Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions
Naomba kujua kwa nini nikifungua folder lolote lile kwenye pc,linacheza cheza mwanzo mwisho,hadi nashindwa kufanya kazi,nime install window mpya,tatizo bado,shida ni nini?
1 Reactions
5 Replies
1K Views
Kwa mwenye ujuzi au uzoefu au utaalam..anisaidie.. Nimefunga solar panel W150 na W 100 Kwa ajir ya matumiz ya nyumbani kama kuwasha taa..za nje getin n.k Je ni CELL(battery) gan nzuri naweza...
0 Reactions
6 Replies
800 Views
Eti Whatsapp hai support kwenye BlackBerry ?? Naomba ufafanuzi
0 Reactions
1 Replies
694 Views
Wadau! Natumaini mpo poa na harakati za kimaisha zinaendelea. Hivi karibuni nilikikuta Sina ujanja, ikanidi nilirestore simu yangu (iphone) tukio Hilo lilipelekea kupoteza data zangu zote...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Jamani nani amekwishatumia simu hizo au hiyo inayotangazwa na azam tv hapa nchini?
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Habari wakuu. Simu yangu aina ya HUAWEI Y520 huwa inazima kila baada ya dk 3, hususani nikiwa ninaitumia; ila kama siitumii na nimeiwasha, haizimi. Nimejaribu kufanya factory reset zaidi ya mara...
0 Reactions
0 Replies
846 Views
Naomba mwenye kujua namna ya ku unroot device anisaidie ili ni unroot simu yangu niweze kutumia new m pesa app
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Wakuu mwenye idea na Ku unlock keypad phones password kasoro Nokia na samsung
0 Reactions
1 Replies
678 Views
Wadau nmedownload game tajwa hapo juu ila kila nikitaka niinstall nashindwa mwenye ujuz kidogo tusaidiane. Asante
0 Reactions
0 Replies
375 Views
Tafadhali naomba msaada wenu, nimeenda kwenye setting lakini naona haisaidii. Kwenye setting nimefanya default storage as memory card lakini kila ninachofanya kwenye boom J8 kinajisevu kwenye...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Wakuu, Naomba msaada kusend audio tracks through what's app kwenyehii simu
0 Reactions
0 Replies
554 Views
Kuna program ,unaandika SMS,halafu unabadilisha ,kama ni kichina,France, & etc
1 Reactions
7 Replies
8K Views
wadau ninaomba mnisaidie kwa wale wanaojua, ningependa kufahamu je nikinunua iphone ambayo imeflashiwa (refurbished) inaweza kuperfom kama iphone ambayo haijafanyiwa hivyo? kuna kampuni inauza...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Wana jukwaa habari? Anatafuta android app kwaajili ya kublock incoming sms. najua nyingi zinaweza iyo kazi but zinaweka spam box or blocked box. je naweza pata app (free) ambayo itakua inazi...
0 Reactions
6 Replies
941 Views
Help me. How can I call as a Private number ?.
0 Reactions
0 Replies
771 Views
Laptops ni komputa zinazobebeka kirahisi kwenye mkoba wa mgongoni au mkononi zinazopenda kutumiwa na wasomi wengi kurahisisha utatayarishaji wa kazi za kiofisi na zile zisiyo za kiofisi. Laptops...
5 Reactions
29 Replies
5K Views
Habarini Lengo ni kuweza kufahamishwa Kam Kuna vifurush vya dakika na sms za kutuma kwenda nje ya nchi hasa East Africa kwa mitandao ya voda, tigo, zantel na airtel. Na mitandao mingine pia...
1 Reactions
4 Replies
3K Views
Kila nikihamisha uku Kwenye primary disk vinabaki. Vingine naambiwa contact to administrator to permission for deleting or moving this file.. Sielewi apa wakubwa nissidien Nifanyaje.. Vitu vimejaa...
0 Reactions
4 Replies
953 Views
Top 5 Rockstar Free Roaming PPSSPP (PSP) Action Games which can also be played in Android phone. I'm sure you haven't play 1, 2 and 4 Top 5 Rockstar Free Roaming PPSSPP (PSP) Action Games | AndroBliz
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Back
Top Bottom