutoweza kulinda faragha zao na...
2 Reactions
4 Replies
445 Views
Habari wadau, Natafuta fundi wa mashine ya Hydrafoam yenye engine ya HATZ ya diesel, engine yangu haifanyi kazi na vinu pia vina shida nahitaji kuifufua ili niweze kuitumia tena. Naombeni msaada...
0 Reactions
2 Replies
407 Views
Mara ya mwisho nilishare kwamba nimekua monetized kwenye chaneli yangu ya youtube ilikuwa mwezi wa kwanza kama sio wa pili. Tokea mwezi wa pili nilipokuwa monetized mpaka kufikia mwezi wa saba...
31 Reactions
99 Replies
9K Views
Habari wakuu naomba kwa anayejua namna ya kufuta caches kwenye laptop imekua nzito sana Aina ya laptop Dell E6430 Asante Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
0 Reactions
13 Replies
826 Views
Habarini Wakuu!! kazi yangu Inategemea Sana Picha Video Kidogo. Mimi Ni Dalali Huwa Napost Majumba Mtandaoni. Muda Mrefu Nimekua Nikitumia Kamera Za Simu, Naona Sipati Ubora Ule Ninaoutaka Sasa...
8 Reactions
44 Replies
2K Views
Wakuu Nina skill za software and Application development, ebo nipeni wazo ambalo likifamyiwa kazi kwenye IT linaweza solve mambo mengi kwenye jamiu na litaleta faida kubwa. NB: Liwe wazo litakalo...
0 Reactions
17 Replies
577 Views
Wakuu habari, Nilikua ishu flan nyeti inanihitaj kupata sim record print-out za kuanzia mwaka 2023 june Hadi december, na mwaka huu January Hadi February. Hii kitu niliwahi fanyiwa na mdau mmoja...
2 Reactions
7 Replies
385 Views
Ety wakuu, kwa huu ufungaji/uunganishaji wa Solar panel, Betri na charging controller umekaa sawa..? 1. Kwenye picha namba 1 inaonesha maunganisho positive (+) nyaya za Betri, solar na taa. 2...
0 Reactions
7 Replies
520 Views
Kwema bandugu? Hata sina maneno mengi kwenye hili... Kama title inanyojieleza naomba kufahamishwa ni nani au akina nani? Waliotengeneza App ya Cheka Plus? Natanguliza shukurani.
3 Reactions
33 Replies
2K Views
1. Washa hotspot yako ili uweze kuunga simu yako na computer/ laptop hii ni free haihitaji kuwa na data/ bando kwenye simu yako 2.ingia kwenye Xender yako gusa neno Connect to PC itakupeleka...
6 Reactions
14 Replies
2K Views
Morocco 🇲🇦 - 1954 Algeria 🇩🇿 - 1956 Nigeria 🇳🇬 - 1959 Egypt 🇪🇬 - 1960 Zimbabwe 🇿🇼 - 1960 Zambia 🇿🇲 - 1961 Congo 🇨🇬 - 1962 Ethiopia 🇪🇹 - 1962 Kenya 🇰🇪 - 1962 Sudan 🇸🇩 - 1962 Sierra Leone...
0 Reactions
4 Replies
402 Views
Nahitaji kuverify location skrill kila document ninayo upload inakataliwa nani anaweza nipa ujanja
0 Reactions
120 Replies
15K Views
Hizi simu bana Bora uchukue zako Infinix au Samsung, Nimeinunua miezi 6 iliyopita. Lakini shida iianza Jana inawaka Lakini mwanga unakuwa hafifu saaana, Mwisho kabisa ikazima jumla mwanzo nilijua...
10 Reactions
41 Replies
7K Views
Je wewe ni muhanga wa kufungiwa kutumia Whatsapp Kwenye simu yako na kila ukijiunga Whatsapp lazima upigwe ban ? Unafanyaje kujiondoa? Wengi wanajiuliza inakuwaje imenitokea hii inakutokea kwa...
8 Reactions
7 Replies
2K Views
𝗛𝗮𝗯𝗮𝗿𝗶𝗻𝗶 𝘇𝗮 𝗺𝘂𝗱𝗮 𝗵𝘂𝘂 𝘄𝗮𝗸𝘂𝘂! Natumai asilimia kubwa mtakuwa mmeshuhudia wimbi kubwa la watu wanaolalamika kufungiwa namba zao za Whatsapp kutokana na kutotumia Official Whatsapp App Watumiaji...
11 Reactions
45 Replies
3K Views
Back
Top Bottom