Habari za jioni, nina tatizo juu ya jinsi ya kufanya PC yangu aina ya Toshiba kushare Internet kwenye vifaa vingine vinavyotumia Internet. Nimewahi kufuatilia 'Tutorial' moja ambayo ilinielekeza...
Mwezi wa Enceladus ambao uko kwenye sayari ya Saturn huenda ukawa mahali bora zaidi pa kwenda kutafuta maisha nje ya dunia.
Tathmini hii inatokea kufuatia uchunguzi katika sayari hiyo yenye...
Hivi tanzania hakuna programmer wa games nawakaribisha sasa tusome hata kwa kupeana ushauri , maoni na kusaidiana so far mi natumia UNITY3d kudesign na kucode game karibun sana .
Baada ya kucheza na Serious Bugs za experimental builds zilizopita,finally hii latest build imeanza kuleta muangaza wa uwezekano wa hii fantastic Project kufanikiwa.
Binafsi nimeanza kutumia hii...
kama kichwa cha habari hapo juu kinavyoeleza ni wiki ya pili sasa pc yangu inaji restart na kuandika maneno hayo hapo juu. Kwa mwenye uelewa tatizo hili nitalimalizaje? na sababu yake ni nini...
wanajamvi, nina tatizo la roaming connection kupitia moderm. modern inabadilika rangi inakua kijani mkoreo, speed inapungua inakua about 1kb/s. dashboard inaandika R, ukiwa unaistart dashboard...
husika na kichwa,nlikuwa naplay game ya gta xax ikasumbua ikanibid niformatt hard d na kuinstall window7 ultmate lkn kwa sas nikifungua ile game ya gta inanambia can not find enough available...
wakuu naomba mwenye kujua jinsi ya kureset password kwenye wi-fi router ya vodafone anisaidie nimeinunua kwa mtu (teja) na iko protected msaada kama naweza kutengeneza new password
Wadau! Natumaini mpo poa na harakati za kimaisha zinaendelea.
Hivi karibuni nilikikuta Sina ujanja, ikanidi nilirestore simu yangu (iphone) tukio Hilo lilipelekea kupoteza data zangu zote...
Hbr yenu wakuuu!!
Kam kichwa cha hbr kinavyojieleza apo.
Kuna system nimedownload apa naingiza username and password nilizozikuta kweny link ambako nmedownload but zinagom.
Kwahvo nilikuwa naombe...
Habari zenu jukwaani,
Naomba wajuzi na mafundi wa solar wanieleweshe, nataka kufunga Solar sehem ambayo matumizi yake ni kama ifuatavyo:-
1-mafeni mawili ya solar
2-taa 8 za solar
3-Amplifier ya...
Kwa mujibu wa wataalam wetu wanasema kwamna treni ya umeme ina kasi sana.. Je inatumia vp huo umeme kuwwza kufanya kazi.
1 inatumia umeme kutoka nje? Kama ilivyo majumbani... Na je umeme...
Dell laptop imegoma kuwaka na wala haipitishi chaji. Nilitumia majuzi hadi ikaisha chaji na kuzima kabisa.
Sasa leo nimejaribu kuchomeka chaji yake, taa inaonyesha kama chaji inapita lakini...
Natumia Toshiba..ina RAM 2gb, processor 2ghz na harddisk 320GB, zaidi za 160gb zipo free, lakini cha ajabu siku za karibuni imekuwa slow sana...karibia kila program inastack, naomba msaada wenu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.