Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions
Hello wana IT.. Nahitaji game zuri la URUBANI linalocheza kwa PC... PC angu ni HP PROBOOK 450.. IKO NA 600GB HDD.. 256 VRAM.. 6GB RAM.. 1366X768 screen resolution.. Core i5.. 2.22ghz..... Naomba...
0 Reactions
2 Replies
747 Views
salaam wakuu Nina sm ya tecno y3 imeanza tatizo la kujizimazima yenyewe kwa muda fulan na kuiwasha haiwaki had itolewe betr na kurudishwa ndo iwake.hebu nisaidie hili tatizo✌
0 Reactions
2 Replies
901 Views
Nahitaji Kununua Radio kwa ajiri ya mZiki wa Nyumbani ki getho getho sasa Nina laki 5 Hadi 8 mwsho nahitaji kupata Home theathre nzuri..itakayo dumu,iwe na mziki mkubwa kama bufa na...
1 Reactions
31 Replies
9K Views
Habari zenu,, Hivi katika website kuna uwezekano wa kudetect inchi ambayo mtembeleaji anatokea na aweze kuona content za nchi yake tu? Mfano kama hapa jamiiforums pangekuwa panajumuisha watu...
0 Reactions
12 Replies
1K Views
Habari waungwana,kama kichwa kinavoeleza halo juu simu yangu inasumbua sana inaniandikia android system has stopped muda wote
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wakuu, Nina Flash ya Imation 8GB, kuna siku nilikuwa nacopy movie kutoka kwenye computer. Wakati bado inakopi movie nikachomoa flash, sasa kuirudishia tena ina niambia, "Remove write...
0 Reactions
1 Replies
723 Views
Natoa furasa hii kwa anayetaka kutengeneza pesa fasta, nahitaji Microsoft Kinect Sensor for XBox One. Pia nahitaji Microsoft XBox Kinect Adapter. Pesa hii hapa nimeishika mkononi.
0 Reactions
1 Replies
629 Views
Mambo vp wadau, Naezaje fix tatizo la baadhi ya templates kwenye blogger kutoonyesha ads mfano za seebait kwenye mobile view , ads inaonekana kwenye desktop view tu. Msaada wenu tafadhali wataalam.
0 Reactions
2 Replies
859 Views
Mwanafunzi wa Shule ya Sekondari ya Wavulana ya Ilboru iliyopo Jijini Arusha akionyesha namna 'Robot' alilolitengeneza kwa kutumia zana mbalimbali. Rai yangu kwa watanzania tujaribu kuunga mkono...
4 Reactions
29 Replies
8K Views
Habarini wadau, Niende moja kwa moja kwenye tatizo langu.....Simu yangu tajwa hapo juu imekuwa iki-restart yenyewe mara kwa mara na nimeshindwa kujua tatizo ni nini Inafika wakati inaniambia...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Habari za wakati huu wataalamu! Hivi ni kwanini sikuhizi huu mtandao wa VODACOM Umekua ukisuasua?! Yani mambo ni tofauti kabisa na mitandao mingine mtandao wa Voda sikuhizi wamekua wa ajabu...
0 Reactions
2 Replies
612 Views
Habari wanajamvi napenda kuwakaribisha wote wanaohitaji android app kwa ajili ya kampuni,biashara au kwa mahitaji binafsi. Tunatengeneza app ambazo ni: 1. simple & Clean Interface - muonekano...
0 Reactions
20 Replies
4K Views
Habar zenu mimi ni hancy naomba msaada kama kunamtu anauelewa wa kupata domain kwaajili ya blog lakini iwe domain ya bure
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Jaman programmers wenzangu nimeanzisha thread hii ili tushirikiane kuelewa na kujifunza c language naomba ushirikiano wenu
3 Reactions
6 Replies
845 Views
Hodo wataalam, leo nimewakimbilia ili kupata msaada jana nilihangaika sana ku douwnload movie kadhaa lakini nilishindwa kwenye laptop, Natumia software inaitwa U torrent matokeo yake ikabaki...
0 Reactions
3 Replies
763 Views
Naombeni msaada wa haraka wataalamu nifanye nin au nisolve vp hii ishu? Nina pc yangu siku ya tatu,leo keyboard inasumbua baadhi ya buttons kam zile f's zote,enter backspace,space,caps and num...
0 Reactions
13 Replies
1K Views
Habar wazee naomb msaad anaejua ku create system user interface msaad wenu jamani!#
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Msaada jamani web site za kudownload new movies
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Mwenye kujua ubora na Mapungufu ya simu hii Anisaidie
1 Reactions
1 Replies
756 Views
Back
Top Bottom