Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions
Wakuu habar?. Mi natumia simu tajwa hapo juu ya Alcatel 5023F hizi za vodacom. Tatizo ni kwamba toka jana imekuwa inaonyesha sign kama betri ipo chaji hata kama nimeitoa kwny chaji. Pia inaandika...
0 Reactions
0 Replies
788 Views
Naombeni munifundishe jinsi ya kushea taarifa kutoka chanzo kingine cha habari kuja jamii forum
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Naomba msaada jinsi ya kutumia Microsoft access pia nini faida ya matumizi yake
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Habari wanaJF, naulizia aliwai ku implement online payment kwa kutumia M-Pesa, Airtel Money,Tigopesa, visa card na paypal. Nimesoma Paypal nais kama inawezekana sijapata bado idea ya payment...
0 Reactions
0 Replies
478 Views
Habari zenu wadau Mwenye uelewa wa jinsi ya kutengeneza blog naomba msaada wako, ni jinsi gani naweza kufungua blog. Natanguliza shukrani zangu.
0 Reactions
2 Replies
3K Views
Wadau naombeni msaada wa Cubase advanced music system cracked software au mwenye link ya kuipata anitumie please.
0 Reactions
2 Replies
759 Views
Habari za humu naomba mnisaidie jinsi ya kubadilisha font style kwenye tecno cammon C8 bila ya kiroots
0 Reactions
11 Replies
11K Views
Greetings brethren! Few days ago I started a post asking for your help for a beginner python exercise. Give thanks for the contributions.....nilisaidika sana mosi the task was solved pili...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Habar JF naomben msaada!! Pc yangu ina sehem ya ku insert SIM. Card kukonfigure ndo ishue anejua kuset line ikatumia kweny computer msaaDa tafadhali!!.
1 Reactions
2 Replies
637 Views
Vifuatavyo ni vitu vya kiteknolojia ambavyo havikuwepo tangu mwaka 2006 kama ifuatavyo. Na vipi vingine ambavyo havikuwepo miaka ile ya nyuma? 1.WhatsApp 2.Android 3.Uber Spotify 4.Instargram...
0 Reactions
8 Replies
983 Views
Ni Toshiba laptop Satelite Niliitumia fresh kwa muda wa lisaa limoja ikaisha charge ikazima nilipojaribu kuiwasha tena inatoa mwanga kidogo kwenye screen halafu inazima.nimejaribu kuhold F8...
0 Reactions
2 Replies
453 Views
Ndugu wapendwa polen kwa majukumu me natatizo moja kuhusu iphone kila nkitaka ku resett ianze upya nashindwa najaribu ku turn off #findmyphone na log out icloud ila ikimaliza process inatoa only...
0 Reactions
3 Replies
763 Views
Computa yangu aina ya hp ina windows 7 ultimate imepata tatizo kama ifuatavyo: Nikiiwasha inawaka kwa maana ya button ya kuwashia pamoja na lights zote za knye keybord zinaonesha komputa imewaka...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Habari za jioni, nimenunulia tangu ina miezi 1 tangu ninunua tatizo inashindwa kusoma external hdd, tatizo nini yeyote anayehamu nawasilisha
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Salaam niombe msaada anaejua kuscreenshot kwa kutumia aina hii ya simu.. Feature ya ku-screen shot iko wapi haswa. thanks indavance
0 Reactions
12 Replies
1K Views
Ni Samsung prime core (dual sim) nilikuwa naitumia bila tatizo lolote mpaka juzi hapa ndio imeanza tabia hiyo Yaani nikiwasha data tu inajirestart kwenye upande wa line mpaka hapo itakapo maliza...
0 Reactions
1 Replies
605 Views
Nilikua nataka kujua kama kuna distributors wowote hapa Tz wanaouza embedded system equipments kama Arduino boards,complex Sensors,breadboards etc etc.inabore sana unataka kufanya ka project...
1 Reactions
18 Replies
3K Views
Habar za shughuli wakui,poleni na mashughuli katika kujipatia riziki,binafsi ninaomba msaada katika hili,napata tabu sana pale nisipotaka namba flani initafute kimawasiliano,hili lipoje kwenye...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Xiaomi Redmi Note 4 - Full phone specifications CHIEF MKWAWA na wajuzi wengine, naomba kueleweshwa vizuri kuhusu ubora wa simu hizi. Naona wanatengeneza specs kubwa kwa bei ya chini sana[emoji14]...
0 Reactions
27 Replies
7K Views
Kwa kila post, unayoweka hewani, wengine wanaboost au kupromote post au matangazo yao, tangazo likiwa hewani watu wengi wana like post lakini sio page na wamiliki wa page wanakuwa wanatamani mtu...
0 Reactions
4 Replies
10K Views
Back
Top Bottom