Habari zenu wanajaamii.
Kwa wale wenzangu mlio vizur katika android development.
Naomba msaada kwa mwenye ujuz wa namna ya kuwasiliana kati ya fragment mbili au zaidi (fragment communication) kwa...
Hi
Je wajua kuwa atomic bomb ni bomb lililotengenezwa kutokana na mzozo wa kanuni za fizikia uliotekea miaka ya 1930
Mwanasayansi Albert Einstein akiwa katika hali ya masihara alivumbua kanuni...
Mnaotarajia kununua ps4 ila mna TV zile cable za rangi tatu msije mkaingia hasara bure due to lack of awareness
Play station 4 saizi inatumia teknolojia ya h.d.m.i cable kuunganisha ps4...
Wakongwe tumekuwa tukiona watu wengi wakianzisha app zao na kuziuza.. Kuendana na mabadiliko ya teknolojia..
Ndio maana Kelvin wa instagram alianzisha instagram na ndani ya mwaka mmoja aliiuza 1...
Simu nying latest hasa zinazotumia operating system za android, windows mobile hazitumii ip address na pronxy katika kuset internet. Hizi simu zinatumia access point tu ambayo ni internet then...
ni topic ya form three na hyo maswal ymenishnda na naamin kuwa kuna mmbers genious humu who can help me
unaweza ukalifanyia pmben then ukapiga pcha ukatuma
thank u kwa kutumia mda wko...
NUNUA SMARTPHONES MPYA NA ORIJINO KWA BEI RAHISI KUPITIA SMARTPHONES TANZANIA – Original Smartphones at lower prices
WEKA ODA YAKO NA UTALETEWA POPOTE ULIPO DAR ES SALAAM PIA MIKOANI TUNASAFIRISHA
window disk inaonesha imejaa, nimejaribu kufuta vitu vyote vilivyopo kweny window lakini bado rang nyekundu haitoki. naombeni mnielweshe nini cha kufanya?
natanguliza shukran
cc Chief-Mkwawa.
Nimeshangaa nilipitia gallery ya iPHONE 7 pale GSM ARENA na kukuta hiyo picha yenye 3.5mm audio Jack. sasa swali ni kwamba hii imamaanisha GSMArena hawatumii official images kutoka Apple au huwa...
Wakuu habar za mida, nimewasha pc yangu DELL LATITUDE E6410 imeniletea ujumbe huo(kwenye picha) , nimejaribu kurun onboard diagnostic lakini sijapata majibu tatizo lipo wapi.
Wakuu iphone 6 yangu inagoma kuupdate to ios 10.3.1 tatizo linaweza kuwa nn? Mana nimejaribu zaid ya mara 3 inaanza kudownload ila ikitembea kidogo inaleta message ya error
Guys, salaam!!!
Huu mjadala nauleta hapa manake baada ya kupitia michango mbalimbali huko kwa wenzetu ni kama hakuna jibu sahihi la which is which kwahiyo ningependa kupata maoni ya Kibongo...
Nina imani hili jamvi limebeba kila aina ya wataalamu . Nina tv yangu aina ya TCL SMART , nashindwa kuunganisha internet ili niweze kuperuzi vitu mbalimbali .
Naomba msaada wa maelekezo.
Hii ni smart Tv aina ya Samsung 6 series
Kwa wale wataalamu naOmba mnisaidie kunielekeza jinsi ya kuweza kuunganisha internet kwenye tv hii ili niweze kuangalia mpira kwenye hii tv maana naziona...
HABARI wana jamvi humu..?
Ebana mimi nimekuwa nikijiuliza hili swali kwa miaka mingi japo sikubahatika kusomea mambo ya kumputer ila nilisomea mambo mengine ..lakini nimefanya utafiti binafsi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.