Wanandugu nilikuwa naomba msaada nimekuwa na simu hii kwa muda wa mwaka sasa tatizo simu ilivunjika touch yake ikawa haifanyi kazi nimejitahidi kutafuta touch yake hapa kariakoo imeshindikana kila...
Simu yangu Tecno W4 nimetumia miracle crack wakati nina Read ili nicopy Stock rom kwa ajili ya simu iliyokuwa imebrick ila ukiconnect ilikuwa inasoma USB DRIVERS nilichofanya ni kitu kimoja maana...
Ninaomba maarifa namna ya kupiga window kwa kutumia flash disk maana mlango wa DVD hamsomi ,kwa wenye utaalam kwa kutumia flash disk naomba pamoja na driver zake ili nifanikiwe wakuu .
Post sent...
Rejea kichwa cha habari, naomba msaada wa screenshots nifanye mannual configuration ktkt smartphone yangu.
Nimewapigia customer care service zaid ya mara nne wakaahidi kunitumia hizo settings...
Wakuu heshima na iwe kwenu.
Awali nilileta kwenu ombi langu la kupata app kwenye simu yangu ya kumix sauti(tangazo) nashukuru sana kwa msaada wenu app mliyonipatia ya Crossdj inafanya vizuri hadi...
Hatimae nami nimerudi kwenye ulimwengu wa android(kuifanya lolote simu yako na kuwa huru utakacho) naomba msaada wa hii game ya leo's fortune aliye na link ya kupakuwa bure aitupie hapa ubaoni...
Leo matokeo ya ACSEE yametoka.
Ilikua ngumu kidogo kuyapata maana server ilikua very busy. Sasa kama kubrush kidogo JavaScript knowledge nimeandika crawler fasta fasta kuvuta pages zote then...
Habari zenu wadau
Niende kwenye lengo. Ninahitaj kwa anaefahamu jinsi ya Kupiga chini system ya Nokia Lumia ambayo window ake unafny kazi Kam window za kawaida Yaan 8.0 ila hii ni RT.
Hii window...
Nimekutana na hizi nyumba zilizojengwa kwa shipping containers nimezipenda sana.
Very simple and clean design, contemporary houses. Na hata kama sio kwa ajili ya nyumba nadhani inafaa kitu kama a...
Ni aina ya dell but ukijaribu kuinstall program inaandika imecorrupt program hiyo hiyo nikiweka kwenye pc nyingine inakubali, nimepiga window hadi mara mbili nikijua nitamaliza tatizo but naona...
Habari nina simu yangu ya Vodafone VF695 sasa nahitaji iweze kutumia mitandao yote sasa nikiweka laini tofauti na voda inasema niweke Network PIN sasa nahitaji mtaalamu wa kuweza kunipatia hozo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.