Wakuu wangu....
Asanteni sana (hata sijui kwanini nawashukuru)
Nina Laptop yangu (Lenovo) inatumia Windows 10. Hard disk 465 GB.
Hard drive yake imefanyiwa partition mbili (Yaani local disk C...
Jolla C ni moja ya simu zenye OS hii ya Sailfish ambayo endapo project hii ingeshika soko basi tungekuwa na chaguo la ziada pale unapoenda kununua Simu basi ungeweza kuchagua smartphone ya...
Hello wana JamiiForums! Leo nimekuja kujuzana zaid katika ulinzi wa sm yako na kuitumia ww kama ww daima!
Na ata ukiipoteza ama kuibiwa nivgumu kutumiwa na mtu mwengine yyeto yule!
Kuna hii...
Kuna T-shirt nimependa eBay nataka kununua nimepewa muongozo ila sijaelewa maana imeandikwa T-shirt moja $3.45-6.45 +3.50 shipping ivyo nina hela hapa 150000 nawezaje tuma na mimi ntapokeaje kwa...
Massive Galaxy S8 Leak Reveals 25 New Features
Galaxy S8 press images show how sleek these new Samsung phones will be: Massive Galaxy S8 Leak Reveals 25 New Features
Naomba msaada ninataka nifungue ofisi kwa ajili ya kufanya marekebisho ya simu pale inapotokea zimeharibika hivyo naomba kujua aina nzuri ya flashing box, bei na maduka gani taipata. Naomba msaada...
Heshima kwenu wanajamvi!
Naomba msaada wa maelekezo jinsi ya "configurate" modemu kwenye kompyuta. Maana nimezoea kwenye simu.
Natanguliza shukurani zangu za dhati!
Habari za muda huu wanajukwaa!
Kama kichwa cha thread kinavyojieleza,kuna simu mpya za Smartphone za Vodafone ambazo zinauzwa kwa Tsh.70,000/= tu.
Na zinaonekana kuwa na Android 6.0!
Kama kuna...
Wakuu naomba mnisaidie simu yangu ina tatizo la kuchemka kila nifunguapo data ,nimejaribu kurestore simu zaidi ya mara tatu ili niondokane na hili tatizo la kuchemka kwa simu yangu lkn naona bado...
Habari ya majukumu wana jamvi?
Nina modem ya TTCL ZTE zile ambazo zina line ya ndani (inbuilt line). Kwakuwa siitumii kwa zaidi ya mnusu mwaka, nami nikafikiri kuiformat ili niitumie kama thumb...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.