Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions
Habari za leo wanajamvi? Bila shaka mko njema kabisa baada ya kumaliza shughuli za hapa na pale, hasa ukizingatia asubuhi ndo inatoa picha kamili ya siku. Turudi kwenye mada, simu tecno y6...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
infinix s2 pro is one of the latest and best available phones in the country phone specification 5.2 inches Display Size Android OS, v6.0 (Marshmallow) Octa-core 1.3 GHz Memory: 32 GB / 3 GB RAM...
1 Reactions
0 Replies
3K Views
Accoint wanakataa kuipitisha sababu iko related na another recently approved account.wameniwekea na email address kabisa ya hiyo account.Nafanyaje wakuu?
0 Reactions
2 Replies
818 Views
nimechukua Visa TravelMoney card pale BancABC ya dollars na kuweka vijisenti. nilikamilisha kila kitu na nilipoenda nyumbani nikaunganisha card na PayPal. tatizo linatokea kwamba haikubali...
0 Reactions
14 Replies
4K Views
Anae jua jinsi ya kupdate nokia lumia tafadhari naomba nisaidie
0 Reactions
0 Replies
887 Views
Printer yangu inaniandikia ink pads end of user life Nifanyeje nami nnakazi?
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Naomba msaada wa kureset epson machine, maana inadai kuerest ili iendelee kufanya kaz
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Nimeamua kuleta Trackers Tanzania nitaziuza kwa yoyote anayetaka. Nichombo kidogo tu uanaweza kukishona kata kwenye belt ya Surrualia. Kinatumia GPS, kwa hio kwa kutumia Smartphone Mtu yoyote...
2 Reactions
14 Replies
2K Views
Today, the job opportunities for Linux experts are more than ever. The Linux SysAdmin interview questions range from basic Linux questions to networking, DevOps, and MySQL questions. So, one needs...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Baada ya muda mrefu kidogo nimeamua kurudi kwenye C++ ambayo niliisomaga Uni. lakini niliichukia sana kwa sababu mbalimbali:mad:. Nimeanza na kitabu kinaitwa C++ Primer Plus (5th Edition). Au...
2 Reactions
96 Replies
10K Views
Wakuu nimefika bukoba nina kama wiki hivi ila network ni poor yaan sehem nyingi iko poor sana kuna sehem haishiki kabisa yaan inaenda hadi 0.0k/s hata whatsap haziingii text. Skype ndo ukiotea...
0 Reactions
20 Replies
3K Views
Hello Gentleman and ladies, Naomba kuuliza .Hivi inawezekana ku unlock simu aina note 3 niweze kuwa na bundle la Internet lisiloisha . Msaada please
1 Reactions
17 Replies
2K Views
Naombeni kujua bei ya moderm za mitandao mbalimbali na ipi ina kasi nikanunue
1 Reactions
11 Replies
5K Views
Ni lenovo ideapad core i7 3rd generation ram 8gb DDR3 graphics dual intel na nvidia(610M)
0 Reactions
12 Replies
3K Views
Nahitaji kufahamishwa duka lolote wanalouza arduino board Tanzania
0 Reactions
14 Replies
11K Views
Mwenye msaada wa tatizo hili. Tablet yangu samsung Galaxy Tab S haiwaki. Inaonyesha giza kwenye screen, ni tatizo gani na nifanyeje kulitatua
0 Reactions
9 Replies
1K Views
TV yangu flat screen imeungua kwa umeme, nimechukua nyngne. Nina wasi kwamba itaungua tena. Je, nitumie mbinu gani isiungue? Nawategemea wakuu.
1 Reactions
9 Replies
3K Views
Mtandao wa kompyuta ni kikundi cha kompyuta ambazo zimeunganishwa kwa madhumuni ya mawasiliano. Mitandao yaweza kupangwa kulingana na sifa mbalimbali Makala haya yanatoa maelezo ya ujumla ya...
0 Reactions
20 Replies
44K Views
Habari zenu wadau, husika na kichwa cha habari hapo juu. Machine iwe katika hali nzuri. Kwa mawasiliano 0712687590. Unaweza tuma picha na details ya machine kwa namba hii.
0 Reactions
0 Replies
735 Views
Habari zenu wakuu....kwa anaeweza kunisaidia ili kujua ni wapi naweza kupata waya wa material ya "zinc". Nimejaribu kuulizia kwenye maduka ya vifaa vya umeme lakini sijafanikiwa na wauzaji wengine...
0 Reactions
0 Replies
527 Views
Back
Top Bottom