Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions
Msaada hapo wakuu kwa yule unayejua vizuri app ya mtk msaada tafadhali Sent from my TECNO-W3 using JamiiForums mobile app
0 Reactions
3 Replies
995 Views
Najaribu kufungua CNN, Msnbc na Google inashindikana kufungua, ni tatizo la Kompyuta yangu ama nini?
0 Reactions
1 Replies
936 Views
Habari JF, Please kama kuna mtu Anajua mitandao mingine ambayo unaweza kusoma kwa video online, apart from YouTube, anitajie please, THANKS.
1 Reactions
62 Replies
10K Views
Habari, Wakuu Natumia Kinga'muzi Cha Azam Nimerudi Nikiwasha Kinaandika No Program, Kuna Dogo Nakaa Nae Hapa Amebofya Bofya Ndo Kaleta Hayo Majanga Msaada Tafadhali Niendelee Kupata Burudani,(...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
WanaJF na wataalam kwa ujumla naomba nifahamishwe jinsi ya kuzichukua Notes za kwenye THL eSchool application na kuziweka kwenye Ms Words. karibuni wadau!!! Sent from my TECNO_W4 using...
0 Reactions
1 Replies
5K Views
Naomba msaa wa kujua kuanza kutumia king'amuz cha.kontinento yaaan kwa kukielekezea ukiwa dodoma. dish na dish setup niwekaje jama ili strentgh na quality vitokee coz havtokei kabisa
0 Reactions
17 Replies
14K Views
Habari Tena wana JF, Kama kawaida leo tunajifunza tena kitu kingine kuhusu teknolojia, leo tunajifunza kuhusu jinsi ya kuficha mafile ya simu yako kwa kutumia calculator au kikokotozi. Njia hizi...
28 Reactions
87 Replies
32K Views
Salaam kwenu wahenga wenzangu. Nina hii Application ya mabodro, kwakweli iko vizuri. Ila tatizo mb zinawahi kuisha kabla ya movie kuisha. Huwa natumia ya kwako tu(mb 800) Vodacom. Je, nikiwa na mb...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Habari zenu wadau, nilitaka kujua kati ya kucheza game kwa kutumia computer na game consoles mfano PS, xbox, nintendo n.k , ipi ni njia nzuri ya kuinjoy kucheza game?
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Habari wakuu.. Naomba kujua km inawezekana kurudia version ya simu yako kwa mfano kutoka version ya Marshmallow kurudia Lollipop baada ya ku-update simu. Asante. Sent from my SM-J500H using...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Daah kila nikipost video insta inakataa na bando linakwisha tu,msaada jaman please Sent from my TECNO-C9 using JamiiForums mobile app
0 Reactions
11 Replies
1K Views
Najua ktk jukwaa kama hili vipimo ndo kila kitu na kuna wajuzi wa vitu vingi. Naomba kujuzwa vipimo kwa vitu vifuatavyo : (1)Upana(kwa kawaida) wa kabati za vyombo milango mitatu. (2)Upana wa...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Naomba kujua namna ya kumuweka blacklist/kumblock mtu kwa kwenye simu aina ya huwawei y336 uo2 Sent from my HUAWEI Y336-U02 using JamiiForums mobile app
0 Reactions
4 Replies
3K Views
A Mathematician Proposing a girl . Yesterday, I was passing by your rectangular house in trigonometric lane. There I saw you with your cute circular face, conical nose and spherical eyes, standing...
4 Reactions
7 Replies
978 Views
Habari wadau! Naomba msaada kwa mtu anayejua sehemu (duka) ambalo naweza kupata receiver ya strong (SRT 4922), hasa kwa Dar es Salaam na Mwanza. Natanguliza shukrani.
0 Reactions
31 Replies
4K Views
jamani naomba mnipe msaada wa namna ya kudownload games haswa GTA na FIFA, nimejaribu kwa torrent nimeshndwa, natumia window xp, 2.99 processor, 1gb ram au kama kuna msamalia mwema anaweza...
0 Reactions
27 Replies
17K Views
Naomba mnisaidie kujua namna ya kuconvert mp4 to MPEG kwa kutumia android phone kama inawezekana
0 Reactions
5 Replies
786 Views
Natumia Huawei y541 sasa nilibadilisha recovery image, ila nimepoteza backup ya ile official recovery image, msaada kwa ambayo anaweza kunisaidia. Kwa walioroot naombani backup Sent from my...
0 Reactions
0 Replies
564 Views
wakubwa msaada natumia king'amuzi cha dish star times lakini nimejalibu kutumia flash nimeshindwa kujua jinsi ya kufanya maana sehemu ya flash ipo lakini kwenye remote hakuna alama ya USB
0 Reactions
4 Replies
12K Views
Wajuzi wasimu wanisaidie ipi ni simu bomba kwa matumizi na imara zaidi kati ya sony xperia z1 na sumsung garaxy s8 ......... Msaada tafadhali........ Sent from my C6903 using JamiiForums mobile app
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Back
Top Bottom