Habar wakuu,naomben msaada wenu..nina huawei yangu hapa,,ambayo ni laini mbili ila upande wa net inatumia tigo pekee.naombeni msaada kama kuna uwezekano wa kuifanya itumie lain zote mbili kwa...
Nilikuwa najaribu kuroot kwa kutumia SP FLASH ,TWRP ,SUPERSU nikafuata maelezo but sijui nimekose wapi kidogo ikaleta maandishi ya namna hii kwenye pc[emoji116]
Ikaniambia format all nilipobofya...
Natanguliza shukrani kwenu wana jf
Naomba kujuzwa bei za projector za bei rahisi sana kampuni yeyote ile ni kwa matumizi ya kawaida tu
Napenda kuwasilisha kwenu
Nlinunua hivi vitu moaka kama 7 nyuma, nkavitumia kidogo nkaweka pembeni, leo kufukua fukua nkakutana na briefcase yenye hivi vifaa. Nlinunua mahususi kwa ajili ya kutimiza ndoto yangu ya ku...
App hii inaitwa 'Zinazosomwa' inapatikana google play kupitia link hii:
Zinazosomwa – Applications Android sur Google Play
App hii ina uwezo wa kugundua ni jambo gani au mtu gani maarufu anavuma...
Naomba msaada Nina MacBook air min 13 inchi, nimeitumia kwa muda naona inapungua uwezo wa betri na feni yake inawaka muda mfupi tu baada ya kuanza kuitumia
Sent from my SM-G531H using JamiiForums...
Wakuu wa jukwaa,poleni na mihangaiko ya kila siku ya kutafuta chapaa ili maisha yasonge.
Nimekuwa nikiomba msaada sana jinsi ya kuroot simu yangu ya huawei mate 8 bila mafanikio,nashukuru kwa...
Ktk vitu ambavyo vinaniuzi kwenye computer ni kila siku kupiga window.
Naomba kuuliza. Hivi hamna computer ambazo haziingii virus kabisa?
Kwasababu hizi zingine hata ukiweka [emoji220] virus...
Mkopo Poa Ndgu zangu.... Mwenye uwelewa kuhusu simu ya Iphone. Kifupi nimeletewa iphone na mtu anashida na pesa... Alinipatia ikiwa inawaka na kuzima kwahyo sikuwa na uwezo wa kuikagua... Baadaye...
Kama RAM ya computer imekufa na una mpango wa kununua nyingine lakini si kwa sasa, Je kuna uwezekano wa kutumia computer bila kupata matatizo yoyote.
Sent from my TECNO S3+ using JamiiForums...
Habari wana JF......
Kuna tatizo kwenye simu yangu ambayo nimeireboot baada ya kuireboot inataka google account ya zamani ila nimeingiza email lakini password nimezisahau na siwezi kuona mafail...
Jamani mwenye kuijua hii simu aniambie ikoje!! Nimeikuta dukani uko vizur Sana..
Naombeni ushauri plzz...
Sent from my HUAWEI Y530-U00 using JamiiForums mobile app
husika na kichwa cha habari,
ninataka jua ni jinsi gani unaweza tumia laptop kuwa source ya internet kwenda kwenye mobile wifi
naomba mwenye utaalamu anisaidie nataka niunganishe simu itumie...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.