Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions
checkout this android apps.
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Msaada wakuu nahitaji kujua na kuhakikisha ili nijiridhishe kabla sijanunua pc kuhusu ukubwa wa ram , processor na harddisk kabla cjanunua kuhakiki anacho sema ama kilicho andikwa na muuzaji .
0 Reactions
1 Replies
863 Views
Za kushinda wana JF! Nahisi shemeji yenu amefanya mavirigiza yake anaona every thing nnachofanya katika simuy mf.wasap, insta, fb n.k! Kuna ndugu zake nimewasiliana nao kwa FB (family issues) na...
0 Reactions
49 Replies
6K Views
Habari ndgu zangu . Nilikuwa ninaomba mwenye Uelewa kwenye simu anielekezeJinsii ya kuacha mawasiliano yangu kwenye simu yangu. Nikimanisha kila nitakae ongeanaye yawe recording kwenye phone or...
0 Reactions
10 Replies
1K Views
Wakuu mwenye uwezo wa kudownload VIP gold bet new version msaada
0 Reactions
0 Replies
418 Views
Habari wadau, Tatizo langu ni PC yangu monitor yake kimebadlika rangi yaani kinaonyesha rangi ya pink na kijani. Msaada wenu nahitaji na sijaiangusha wala kuibamiza na kitu chohote.
0 Reactions
8 Replies
4K Views
Kuna nyumba ya vyumba vinne inatakiwa kufungwa internet je itacost kiasi gani na ni vitu gani vinatakiwa kununuliwa
1 Reactions
12 Replies
5K Views
Husika na kichwa cha habari hapo juu naomba usaidizi nimejaribu kucheck video tutorial nadhan naitaji usaidizi zaidi kwa lugha yang pendwa
0 Reactions
1 Replies
901 Views
Wakuu! Nimekuwa interested sana na hizi laptop hasa ninapoziona zikifanya kazi kwenye movie nyingi sana ki'Intel/Science Fiction. Utakuta jamaa hasa soldiers wana run programs flanii hivii code...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
HABARI ZENU WAKUU NAOMBA MSAADA ,NI FIRMWARE IPI INAYO WEZA KUINGILIANA NA HUAWEI Y530-UOO VODACOM TANZANIA,MAANA NIMEJARIBU KUFLASH KWA KUTUMIA FIRMWARE TOFAUTI TOFAUTI IMESHINDIKANA KUMECHI...
1 Reactions
0 Replies
720 Views
Hatakama simu ina app maalum ya kuscan, Powe servin & cleaning?
0 Reactions
4 Replies
2K Views
msaada hizi coke free WiFi je kuna way nyingine ya kuunganisha au ni kama kawaida unawasha WiFi then unaconnect? mfano me nmejalibu kuitumia bhana na nipo na hotspot tower yenyewe kama 2 or 5 m...
0 Reactions
1 Replies
870 Views
Wakuu wenye madishi ya Startimes watuambie Kuna ndugu yangu ambaye tangu anunue dishi la Startimes tangu mwaka jana hajawahi kulipia hata senti lakini anapata local channel za bure zaidi ya 30...
0 Reactions
21 Replies
6K Views
Hk
0 Reactions
3 Replies
673 Views
Wataalam wa laptop ni ipi bora kati ya Asus Zenbook UX310 au HP probook 440 g3. Hp ni brand ilizoeleka bongo kwahivyo haina shaka. Upande wa pili asus wan design nzuri sana metallic ambayo kwa...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Jaman kuna simu yangu inaonyesha hayo maneno nikitaka kuinstall WhatsApp apps, so hata ukibahatika kuinstall bado kupitia WiFi bado kusend text inasumbua. Msaaada tafadhari
1 Reactions
13 Replies
4K Views
Habari ndugu zangu wa humu, naomba msaada wa simu gani ni nzuri inayopiga picha vizuri maana kwenye simu mimi huwa naangalia kamera na ram ,ninatumia tecno j8 mwanzo ilikuwa inapiga picha vizuri...
0 Reactions
9 Replies
3K Views
Jaman Msaada Wa Haracka nahitaji maelekezo ya Ku Unlock Hii Kitu Thanks In Advance
0 Reactions
0 Replies
1K Views
habari za wakati huu wanajamii, nina tatizo kwa mwenye kusaidia anisaidie tafadhali, nina laptop aina ya dell latiyude E5400, 32bit, hivi karibuni kuna mistari mistar inajitokeza kwenye kioo ikiwa...
0 Reactions
3 Replies
4K Views
Wakuu natanguliza salam kwanza [emoji117] Naomba tujuzane kama kuna uwezekano wa kurudisha mafaili ya disk tofauti na C kwenye PC, mfano PC ina partition 2 tu means local disc C na D na ikatokea...
0 Reactions
14 Replies
3K Views
Back
Top Bottom