Je umekwisharoot Android device yako (Smartphone/Tablet)
Topic za Android Rooting imekuwa zikijadiliwa sana hapa jukwaani. Lakini mtu anaweza akawa amesharoot simu yake lakini asifahamu kwamba...
Nipende kujumuhika nañyi wana jukwaa kupongezana kumaliza mfungo mtakatifu na heri ya Pasaka.
Nina shida ya kupata blog ama namna ya kuanzisha blog, kama yupo anayeweza kunisaidia ntafurahi ili...
Satellites unaweza kuleta ishara digital kwenye maeneo
ambapo Internet inaonekana kama miujiza:
off-gridi-jangwa mashamba ya jua, Arctic
au ndege carrier baharini. Lakini katika beaming
data na...
Jamani page yangu ya instagram nikimfollw mtu au akinifollow ina goma yaani ukituma request au ukitumiwa request ukitaka ijibu inagoma sjajua marafiki ndio wamejaa au nifanyeje
Wadau, habarini za kwenu? Kama tittle ilivo, nimepasua display yangu ya samsung ace j1 so kioo kama kimevujia wino ndani.. So natafuta kioo(display) hii simu.. Please kwa mawasiliano ni 0719058458
Ng'ombe hazeeki maini. Kampuni ya BlackBerry inatarajia kurudi tena sokoni kwa kuzindua Smartphone yake ya BlackBerry Keyone ambayo itakuwa na vitufe vya QWERTY na itatumia mfumo wezeshi...
Wakuu sijui ni kwangu tu au na kwenu pia, yani speed ya huu mtandao imekua zaid ya konokono.
Yani hata kufungua picha za instagram ni shida,huko YouTube ndo usiseme mpk nimeamua kushusha quality...
Nikirun hizi code...
def break_words(stuff):
"""This function will break up words for us."""
words = stuff.split(' ')
return words
def sort_words(words):
"""Sorts the words."""...
Habarini wana JF wote. Poleni na majukumu ya kujenga familia na nchi.
Wakuu natafuta HTC HD2 ikiyokufa au nzima. Pia natafuta kioo cha Toshiba Satelite C660 pamoja na keyboard yake.
Nawatakia...
Habarin waungwana, nna computer yangu aina ya Hp, ilikufa harddisk tukaweka nyingine. Tatito ni kwamba tangu iwekwe hiyo hard disk ingine imekuwa hain sauti. Nimejaribu nimeshindwa. Nimeomba...
nina tatizo la modem kudisconnect. nilipokua natumia connection type ya RAS inayokubali dial up nilikua nalikwepa hili tatizo kwa ku-redial either kwa kuset connection kwenye control panel au kwa...
Leo pind napost nashapost katika blog yangu nikaona ujumbe huu je unamaana gan kiufafanuzi wa kina na hii ndio blog yenyewe www.webweekhow.blogspot.com pind n na hii ndio post yenyewe How Do...
Wakuu Naomba msaada. Simu yangu Ina internal capacity ya GB 8 ni Tecno W3. Lakin lakin kinachonishangaza inajaa upesi wakati ina app chache nlizozidownload. Pia sion opt ya kuhifadhi app kwenye SD...
Habari za mida hii wakuu?
Natumia laptop aina ya HP, hii laptop ilikuwa inashika Wi-fi kutoka kwenye simu yoyote au mahali popote penye wireless inanipa notifications na natumia bila shida kama...
watu wengi tuki nunua simu tuna taka hiwe inasoma 4g lakini hiyo 4g imegawanyika katika familia mbili ambazo ni TD-LTE na FDD-LTE.
ni tofauti kati ya TD-LTE na FDD-LTE ni nini?
yote ni matoleo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.